Tutafika kama Taifa kwa aina ya “vijana wa ovyo” tulionao?

 

Attachments

  • 5781825-51775523b226d8414338068b2d50cfec.mp4
    3 MB
Hata kama walikosa malezi Ila shule wakaPata ,je hiyo shule Haiwezi mbadilisha akatoka ndani ya boksi?
Shule gani?

Unaelewa kitu kinaitwa early childhood development na umuhimu wake?

Unaelewa kuwa, kwa mfano, kuna watoto wengi wanapata madhara tangu wakiwa tumboni mwa mama zao ambao wanakunywa pombe na madawa ya kulevya na madhara hayo yanadumu maisha yote bila kujali elimu ya huko baadaye?

Unajua watoto wengi wanapitia childhood trauma inayosababisha matatizo hivyo hivyo?
 
Ingia studio Bob ukaachie Pini ukidakwa Sisi tutaandamana mpaka Ikulu ili uachiwe Ila kuna kuna mdau kayaimba yote uliyoyaandika Scars anaweza akawa anamjua Ila na Wewe unaweza ukafanya hivyo achia ngoma
 
Kutaka utawala bora na maisha bora, inatakiwa kuwe na dhamira ya kila mtu toka moyoni. Sasa watanzania wengi, wameridhika na maisha yao ni ngumu kuwabadilisha. Mtu anakwambia nakula ugali na dagaa kwenye amani, sitaki pizza kwenye vita.

Akili za wengi kushinikiza Serikali, maisha bora ni kutaka vita. Tumepiga kelele humu sana, mmeona tunavyojibiwa. Hata leo useme uitishe maandamano, utajikuta mwenyewe. Inabidi kuwabadilisha akili, kuwapa Elimu. Hasa kwa kizazi kipya si wa zamani.
 
Nasubiri siku ukiweka Bango la Ugali Kuku bure uwanja wa Nkapa na Uhuru stadium na Mimi nitakupa nguvu ulishe kijiji kizima cha matonya wa JF
 
Huwa najiuliza vp kama kizazi cha kina mbowe, tundu lisu na zito kabwe kikiondoka sijui hali ya Siasa itakuaje huko mbele ya safari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…