Uchaguzi 2020 Ubunge Arusha sasa upo wazi kwa Godbless Lema

Hapo Katerero wape salaam zangu
 
Wasio ijua Arusha ndio watapinga ukweli huu ila gambo hawez fikisha ata40%.CCM apa wamebugi kumpa mzaramo nafasi yakupambana na Lema.
 
Daah! Masisiemu ni mashetani. Mtu anathubutu kichoma soko ili achangie kwa lengo la kuonekana.???
 
Wajumbe wa Arusha walipaswa kujifunza toka kwa wenzao wa Kigamboni!
 
Bwashee majimbo ya Tunduma, Mbeya mjini, Iringa mjini, Moshi mjini, Hai, Arusha, Karatu, Kigoma mjini na Tarime yote labda uje muujiza wa Yesu ndipo CCM itayachukua! Acha ukweli ubaki kuwa ukweli tu.

nakuonea huruma. lissu na mbowe walivoenda moshi kilichowatokea ni Mungu alikua tu pamoja nao! wakanyage tena moshi watajua umuhimu wa maisha, arusha usituweke kwenye huo upuuzi wenu kwanza juzi madiwani wenu sjui 10 wamehamia ccm
 
Huyo mzaramo labda akawe mbunge wa kisarawe,chuga maendeleo yote yamefanywa na madiwani wa cdm...ccm miaka 56 walikua wanakata mauno tu...jamaa kapoa kama kanywa alkasusu ya maziwa ya kenge
 
Umeandika yaani Mtu akisoma anasema Mrisho kaisha kweli. Hahahaha mwisho wa siku Mrisho anaibuka Kidedea kama ilivyokuwa kura za Wajumbe. Kishindo tu. Mrisho ndio Mbunge makini atakuwa.
Kwa msaads wa polisi atashinda, lakini kwa jura halali hata 15,000 hapati
 
Tatizo la JF ndio hilo, mtu anaweza kuwa zake Nyang’wale au Uyole huko na Dar hapajui lakini anashupaza msuli wa shingo kueleza nani atashinda Kawe!
 
Mgombea ambae hajui kwanini umeme uko juu,miaka 56 mmetawala hamna lolote zaidi ya ufisadi,kununua ndege, sgr kujenga airport kwake bado tu hajaelewa kwanini umeme uko juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…