Kama pesa za kununua umeme Etjiopoa zipo, kwanini za kuboresha hayo mbwawa ya Nyimba ya Mungu, Hale na Pangani hakuna???1. Mabwawa ya kaskazini (nyumba ya Mungu n.k) unafahamu yanazalisha megawatts ngapi na kuna upungufu wa megawatts ngapi?
Mikoa ya kaskazini ni miongoni mwa mikoa ambayo ina upungufu wa umeme na ndiyo maana serikali inataka kulimaliza hilo kwa kuingiza umeme wa bei rahisi kutoka inje!.
2 &3 Hswali la pili na la tatu majibu yake yapo kwenye mada naomba ukasome nimejibu!
Wazee wa shortcut.Serikali haijasema ina bomoa miundombinu iliyopo itaendelea kutumika!
Lakini walichoangalia kwasasa unafuu wa upatikanaji wa umeme!
Hata hivyo zunguka duniani utaona hata nchi zilizoendelea zinanunua umeme kutoka nje!
Hata marekani nao wananunua umeme kutoka inje
Kasome economies of scale, mfano wako haufiti hapo. Usambazaji wa umeme hauendi kwenye nyumba moja kama mfano wa maji kwenye nyumba dsm na dodoma. Anyways upo kufanya uchawa na namba ya simu umeacha go ahead do your things.Unataka kuniambia wewe unaakili kuliko wizara waliotathimini wakaona wakachukulie kenya!
Wakati mwingine Vijana tunahoji vitu vingine havina hata msingi!
Nimekutolea mfano ungekuwa wewe ungesafilisha maji kutoka Dar upeleke dodoma wakati Dom kuna mtu anatafta wateja kwa gharama nafuu?
Na wewe kasome power loss na power factor katika transmission!Kasome economies of scale, mfano wako haufiti hapo. Usambazaji wa umeme hauendi kwenye nyumba moja kama mfano wa maji kwenye nyumba dsm na dodoma. Anyways upo kufanya uchawa na namba ya simu umeacha go ahead do your things.
Kuna ukame! Imetazamwa Plan B, wakati taratibu za uboreshaji zikiendelea taratibu za plan A.Kama pesa za kununua umeme Etjiopoa zipo, kwanini za kuboresha hayo mbwawa ya Nyimba ya Mungu, Hale na Pangani hakuna???
Jibu swali mkuu, electrical frequencies na gasoline vinashabihiana vipi? Kuna connection gani kati ya frequencies za umeme na mafuta?Ndugu kwahiyo unataka nikujibu kipi hapo?
Unaelewa kwanini umeme mkubwa hautakiwi kupita juu ya bomba kubwa la mafuta? Unaelewa ni kwa nn?
Unafaham mikoa ya kaskazini inapokea megawatts ngapi na ina upungufu wa megawatts ngapi?
Kwa moves zinazofanywa na Wizara nyingi hapa Tanzania hata wewe Lumumba Buku Saba usiyejua wapi pa kutumia "l" na "r" unaweza kuwazidi akili vizuri tu.Unataka kuniambia wewe unaakili kuliko wizara waliotathimini wakaona wakachukulie kenya!
Wakati mwingine Vijana tunahoji vitu vingine havina hata msingi!
Nimekutolea mfano ungekuwa wewe ungesafilisha maji kutoka Dar upeleke dodoma wakati Dom kuna mtu anatafta wateja kwa gharama nafuu?
Haikuwa siasa mkuu, binafsi naamini haikuwa siasa, ila ubovu wa mifumo ndio unafanya ionekane hivyo. Hakuna mifumo thabiti ya kusimamia mipango na utekelezaji wake ndio maana maono ya kiongozi mmoja yanafifishwa pale tu mwingine anapoanza madaraka.Kumbe kuimbishwa kote kwamba bwawa la Rugiji likikamilika matatizo ya umeme itakuwa mwisho ilikuwa ni siasa tu!
Sheria za pipeline transmission haziruhusu power line transmission kukatiza juu kwa usalama!Jibu swali mkuu, electrical frequencies na gasoline vinashabihiana vipi? Kuna connection gani kati ya frequencies za umeme na mafuta?
Ethiopia, Uganda, Zambia watu Plan B yao ya umeme wamenunua wapi?Kuna ukame! Imetazamwa Plan B, wakati taratibu za uboreshaji zikiendelea taratibu za plan A.
Huwezi wazimia umeme wakazi wa kaskazini ili ufanye marekebisho makubwa! Unatakiwa uwe na umeme mbadala ambao ndio huo wa plan B ili kukata huu wa zamani kwa ajili ya matengenezo makubwa ya mabwawa ya nyumba ya Mungu!
Sijui kiswahiliKwa moves zinazofanywa na Wizara nyingi hapa Tanzania hata wewe Lumumba Buku Saba usiyejua wapi pa kutumia "l" na "r" unaweza kuwazidi akili vizuri tu.
Mbona uliongelea mambo ya frequencies?Sheria za pipeline transmission haziruhusu power line transmission kukatiza juu kwa usalama!
Kufanya matengenezo ya kudumu katika bwawa la nyumba ya mungu linahitaji si chini ya misimu miwili ya mvua!Ethiopia, Uganda, Zambia watu Plan B yao ya umeme wamenunua wapi?
Unasema huwezi kuzima umeme kufanya matengenezo mboma wanazima kilamsiku, hata Dar ilikuwa kwenye mgawo juzi tu hapa.
Unazungumza kuhusu ukame, kwani Ethiopianumeme wao ni Nuclear??
Wanatumia Bwawa na tena Ethiopia ninmchi ambayo inakabiliwa na ukame kuliko sisi?
Ndiyo ipo hajaKwani si tunayo grid ya taifa tayari? Kuna haja ya kujenga miundo mbinu mipya kupeleka umeme kaskazini?