Umekosa cha kupinga 4-0Sawa.....usimjaze upepo mheshimiwa Raisi.....mwacheni afanye kile anachoona kinafaa,ukipinga wewe ulikuwa na maslahi,ukitetea wewe ni chawa....taifa la hovyo Sana hili.
Unafirimbwa mabao matatuumekosa cha kupinga 3-0
Umekosa cha kupinga 5-0Mkuu pole sana unapambana sana hadi nakuonea huruma! Hakuna anayemtoa kwenye barabara ni mkataba amesaini mwenyewe na kazi yetu ni kuuchambua na kueleza
Sama leko😂😂😂😂😂😂
Unachokipinga ni Waarabu na Uislam?Wewe hata tukikuuliza unaunga nini mkono huna cha kujibu. Maana haswa kinachokufanya uweweseke ni madhanio ya kuukuza Uislamu kupitia Waarabu.
Umekosa cha kupinga 7-0Ajuza once again!
Nimekupeleka kwenye mkataba tunaendelea bado 7-0Makubaliano yapi ? Mimi napinga mkataba Hauna uhalali kati ya Tanganyika na Dubai ports world tunataka waliomshauri raisi wajitokeze tuwahoji mambo mengi ambayo wewe huna majibu
[emoji7]
Huna unachopinga 9-0Kwenye hili la bandari sitaki mihemko...nimetulia ili muda ukitoa majibu sahihi nisinukuliwe popote pale. Ikiwa heri ni vyema lakini ikiwa siasa tutajifunza then tusonge mbele. So I don't declare anything.
Hupingi. 10-0Mimi sipingi, kwa jinsi wabongo wanavyopiga pale bandarini bora tumkabidhi mtu mwenye hofu ya uwepo wa Mungu japo miaka 100 tu.
We mbona ndo ungebaki hukohuko...Unachokipinga ni Waarabu na Uislam?
Umekosa cha kupinga 6-0.
Huna unachopinhga 11-0Samia,Gsm,Rostam= DP world
Huna unachopinga 12-0Asa kwani nyi mna shida gani saivi!!
View attachment 2673485
Huna unachopinga 13-0Chawa
Wewe naona unapoteza mda tuu ukalale ,na hamna usichokijua hatimae umegeuka kuwa kiroboto,hao tuliowapa dhamana hawana majibu ya icho walichokipitisha ila yote yako wazi ,hao chawa watakufa kwa maji ya motoNimekupeleka kwenye mkataba tunaendelea bado 7-0
Naomba kujua ukomo wa huu mkatabaWewe wacha ngonjera, siihitaji huruma yako.
Jibu unachokipinga nini? Usilete habari ya wengine hapa. Eti huruma , hunijuwi sikujuwi, hizo huruma kamuonee mumeo.
Huna unachopinga, unaleta ngonjera. 14-0Wewe unawajua ?
Unapima uelewa wa watu juu ya kupinga mkataba ,andaa questionersMimi naunga mkono makubaliano ya ushirikiano na maendeleo na Dubai katika yote yaliyoainishwa kwenye mkataba uliojadiliwa bungeni.
Wewe unaepinga unapinga nini? (Hatutaki ngonjera).
Siku nyingine angalau njoo na vifungu vya mkataba unavyoungamkono twende sawa badala ya kuleta mashairi.Mimi naunga mkono makubaliano ya ushirikiano na maendeleo na Dubai katika yote yaliyoainishwa kwenye mkataba uliojadiliwa bungeni.
Wewe unaepinga unapinga nini? (Hatutaki ngonjera).
Wewe, tumesema hatutaki ngonjera, sema wewe unaupinga nini, kama huupingi sema siupingi.