Una uhakika gani kwamba hawajakosea. Kwahiyo msimamizi wa uchaguzi ni mjingaWagombea Hawajakosea, tusubiri rufaa kupinga hatua ya Msimamizi wa Uchaguzi ambaye pia ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Morogoro
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una uhakika gani kwamba hawajakosea. Kwahiyo msimamizi wa uchaguzi ni mjingaWagombea Hawajakosea, tusubiri rufaa kupinga hatua ya Msimamizi wa Uchaguzi ambaye pia ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Morogoro
Kama kuna taarifa kawanunulia kina Mr Slow mabasi atashindwa nini kwa polisi na msimamizi?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] si.mchezo, the game has just began
kuna watu tena wasomi wazuri tu lkn wanaona tukio la Morogoro kuwa likosawa lkn huyo ofisa wa serikali ni mtuhumiwa bila chenga.Kutawala maskini na wajinga ni raha sana, jamaa huwa anawapelekea magari kwenye misiba tu kwisha habari!!
No No No , Issue hapa sio uhindi,Aibu sana. Mhindi anapita bila kupingw akwenye nchi ya weusi na kuna mijitu inachekelea
Msimamizi wa uchaguzi aache masihara kamanda wetu na jeshi lake ni waelewa, fomu hata kama zimekosewa zinaweza kujazwa upya hapo hapo ofisini.
Mgombea unaweza kwenda na fomu blank/ isiyojazwa mkakaa na Msimamizi ikajazwa vizuri na kuwakilishwa itakuwa hicho kinachoitwa 'imekosewa'!
Updates toka Morogoro
Au Abood alipewa fomu ambayo iko tofauti na zile za wenzake? Inaonekana hizo fomu zillikuwa na 'maswali ' magumu kama mtihani.Kwa hiyo vyama vyote hivyo wamekosea kujaza form isipokuwa huyo wa ccm..??
AiseeHakuna chochote umma utakifanya shida ya watanzania ni waoga na hyo wanasiasia wanalichukulia Kama fursa kufanya au kuamua watakayo
Basi tuweke tu herufi k mwanzoni mwa neno umma uli kiliwekea nakshi lipendeze zaidiLabda umma wa kulia chips
Amechaguliwa na watanzania wenzako kushindania hiyo nafasi wewe kwanini umbague..Siyo ubaguzi, matatizo ya wananchi huko vijijini huyo mhindi anayajua,kagombea kulinda biashara zake tu, Mungu ndo kutenga kila bara na watu wake.
hao unaowaona Kuwa ni watanzania wenzangu umesahau Kuwa hao Ndio wajumbe wanaosifika Kwa rushwa?Amechaguliwa na watanzania wenzako kushindania hiyo nafasi wewe kwanini umbague..
ila hakika tuna safari ndefu sn kwakweli mtu aliyejfanya kuomba abinafsishiwe kiwanda cha maturubai Bora ya canvas Afrika nzima,kiwanda cha moproco,Abdulazizi Abood (CCM) amepitishwa kama mgombea pekee katika Jimbo hilo baada ya wagombea wa upinzani kukatwa kwasababu ya makosa yaliyobainika kwenye ujazaji wa fomu
Msimamizi wa Uchaguzi jimbo la Morogoro mjini amewafutilia mbali wagombea wote wa vyama vya upinzani akiwemo Devotha Minja wa CHADEMA na kumbakiza Abdulaziz Abood wa CCM kuwa mgombea pekee, kwa madai kuwa wagombea wa upinzani walikosea kujaza fomu.
Tayari Msimamizi huyo amemtangaza Abood kupita bila kupingwa. Hii ina maana kuwa hatafanya kampeni wala kupigiwa kura bali atasubiri kuapishwa tu.
Wagombea waliokatwa ni wa CHADEMA, ACT Wazalendo, CUF na CHAUMA. Hata hivyo CHADEMA wamesema watakata rufaa kupinga maamuzi hayo.!
Abdulazizi Abood (CCM) amepitishwa kama mgombea pekee katika Jimbo hilo baada ya wagombea wa upinzani kukatwa kwasababu ya makosa yaliyobainika kwenye ujazaji wa fomu
Msimamizi wa Uchaguzi jimbo la Morogoro mjini amewafutilia mbali wagombea wote wa vyama vya upinzani akiwemo Devotha Minja wa CHADEMA na kumbakiza Abdulaziz Abood wa CCM kuwa mgombea pekee, kwa madai kuwa wagombea wa upinzani walikosea kujaza fomu.
Tayari Msimamizi huyo amemtangaza Abood kupita bila kupingwa. Hii ina maana kuwa hatafanya kampeni wala kupigiwa kura bali atasubiri kuapishwa tu.
Wagombea waliokatwa ni wa CHADEMA, ACT Wazalendo, CUF na CHAUMA. Hata hivyo CHADEMA wamesema watakata rufaa kupinga maamuzi hayo.!
tuna safari ndefu Sana Kama nchi ikiwa aliyeharibu ajira za Wana morohoro karibia 2000 kwa kuua kiwanda Bora Afrika Cha maturubai canvas, kiwanda cha mafuta ya kula moproko na kiwanda cha sabuni Cha komoa kisa katoa gari moja la kuzikia,hakika hili ni bara la Giza kanyaga twendeAbdulazizi Abood (CCM) amepitishwa kama mgombea pekee katika Jimbo hilo baada ya wagombea wa upinzani kukatwa kwasababu ya makosa yaliyobainika kwenye ujazaji wa fomu
Msimamizi wa Uchaguzi jimbo la Morogoro mjini amewafutilia mbali wagombea wote wa vyama vya upinzani akiwemo Devotha Minja wa CHADEMA na kumbakiza Abdulaziz Abood wa CCM kuwa mgombea pekee, kwa madai kuwa wagombea wa upinzani walikosea kujaza fomu.
Tayari Msimamizi huyo amemtangaza Abood kupita bila kupingwa. Hii ina maana kuwa hatafanya kampeni wala kupigiwa kura bali atasubiri kuapishwa tu.
Wagombea waliokatwa ni wa CHADEMA, ACT Wazalendo, CUF na CHAUMA. Hata hivyo CHADEMA wamesema watakata rufaa kupinga maamuzi hayo.!