unprejudiced
JF-Expert Member
- Jan 27, 2017
- 3,503
- 2,865
Pambalu ajue ana jukumu zitto la kukisimamia chama katika wakati mgumu na mzuri.Asije akasaliti maana dhambi hiyo itamhizunisha milele.
Hoja yako ina mashiko.Brother Tindo hawa watu siku hizi sio wa kuwapa dhamana kihivyo.Mie kamoyo kanadundadunda,Ngosha atakubali sehemu anayoitegemea kwa Kula itoe Mwenyekiti wa Bavicha? Huyu jamaa Ana mtihani mkubwa wa vishawishi
acha matusi! Utatukanwa siku yako iharibike!Wow cute!.Nyama ya Mwenyekiti hiyo.
Huyu na akina kingwangwala,January makamba,ridhiwani,nani mkubwa?. Maana hao wote wako uvccmHuyu ndo kijana jaman[emoji849]
Si mmama kabisa mtu mzima huyo
Duh.......huyu CCM lazima wamtamani.Nusrat Shabani Hanje Amechaguliwa Kuwa Katibu Mkuu Wa Baraza La Vijana Wa CHADEMA (BAVICHA Taifa).
View attachment 1288257
Ukijana ni umri na siyo umboHuyu ndo kijana jaman
Si mmama kabisa mtu mzima huyo
Kigwangala na January wana wajukuu utawalinganishaje na huyu?!Huyu na akina kingwangwala,January makamba,ridhiwani,nani mkubwa?. Maana hao wote wako uvccm
Unamkumbuka Kibabu Sadifa na Shigella wa UVCCM?!Ukijana ni umri na siyo umbo
Nusrat Shabani Hanje Amechaguliwa Kuwa Katibu Mkuu Wa Baraza La Vijana Wa CHADEMA (BAVICHA Taifa).
View attachment 1288257
Hujajibu swali langu. Soma vizuriKigwangala na January wana wajukuu utawalinganishaje na huyu?!