Uchaguzi 2020 Ubunge Morogoro Mjini: Abood apitishwa kuwa Mgombea pekee. Wenzake wakosa vigezo

Uchaguzi 2020 Ubunge Morogoro Mjini: Abood apitishwa kuwa Mgombea pekee. Wenzake wakosa vigezo

Wagombea Hawajakosea, tusubiri rufaa kupinga hatua ya Msimamizi wa Uchaguzi ambaye pia ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Morogoro
Una uhakika gani kwamba hawajakosea. Kwahiyo msimamizi wa uchaguzi ni mjinga
 
Kutawala maskini na wajinga ni raha sana, jamaa huwa anawapelekea magari kwenye misiba tu kwisha habari!!
kuna watu tena wasomi wazuri tu lkn wanaona tukio la Morogoro kuwa likosawa lkn huyo ofisa wa serikali ni mtuhumiwa bila chenga.
 
Aibu sana. Mhindi anapita bila kupingw akwenye nchi ya weusi na kuna mijitu inachekelea
No No No , Issue hapa sio uhindi,
Issue hapa ni Uccm
Let au be clear Brothers.
Hii nchi imerogwa.
CCM wameifanya mali yao, wanafanya watakavyo, kwa kuwa wenyewe tume lala mno.
Hata kwengine CCM hufanya hivyi hivyo ,
Mfano chaguzi za Mrudio kule Singida ,na kwengineko.
Tatizo
NEC niwkala wa CCM,
kuisaidia kushinda uchaguzi, hili ndilo linalojitokeza
 
Msimamizi wa uchaguzi aache masihara kamanda wetu na jeshi lake ni waelewa, fomu hata kama zimekosewa zinaweza kujazwa upya hapo hapo ofisini.

Mgombea unaweza kwenda na fomu blank/ isiyojazwa mkakaa na Msimamizi ikajazwa vizuri na kuwakilishwa itakuwa hicho kinachoitwa 'imekosewa'!


Updates toka Morogoro



Her si wangeikataa Fomu Basi!
 
wagombea wa upinzani Wote wamekosea kuja fomu. Kazi ipo.
 
Kwa hiyo vyama vyote hivyo wamekosea kujaza form isipokuwa huyo wa ccm..??
Au Abood alipewa fomu ambayo iko tofauti na zile za wenzake? Inaonekana hizo fomu zillikuwa na 'maswali ' magumu kama mtihani.

Vv
 
Tumuogopeni MwenyeEnzi Mungu jamani !

Mungu anapendezwa na haki!
 
Siyo ubaguzi, matatizo ya wananchi huko vijijini huyo mhindi anayajua,kagombea kulinda biashara zake tu, Mungu ndo kutenga kila bara na watu wake.
Amechaguliwa na watanzania wenzako kushindania hiyo nafasi wewe kwanini umbague..
 
Amechaguliwa na watanzania wenzako kushindania hiyo nafasi wewe kwanini umbague..
hao unaowaona Kuwa ni watanzania wenzangu umesahau Kuwa hao Ndio wajumbe wanaosifika Kwa rushwa?
 
Abdulazizi Abood (CCM) amepitishwa kama mgombea pekee katika Jimbo hilo baada ya wagombea wa upinzani kukatwa kwasababu ya makosa yaliyobainika kwenye ujazaji wa fomu

Msimamizi wa Uchaguzi jimbo la Morogoro mjini amewafutilia mbali wagombea wote wa vyama vya upinzani akiwemo Devotha Minja wa CHADEMA na kumbakiza Abdulaziz Abood wa CCM kuwa mgombea pekee, kwa madai kuwa wagombea wa upinzani walikosea kujaza fomu.

Tayari Msimamizi huyo amemtangaza Abood kupita bila kupingwa. Hii ina maana kuwa hatafanya kampeni wala kupigiwa kura bali atasubiri kuapishwa tu.

Wagombea waliokatwa ni wa CHADEMA, ACT Wazalendo, CUF na CHAUMA. Hata hivyo CHADEMA wamesema watakata rufaa kupinga maamuzi hayo.!
ila hakika tuna safari ndefu sn kwakweli mtu aliyejfanya kuomba abinafsishiwe kiwanda cha maturubai Bora ya canvas Afrika nzima,kiwanda cha moproco,
Abdulazizi Abood (CCM) amepitishwa kama mgombea pekee katika Jimbo hilo baada ya wagombea wa upinzani kukatwa kwasababu ya makosa yaliyobainika kwenye ujazaji wa fomu

Msimamizi wa Uchaguzi jimbo la Morogoro mjini amewafutilia mbali wagombea wote wa vyama vya upinzani akiwemo Devotha Minja wa CHADEMA na kumbakiza Abdulaziz Abood wa CCM kuwa mgombea pekee, kwa madai kuwa wagombea wa upinzani walikosea kujaza fomu.

Tayari Msimamizi huyo amemtangaza Abood kupita bila kupingwa. Hii ina maana kuwa hatafanya kampeni wala kupigiwa kura bali atasubiri kuapishwa tu.

Wagombea waliokatwa ni wa CHADEMA, ACT Wazalendo, CUF na CHAUMA. Hata hivyo CHADEMA wamesema watakata rufaa kupinga maamuzi hayo.!
Abdulazizi Abood (CCM) amepitishwa kama mgombea pekee katika Jimbo hilo baada ya wagombea wa upinzani kukatwa kwasababu ya makosa yaliyobainika kwenye ujazaji wa fomu

Msimamizi wa Uchaguzi jimbo la Morogoro mjini amewafutilia mbali wagombea wote wa vyama vya upinzani akiwemo Devotha Minja wa CHADEMA na kumbakiza Abdulaziz Abood wa CCM kuwa mgombea pekee, kwa madai kuwa wagombea wa upinzani walikosea kujaza fomu.

Tayari Msimamizi huyo amemtangaza Abood kupita bila kupingwa. Hii ina maana kuwa hatafanya kampeni wala kupigiwa kura bali atasubiri kuapishwa tu.

Wagombea waliokatwa ni wa CHADEMA, ACT Wazalendo, CUF na CHAUMA. Hata hivyo CHADEMA wamesema watakata rufaa kupinga maamuzi hayo.!
tuna safari ndefu Sana Kama nchi ikiwa aliyeharibu ajira za Wana morohoro karibia 2000 kwa kuua kiwanda Bora Afrika Cha maturubai canvas, kiwanda cha mafuta ya kula moproko na kiwanda cha sabuni Cha komoa kisa katoa gari moja la kuzikia,hakika hili ni bara la Giza kanyaga twende
 
Back
Top Bottom