Mtu yoyote anayetetea namna machinga wa magufuli walivyokuwa wanafanya kazi nashindwa kumuelewa. Mimi Kariakoo hawa jamaa walipasua kipasso changu kisa, wako barabarani na mm ndio wakawa wanataka niwapishe. Ni bahati mbaya kwamba sikuwa na pa kuwapishia na hivyo nikaishia kuadhibiwa bila sababu. Kila jambo linahitaji kuwa na utaratibu, bila hivyo ni fujo tupu. Na machinga wetu walikuwa wanafanya fujo kila mahali. Serikali ya mama iungwe mkono kwenye hili, machinga wapelekwe sehemu sahihi kwa ajili ya biashara na sio kuharibu sehemu za huduma nyingine.
 
Lakini pia tusiwe na fikra kwamba kila kijana awe mchuuzi/machinga.
 
Wewe Umesikia tu, sie tunataka picha tuthibitishe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…