Uchaguzi 2020 Ubunge Morogoro Mjini: Abood apitishwa kuwa Mgombea pekee. Wenzake wakosa vigezo

Uchaguzi 2020 Ubunge Morogoro Mjini: Abood apitishwa kuwa Mgombea pekee. Wenzake wakosa vigezo

Hivi hiyo ruzuku yenu mlishindwa kuandaa semina elekezi kwa wagombea wote jinsi ya kujaza fomu? Nyio ndio wa kuwapa nchi hii muongoze?
Nawe unaamini kabisa wagombea wa Chadema, Chauma na Act - Wazalendo wote hawajui kujaza fomu!!??
 
Inakuwaje itangazwe mtu amepita bila kupingwa ilihali kuna wagombea wamechukuwa fomu na kurudisha?

Hata Nyerere na Mwinyi tuliwapigia kura za ndio au hapana ingawa walikuwa wagombea pekee.

Hakuna uchaguzi huru nchi hii bila tume huru kwanza.

Wakili.. rudwi kusoma.. ya kanuni..
 
Wasimamizi wa uchaguzi wengine wanatamaa sana ya kumuona malaika Israel kabla ya wakati walio pangiwa na Mungu
 
Msimamizi wa uchaguzi jimbo LA morogoro mjini,sheila lukuba amemteua mgombea abdulaziz abood kupitia ccm kuwa mgombea ubunge pekee jimbo hilo,baada ya kuwakata wagombea wa vyama vingine kutokana na makosa mbalbali ya ukazaji fomu waliokatwa ni kutoka vyama vya CHAUMA,ACT,CUF ,CHADEMA NK

Sheila Lukuba amefanya vitu vyake
 
Msimamizi wa uchaguzi aache masihara kamanda wetu na jeshi lake ni waelewa, fomu hata kama zimekosewa zinaweza kujazwa upya hapo hapo ofisini.

Mgombea unaweza kwenda na fomu blank/ isiyojazwa mkakaa na Msimamizi ikajazwa vizuri na kuwakilishwa itakuwa hicho kinachoitwa 'imekosewa'!

SASA hapo kile kigezo cha kusoma na kuandika tume itakipima vipi?!..unakumbuka enzi za kufanya mitihani ya Darasa la Saba..walimu walikua wanasisitiza tusome swali na kulielewa kabla hujaanza kujibu.
 
Msimamizi wa uchaguzi aache masihara kamanda wetu na jeshi lake ni waelewa, fomu hata kama zimekosewa zinaweza kujazwa upya hapo hapo ofisini.

Mgombea unaweza kwenda na fomu blank/ isiyojazwa mkakaa na Msimamizi ikajazwa vizuri na kuwakilishwa itakuwa hicho kinachoitwa 'imekosewa'!

SASA hapo kile kigezo cha kusoma na kuandika tume itakipima vipi?!..unakumbuka enzi za kufanya mitihani ya Darasa la Saba..walimu walikua wanasisitiza tusome swali na kulielewa kabla hujaanza kujibu.
 
Kuna wakati baadhi ya wagombea wa CHADEMA wanaweza kuwa wamepokea fedha kuuza! Mtu umechukua fomu tangu wiki jana unarudisha leo saa saba mchana!

Hawa ambao wameshindwa kurudisha fomu waangaliwe kwa jicho la tatu, inaweza kuwa ni namna nyingine ya kuunga juhudi.

Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
Inavyoelekewa hauruhusiwi kurudisha kabla ya leo.
Amandla...
 
20200825_175854.jpg
 
Aibu sana. Mhindi anapita bila kupingw akwenye nchi ya weusi na kuna mijitu inachekelea
Hela za hao unaowanunia ndizo zinazo kulisha. akili yao ya kutengeza mfumo wa mtandao ndio unayoitumia-hahahaahhh
 
Pakitokea Tajiri mmoja mkubwa ndani ya mji akajiingiza kwenye siasa ni rahisi sana kushinda mana anauwezo wa kuwanunua wapinzani wake na kununua Vyombo vya dola ili wafanye uhuni wa kuwakamata na kuwatia ndani washindani wake.

Hivi Abudi Muhindi yule utamuweza kwenye Biashara ya Siasa.
Kupita bila kupingwa anaokoa mamilioni ya pesa zake ambazo angezitumia kwenye kampeni na kuhonga wapiga kura ili wamchague lakini akitoa milioni 50 akampa mkurugenzi, 30 osidiii , tisiii ,30 ,araipisii 50, jumla 160 anasubiri kuapishwa huku akiendela na biashara zake bila presha.
Kuchukuchu hotae!!
 
Kuna wakati baadhi ya wagombea wa CHADEMA wanaweza kuwa wamepokea fedha kuuza! Mtu umechukua fomu tangu wiki jana unarudisha leo saa saba mchana!

Hawa ambao wameshindwa kurudisha fomu waangaliwe kwa jicho la tatu, inaweza kuwa ni namna nyingine ya kuunga juhudi.

Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
Mchaga na pesa au?!
 
Back
Top Bottom