Wayahudi ndio wanaleta mzozano dunia nzima Hitler aliona hilo .mimi sina mahaba kabisa na wayahudi..ni mmoja ambae nswachukia sana hawa viumbe wayahudi.ila nazunguzia kile kilichotokea wakati ule.tafuta sababu kwanini vita ile walilengwa wayahudi.
Mimi nahisi hata huyu Rais wa iran labda ni pandikiziGermany, france, uk na marekani kwenye vita siku zote wana makubaliano ya kusimama pamoja kwahiyo hilo sio geni
Walishiriki kutunga uongo wakaisambaratisha iraq, libya etc nothing new iran akianzisha vita na israel wataungana kuondoa regime iliyopo ili waitawale iran kwa kuweka mtu wanayemtaka wao kwa maslahi yao, after that yale mafuta na resources zote ni za kwao dunia ndio ipo hivyo, ila kuna muumini wa nwamposa akishashiba kande anakwambia wanauliwa kwakuwa magaidi , watanzania tuna tatizo kubwa especially misingi yetu ya elimu ni poor ,ukifuatilia mijadala humu utaona wengi ni zero brain wanaongea ujinga ujinga tu they cant reason at all
Sikatai Iran analinda mipaka yake na rasilimali zake ila kuna watu wananguvu zaidi yako wanakuvamia na huna sapoti ni bora ukawa mpole maana utachakazwa tu kama Iraq.Saudi arabia sio mafala wanajua kula na kipofu.Ni vita ya kusurvive na kujilinda, hilo neno gaidi limewekwa kuwakandamiza tu watu fulani lisikuchanganye sana, hata mandela wakati anatetea taifa lake aliitwa gaidi na aliwekwa kwenye list ya magaidi na nchi za magharibi
Iran anachofanya ni kujaribu kusurvive na sio dini, kwasababu marekani na magharibi wanamuwinda kila kona watoe hii regime ya ayatollah waweke mtu watakaeweza kumcontrol na kulinda maslahi ya marekani kama ilivyo saudi arabia , uae etc
IRan anapigania uhai wake na israel imeanzishwa only kulinda maslahi ya nchi za magharibi middle east ,pitia hotuba ya biden miaka ya 60 huko alisema lazima liwepo taifa la israel ili kulinda maslahi ya marekani ,its just a matter of time before marekani na washirika wake kuivamia iran maana ndio kikwazo kilichobaki middle east kwengine kote wana control wao hao dini inatoka wapi? Marekani na mambo ya dini wapi na wapi
We umetokea wapi ..huoni kikao ni cha wanaume tuh .Ona huyy brainless mwingine, unaubongoooo au tope kichwani?
Ugaidi ni neno la kipropaganda kuwapumbaza wajinga waone kupambania na adu Mmarekani na vibaraka wake ni kosa.Ila Kusema ukweli Iran wanasapoti Magaidi hilo usikatae mkuu
Ukweli ni huo huwezi kupigana na nchi za magharibi ambazo zina mikataba ya kupigana kwa pamoja its impossible ,iran hawezi kushinda vita hivyoSikatai Iran analinda mipaka yake na rasilimali zake ila kuna watu wananguvu zaidi yako wanakuvamia na huna sapoti ni bora ukawa mpole maana utachakazwa tu kama Iraq.Saudi arabia sio mafala wanajua kula na kipofu.
Ila nao iran kama ni kisasi wasingeongea bali wangewatafuta waisrael wanaoona wana umuhimu kwao na kuwa eliminate kimya kimya hata kama wapo nchi ganiSikatai Iran analinda mipaka yake na rasilimali zake ila kuna watu wananguvu zaidi yako wanakuvamia na huna sapoti ni bora ukawa mpole maana utachakazwa tu kama Iraq.Saudi arabia sio mafala wanajua kula na kipofu.
Iran kusapoti ugaidi ndio sawa!!!Germany, france, uk na marekani kwenye vita siku zote wana makubaliano ya kusimama pamoja kwahiyo hilo sio geni
Walishiriki kutunga uongo wakaisambaratisha iraq, libya etc nothing new iran akianzisha vita na israel wataungana kuondoa regime iliyopo ili waitawale iran kwa kuweka mtu wanayemtaka wao kwa maslahi yao, after that yale mafuta na resources zote ni za kwao dunia ndio ipo hivyo, ila kuna muumini wa nwamposa akishashiba kande anakwambia wanauliwa kwakuwa magaidi , watanzania tuna tatizo kubwa especially misingi yetu ya elimu ni poor ,ukifuatilia mijadala humu utaona wengi ni zero brain wanaongea ujinga ujinga tu they cant reason at all
Ndugu Israel nilikuwa nawambia siku zote hapa hawa wafuasi wa Paulo hajawahi pigana na warabu bila kusaidiwa na America. Western na nchi za kiarabu haswa hio Jordan ndio alikuwa akitoa siri vipi warabu wamejipanga. Siku hizi nchi ambazo zilikuwa zinamuita Israel adui, wa kwanza UAE ndio kawa kipenzi kikubwa cha Israel. Saud Arabia siku zote yuko na Israel isipokuwa yule King Faisal ndio alikuwa hayuko kabisa na Israel wakamua kwa kutumia mtoto wa ndugu yake hao America.Waziri wa ulinzi wa Ujerumani,Boris Pistorius, amesema kulitumia jeshi la nchi yake kuilinda Israel iwapo itashambuliwa na Iran si jambo linalohitaji kujadiliwa.
Kauli hiyo ya Ujerumani inafuatiwa na uamuzi wa Marekani kupeleka meli na askari kuizunguka Israel ili kuipa ulinzi nchi hiyo ambayo kwa sasa imejiongezea maadui kufuatia vita vya miezi 10 na Hamas.
Hayo yakitokea wafalme wa nchi za mashariki ya kati walilala muda wote wa miezi 10 ya vita na bado wanaendelea kulala huku ndugu zao wa Palestina wakimalizwa kwa kuuliwa kwa njia ya silaha nzito na njaa.
Wa iran ni wabishi wale jamaa maana kwa vikwazo walivyo wekewa ingekua nchi lege lege ingekua imejichokea km somalia.Naona kwa sasa wamechoka wameamua lolote liwe wamechagua vita.Mm nauhakika Iran itachapwa vibaya sana.Ila nao iran kama ni kisasi wasingeongea bali wangewatafuta waisrael wanaoona wana umuhimu kwao na kuwa eliminate kimya kimya hata kama wapo nchi gani
Badala ya vita
Atoboe wapi Iran🤣🤣naona waajemi wamechoka tu wameamua liwalo na liwe na wanajua kabisa outcome yake ila naona wameona bora gari liende.Si mda mrefu oale Iran patakua na magofu ya kutosha kama syria.Ukweli ni huo huwezi kupigana na nchi za magharibi ambazo zina mikataba ya kupigana kwa pamoja its impossible ,iran hawezi kushinda vita hivyo
Uk, marekani, france,italy ,germany spain etc
Huwezi kupigana nao kwanza wana budhet kubwa sana za silaha na vita, huku iran kawekewa vikwazo kwa zaidi ya 50 years
Ussr ishasambaratishwa atleast ilikuwa threat kwa nchi za magharibi ,russia wanamchosha kwa vita na ukraine ni ngumu kuja kuisaidia iran successfully ,sioni iran akitoboa
Iran ina nini cha ziada, Iraq ilisifiwa kweli mpaka tukajua huenda ikaitawala dunia . Cha ajabu siku 23 watu wako Bagdadi. Baada ya miezi nane mzee akafukuliwa kwenye shimo chafu. Nilijiuliza maswali mengi.Watanzania wengi wana akili mgando kama zako ambazo kila siku wanadhani kile kilichotokea mwaka 1967 kitajirudia na kudhani eti kuna majeshi kutoka nje yanaweza kuitawala Iran ili kuchota mafuta.
Watu wa aina yako huwa wanajiona wana akili sana japo huwa hawana kumbukumbu ya hata kilichoitokea puani Marekani huko Iraq na Afghanistan hivi majuzi tu.Taifa hilo liliingia hasara kubwa kwa tamaa za mali na hatimaye wakakimbia wakiacha silaha zao kwa adui.
Wangekua wanaenda kinyume na maagizo ya mtume na kile kitabu chao, maana wameagizwa kuuwa wayahudi popote pale walipo.Hivi najiuliza,kama Hamas wangewaachia mateka.Wakaacha kurusha maroketi.Wakajikita kujenga miundombinu,elimu,teknolojia.Wakawa wanaenda kuswali Al Aqsa bila fujo.Wakaanzisha majadiliano ya kibiashara na kidiplomasia na Israel.Shida ingekuwa nini.
Iran sio nchi ndogoWa iran ni wabishi wale jamaa maana kwa vikwazo walivyo wekewa ingekua nchi lege lege ingekua imejichokea km somalia.Naona kwa sasa wamechoka wameamua lolote liwe wamechagua vita.Mm nauhakika Iran itachapwa vibaya sana.
Atoboe wapi Iran🤣🤣naona waajemi wamechoka tu wameamua liwalo na liwe na wanajua kabisa outcome yake ila naona wameona bora gari liende.Si mda mrefu oale Iran patakua na magofu ya kutosha kama syria.
Waziri wa ulinzi wa Ujerumani,Boris Pistorius, amesema kulitumia jeshi la nchi yake kuilinda Israel iwapo itashambuliwa na Iran si jambo linalohitaji kujadiliwa.
Kauli hiyo ya Ujerumani inafuatiwa na uamuzi wa Marekani kupeleka meli na askari kuizunguka Israel ili kuipa ulinzi nchi hiyo ambayo kwa sasa imejiongezea maadui kufuatia vita vya miezi 10 na Hamas.
Hayo yakitokea wafalme wa nchi za mashariki ya kati walilala muda wote wa miezi 10 ya vita na bado wanaendelea kulala huku ndugu zao wa Palestina wakimalizwa kwa kuuliwa kwa njia ya silaha nzito na njaa.
Wangekua wanaenda kinyume na maagizo ya mtume na kile kitabu chao, maana wameagizwa kuuwa wayahudi popote pale walipo.
German anajuwa kuwa hao wayahudi itabidi warejee kwao Ujerumani walikotoka ndio anaanza kuwa na wasiwasiIran sio nchi ndogo
Kimbuka iran ni mara mbili ya population ya Iraq lakini Iraq ilivamiwa na dunia nzima, nchi kubwa zote zilimchangia na ardhi za waarabu wengine zilitumika pamoja na bahari zao kwa manowari kubwa kubwa
Iran kama unavyoona German ameongea kuhusu kumtetea Israel kwani wanajua wakiwaacha wawili watamalizana vibaya
Jordan anasema atatungua makombora yanayoenda israel ila haoni kuwa vita itageukia kwake na makombora yatashuka kwake na uchumi wake kudorora
Mkuu vita sio mchezo hata wao wazungu wanajua uchumi wa Dunia utayumba ingawa kuna wakati Raisi wetu mmoja mstaafu aliwahi kusema sisi hayatuhusu kiuchumi ila yaliyotokea aliona aibu kulipngelea tena
Hueleweki shekhe. Umechanganyikiwa na kipigo cha myahudiKumbe mungu wao ni mmarekani , muingereza na mjerumani huyo ndiye aliyewateuwa ??
Wote wanahaha na wengi sana wameondoka israel na kuyakimbia makazi yao mda mrefuGerman anajuwa kuwa hao wayahudi itabidi warejee kwao Ujerumani walikotoka ndio anaanza kuwa na wasiwasi
Hueleweki shekhe. Umechanganyikiwa na kipigo cha myahudi