Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu matokeo yaliyotolewa sasa hivi Clouds yanaonyesha Museven anaongoza 63 wakati bob wine ana 28Wakuu, nafatilia KWA karibu uchaguzi Uganda Kama ndugu mseven anachakazwa vibaya,ila all at all uganga Kuna vitu wako mbele yetu, angalau kidogo tahasisi zipo imara,
Mh mseven anaenda pumzika ila rais mpya tafadhali usimbuguzi, mpe stahiki sahihi
Kwani nani kakwambia ni uongo?Hkn jina ambalo lililoorodheshwa kama Bobi kwenye uchaguzi haya matokeo ni ya uongo kuna karatasi 2 tu za ukweli hpo ambazo zina jina la kyagulanyi robert hizo yenye jina la Bobi ni fake
Aisee imeisha hiooooo.Mkuu matokeo yaliyotolewa sasa hivi Clouds yanaonyesha Museven anaongoza 63 wakati bob wine ana 28
Liberia walimpa mchezaji wa Mpira. Inawezekana tuHyo ni Kwa ulaya mkuu , Africa hamna
| 2021 Presidential election provisional results from 8,310 polling stations | |||
| Presidential Candidate | Party | Tally | Percentage (%) |
| Amuriat Oboi Patrick | Forum for Democratic Change (FDC) | 84,969 | 3.60 |
| Kabuleta Kiiza Joseph | Independent | 15,403 | 0.65 |
| Kalembe Nancy Linda | Independent | 12,081 | 0.51 |
| Katumba John | Independent | 8,886 | 0.38 |
| Kyagulanyi S Robert aka Bobi Wine | National Unity Platform (NUP) | 647,146 | 27.39 |
| Nobert Mao | Democratic Party (DP) | 15,315 | 0.65 |
| Mayambala Willy | Independent | 5,135 | 0.22 |
| Mugisha Muntu G | Alliance for National Transformation (ANT) | 16, 673 | 0.71 |
| Mwesigye Fred | Independent | 7,160 | 0.30 |
| Tumukunde Henry K | Independent | 13,813 | 0.58 |
| Museveni T Kaguta | National Resistance Movement (NRM) | 1,536,205 | 65.02 |
Umeona eehh. This is Africa. Hata akishinda, meza itapinduliwa tu. Hata hatua hiyo M7 kakosea sana kuacha huyo dogo aonekane yuko juu. Tume ya uchaguzi inafanya nini hapo?Humujui m7 wewe hawezi kumpa huyo mvuta bangi nchi
Mkuu nchi zetu hatuhitaji kura tunahitaji jeshiKakojoe ulale lizee limeshagalagazwa.
Mchezo wa Mahera, Diwani, Mabeho Siro na Kaijage hauchezeki kwa wenye uelewa wao
Wengi hawajui nchi zetu tunatumia jeshi sio kuraTena za alinacha
Mpaka siku majeshi yetu yaache kua chini ya madiktetaNaona Museveni hutaki kuamini ha ha (kidding)
Pumba hiiMseveni amejichokea hata hvyo ni aibu nchi kuongozwa na msanii , ni hapo Tu wenzetu wazungu wanapotuchapia fimbo ....wanahakikisha wagonbea wote ni presidentially material Kwanza ...
Hahaha [emoji16][emoji28].Ilikua ni swala la muda tu.
Kyagulani kama vipi akimbilie ubalozini kama anko Lisu[emoji23]
Kudadadeki[emoji23]Hahaha [emoji16][emoji28].
Kwa kila mbinu ushindi ni lazimaaa[emoji16][emoji28]
Haha [emoji38][emoji38][emoji38]Kudadadeki[emoji23]
Na uchaguzi ukiisha Lock down miezi 2,akuna maandamano[emoji23]
Kua na ujitambue mrHivi Uganda walishindwa kumpata mtu mzuri wa kugombea urais mpaka wamuweke Bobi wine. Anaonekana kabisa ni mvuta ganja. Ndio ubaya wa demokrasia huo
Duuh....!!!!! unafurahia nini?Kudadadeki[emoji23]
Na uchaguzi ukiisha Lock down miezi 2,akuna maandamano[emoji23]
Kuna watu wanafikiri siasa ni umaarufu wa majina. M7 kapitwa na wakati, ni nchi haina demokrasia tu, alitakiwa kuwekwa pembeni.Kua na ujitambue mr
Unafuatilia siasa za Uganda?
Unamfahamu bobi wine?
Umewahi kuangalia/kufuatilia mijadala anayoshiriki Bobi?
Je unajua kuwa m7 anavuta bangi?
Acha ushamba
Bobi ni mtu smart sana wanaomfuatilia pia wanajua, waganda pia wanajua ndiyo maana kawa pale alipo Kuna wagombea zaidi ya 10 mbona wao wasivume kama Wine