Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi ya Mazezeta hii Mkuu.Aibu sana. Mhindi anapita bila kupingw akwenye nchi ya weusi na kuna mijitu inachekelea
Watu wengi wanachukulia poa kigezo cha kujua KUSOMA na KUANDIKA.Natarajia upinzani Morogoro kuingia "barabarani" mda wowote kuanzia sasa.
Na wewe kwaakili yako ndogo iliuojaaliwa na mwenyezi mungu unaamini wapinzani wote hao hawajui kuanza fomu ila mgombea wa ccm? Jiombee kudra za mwenyezi Mungu maana utakuwa hujielewi.Hivi hiyo ruzuku yenu mlishindwa kuandaa semina elekezi kwa wagombea wote jinsi ya kujaza fomu? Nyio ndio wa kuwapa nchi hii muongoze?