Uchaguzi ujao, Kanda ya Ziwa isiwe ndio Kanda inayotuchagulia Rais

Ni kweli Mkuu, nchi yetu ina makando kando Mengi, mtu anasema kabisa waziii siwaletei maendeleo sababu hamkunichagua...labda ndio maana wengine bado wako resentful

Mkuu embu fafanua sentensi number two, kipi kilifanyika juu ya mwendazake please?
Sijui kilichofanyika kwa uhakika ila kuna hisia hasi mtaani, ambazo zinachagizwa na hizi kejeli za viongozi kwa mwendazake….. hii inafanya wengi waamini hisia zao kuwa mpendwa wao kuna kitu mbaya alifanywa.
 
ni mwendo wa kukamilisha ratiba au sio.
 
Sijui kilichofanyika kwa uhakika ila kuna hisia hasi mtaani, ambazo zinachagizwa na hizi kejeli za viongozi kwa mwendazake….. hii inafanya wengi waamini hisia zao kuwa mpendwa wao kuna kitu mbaya alifanywa.

Asante mkuu...
 
Mkuu unapoteza focus ya hii mada,,,,, please kama unaweza kunywa maji..rre

JF inabidi iwe na admission test kuchuja watu mazwazwa kama wewe.
Sawa Mkuu lakin msitegemee kuandika Ujinga et Tz Rais anatokana na kura za wasukuma Ni negativity na unyumbu ndo unawafanya kuandika Ujinga mainly nyie girls
 
Hujielewi...yote hii ni kukosa hela ya kula hadi unawaza kura
 
Wanawake wajuaji much know mtaendelea kuachwa daily kwa Upumbavu kama huu badala ufanye Kaz kutwa umbea tu
Anaona kama kaficha ID kumbe tukimuamulia ni chapu tu...ila huyo dada ni jobless hana maisha
 
Sawa Mkuu lakin msitegemee kuandika Ujinga et Tz Rais anatokana na kura za wasukuma Ni negativity na unyumbu ndo unawafanya kuandika Ujinga mainly nyie girls
Inawezekana hata kanda ya ziwa hujawahi fika. Fika mara, Geita , kagera, simiyu, katavi, mwanza, Shinyanga , tabora, Kigoma, Rukwa, Njoo malizia Singida na dodoma ni wale wale utaelewa kinachozungumziwa kuhusu Kura na uchaguzi mkuu 2025.
 
Sawa Mkuu lakin msitegemee kuandika Ujinga et Tz Rais anatokana na kura za wasukuma Ni negativity na unyumbu ndo unawafanya kuandika Ujinga mainly nyie girls
Mnhhh Kaazi kweli kweli...hivi kwa nini ni lazima muonyeshe ujinga wenu humu?! kama Rais hatokani na wasukuma andika bila kumtukana Rebeca utamuweka aliyemuacha..hahahah si muwe wasomaji tuuu???????... mbona wengine wameandika vizuri tu kila mtu na upande wake??? hivi mtajifunza lini?
 
Anaona kama kaficha ID kumbe tukimuamulia ni chapu tu...ila huyo dada ni jobless hana maisha
hahaaaaaaaaaa eti mkiamulia chapu tuu... si muamue kinachowazuia nyie mazuzu ni nini?!
 
Ukiendelea soon ntakuabisha ndo utajua Mimi nakujua in-out na utashangaa take care hizo depression zitakuponza soon
😁😁😁😁😁😁😁😁
 
Nafikiri ungesema wasukuma ungeeleweka, maana ukisema kanda ya ziwa kuna Mara na Kagera hakuna huo upumbavu na ushamba wa wasukuma.

Kwanza hata hao wasukuma kama kina Dialo hawataki hata kumsikia dikteta mwendakuzimu.
 
Nafikiri ungesema wasukuma ungeeleweka, maana ukisema kanda ya ziwa kuna Mara na Kagera hakuna huo upumbavu na ushamba wa wasukuma.

Kwanza hata hao wasukuma kama kina Dialo hawataki hata kumsikia dikteta mwendakuzimu.
Kwenye kundi la wajinga na Dialo yupo. Trust me
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…