Uchaguzi 2020 Ujio wa Tundu Lissu utatufanya tukapige kura

Kabisa......... TUNDU LISSU is missed so much
 
Akija nitaenda kupiga kura, asipokuja hata sipotezi mda wangu
 
mwaka 2020 kweli unakuja na propaganza za kichina na kirusi wenyewe wameondoka huko maana wanajuwa wazungu ni mali,ndio Maana magufuli anajuwa hilo na wazungu ni rafiki zake maana ndio wanatoa fedha za dawa ,shule wanamkopesha fedha za miradi mikubwa anayoiendesha sasa basi acha ujinga na propaganda mfu
 
Kuwa msaliti hakuhitaji mda mrefu! Anaweza alifanya mema mwanzoni ndiyo, lakini tangu 2015 amekuwa msaliti. Hivyo, mema yake yote ya nyuma yamefutwa. Na sasa ni msaliti.
msaliti ni Magufulialibadilisha mfumo wa utawala wa amani na heshima ya nchi Tanzania nakuigeuza lindi la damu za watu, akitupa watu mitoni maziwani na baharini wengine akilisha mamba ndio msaliti haijapata kutokea utawala uliofanya mauaji ya wazi kama huu wote tuliona kwa macho
 
mbona nyie Magufuli munamwita mtukufu unaona wivu na wengine wakiwa na wao mbona mumewafukuza watu uwanachama waliotaka kugombea uraisi kama akina Membe
 

Waambie ccm wakusomeshe Kwanza
 
Wamtoneshe tena mguu uleule wa kushoto maeneo ya kwenye paja.
 
Msaliti - Lissu is a Sellout and sellouts have to be necklaced. Yaani wamvishe tairi la gari na uwashwe moto - Sellout
sellout ni usalam wa taifa polisi ambao wameruhusu nchi imeingizwa kwenye lindi la damu dhuluma ukatili wa kutisha na wizi usiomithirika na umaskini uliotopea kwa wananchi
 
Juzi nikamwwmbua bibi yangu kwamba yule mbunge ambaye alipigwa risasi akapona anataka kugombea urais. Bibi alishangazwa sana na kusema yeye binafsi anamsubiri arudi Tz amuone. Kura yake ni kwa lissu. Nakuhakikishia wengi watampigua lissu
 
Vijana karibia wote tukoupande was huyu mwamba,haiwezekani miaka mitano ya utawala hakuna ajira bora aje jamaa ampe ushindani
 
Aje atuondolee ukomunist,na Monopoly.Sote ni wapangaji sawa equal chance wa dunia hii,
 
Itafanyiwa kazi chief. Tunashukuru kwa ushauri
 
Hii ni thread ya malofa kupunguzia stress
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…