Kabulala
JF-Expert Member
- Oct 13, 2019
- 695
- 936
Abood kapiga hesabu ya muda na pesa atakazotumia kufanya kampeini, na wagombea wengine wakapiga hesabu yao na bila Shaka common sense imeprevail...pia wamewaokolea wakazi wa morogoro muda na usumbufu..SASA wanaweza kuendelea na shughuli zao za uzalishaji bila mihemuko ya kisiasa..IMEISHA HIYOTayari 1-0 kabla hata game kuanza😂😂😂