Huyo waziri ambaye ni kilaza mwenziokwahiyo ushenzi huo uhalalishwe mashuleni? kwani USWAZI kuna maadili? ndiyo maana kukaitwa uswahili, uncivilized society.... ni derogatory term kwa watu wa huko USWAZI...
Ambaye ni sehemu ya maamuzi ya serikali
Ameshindwa kuzuia huo wimbo usiingie kwenye jamii matokeo yake anakuja kuazibu walimu ambao wanacheza wimbo ambao ni wimbo halali ambao serikali imeruhusu uwafikie wananchi ikiwemo hao watoto
Ambao wanauimba kama wameutunga wao
Kosa la mwalimu hapo ni lipi
Mbona naona kama waziri ndiyo mwenye makosa?
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app