YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Sema waislamu wakorofi tu
Uislamu,dini ya kiyahudi na uislamu chanzo cha dini zote hizo ni uyahudi
Ibrahim alikuwa myahudi akazaa watoto wawili wayahudi ambao ni Isaka na Ishmael
Isaka mtoto wa mke mkubwa Sara ndie baba wa Ukristo kupitia uzao wake wa Yesu Myahudi wakati Ishmael ni mtoto wa nyumba ndogo au mchepuko wa Ibrahim ambaye pia ni Myahudi!!!
Mungu aliwabariki watoto wote Yule wa Nyumba kubwa alipewa baraka nyingi na wa mchepiuko akapewa na Mungu mafuta na gesi
Sababu Mungu alijua huyo mtoto.kajikuta tu kuzaliwa Mungu hakumwita mwanaharamu kama waislamu swala tano wakishamaliza kuzalisha hujitia oh yule mwanaharamu!!
Uislamu umetokana na myahudi Ishmael
Waislamu wanapotukana wayahudi binafsi hata huwa siwaelewi kabisa
Sababu Ibrahim alikuwa Myahudi na huyo Ishmael au Ismail alikuwa myahudi!!
Wayahudi ndio wanatawala dunia kuanzia kiuchumi kivita, kibiashara na kidini.Dini kubwa tulizonazo dini ya kiyahudi,ya Kikristo na kiislamu zote zimetokana na wayahudi .Zote zinatokana na uzao wa myahudi Ibrahim!! Wakristo tunawaheshimu wayahudi japo wengi sio wakristolakini tunawakubali na kuwaheshimu kama ndugu sababu dini ya Kikristo tuliyonayo ilianzishwa na myahudi Mwenzao Yesu Kristo ,Lakini waislamu kutwa mitusi kutukana wayahudi hawana adabu kwa wayahudi wakati Ishmael au Ismail alikuwa myahudi ambaye ndie baba wa waarabu wote akiwemo Mohamed!! Uislamu umetokana na kizazi cha wayahudi
Uislamu,dini ya kiyahudi na uislamu chanzo cha dini zote hizo ni uyahudi
Ibrahim alikuwa myahudi akazaa watoto wawili wayahudi ambao ni Isaka na Ishmael
Isaka mtoto wa mke mkubwa Sara ndie baba wa Ukristo kupitia uzao wake wa Yesu Myahudi wakati Ishmael ni mtoto wa nyumba ndogo au mchepuko wa Ibrahim ambaye pia ni Myahudi!!!
Mungu aliwabariki watoto wote Yule wa Nyumba kubwa alipewa baraka nyingi na wa mchepiuko akapewa na Mungu mafuta na gesi
Sababu Mungu alijua huyo mtoto.kajikuta tu kuzaliwa Mungu hakumwita mwanaharamu kama waislamu swala tano wakishamaliza kuzalisha hujitia oh yule mwanaharamu!!
Uislamu umetokana na myahudi Ishmael
Waislamu wanapotukana wayahudi binafsi hata huwa siwaelewi kabisa
Sababu Ibrahim alikuwa Myahudi na huyo Ishmael au Ismail alikuwa myahudi!!
Wayahudi ndio wanatawala dunia kuanzia kiuchumi kivita, kibiashara na kidini.Dini kubwa tulizonazo dini ya kiyahudi,ya Kikristo na kiislamu zote zimetokana na wayahudi .Zote zinatokana na uzao wa myahudi Ibrahim!! Wakristo tunawaheshimu wayahudi japo wengi sio wakristolakini tunawakubali na kuwaheshimu kama ndugu sababu dini ya Kikristo tuliyonayo ilianzishwa na myahudi Mwenzao Yesu Kristo ,Lakini waislamu kutwa mitusi kutukana wayahudi hawana adabu kwa wayahudi wakati Ishmael au Ismail alikuwa myahudi ambaye ndie baba wa waarabu wote akiwemo Mohamed!! Uislamu umetokana na kizazi cha wayahudi