Sasa hii ndio tuzo gani? Sa kwani tulidhani watawapa Brazil?Tuzo ya team Bora ya wanaume kwa ngazi ya taifa imekwenda kwa
TAIFA STARS ilifanikiwa kucheza final za Afcon kule ivory coast
Kwa Sasa wako huko na Moroko na mgunda
Sio 23/24?Tuzo ya team Bora kwa upande wa wanawake na tuzo hii imekwenda kwa JKT Queens kwa matokeo mazuri ya msimu wa 2022/23
Itakuwa ni kumshusha cheo..haiwezi kuwa hivyo.Huyu Msigwa namuona anarudi pale ikulu kuchukua nafasi ya mboga saba yunusi