long live my love
JF-Expert Member
- Feb 23, 2014
- 1,064
- 1,012
Sasa wewe ndio nimekuelewa. Nilikua gizani.Mgombea akishinda jimbo fulani (yaani popular votes kwenye jimbo hilo), basi anapata pia electoral votes kwenye jimbo hilo.
Kwa mfano, Kamala Harris wa California akishinda jimboni kwake, anaondoka na electoral votes 54 (ambazo ni kura za jimbo lake tu). Ndivyo inakuwa kwa majimbo yote, hadi afikishe jumla ya kura 270+
Ni wazi kwamba bila popular votes huwezi kupata electoral votes. Hizi zinategemeana kabisa.
Yap... Watu wengi uelewa wa masuala ya uongozi na philosophy Wana knowledge ndogo...Hiyo ni democracy?
Kwa hesabu zako, 1 ukizidisha na 50 unapata 538? Kama unazungumzia majimbo ya uchaguzi, yenyewe yako 435. Kama ndivyo, bado kimahesabu umepuyanga mno.Kila Jimbo hapo juu mshindi wake hupata kura 1
Wewe ndiye muongo, buana.Mkuu Idadi ya wajumbe siyo wajumbe wapatao 538 kama ulivyodai.
Hiyo namba ni jumla ya majimbo ya uchaguzi na Kila Jimbo mojani kura moja hivyo jumla yake ndiyo hiyo 538
Unapotosha kijana, hii imewekwa ili kila jimbo liwe na sauti otherwise Rais angekua anaamuliwa na New York na California. Kumbuka zile ni majimbo huru yaliyoungana so lazima kila mmoja awe na umuhimu. Hata Kenya huwezi kuwa rais mpaka upate walau 25% ya kura walau kwenye nusu ya kaunti zote 47!!Baadala yake Rais wa Marekani na makamu wake wanaingizwa madarakani na wajumbe wapatao 538 kutoka kwenye majimbo 50 yanayounda nchi hiyo tajiri kiuchumi na yenye nguvu kubwa za kijeshi duniani
Hiyo ni uongoooo, buana. Mleta-mada amefafanua vizuri sana. Rejea kwenye maelezo yake.Kura zinapigwa na wajumbe wa Baraza la uchaguzi na Kila mshindi kwenye Jimbo la uchaguzi huesabiwa amepata kura moja hivyo atakayefikisha kura 270 Kwa maana ya majimbo ya uchaguzi ndiyo mshindi
Yaani hapa tanzania mfano Kila MKOA mgombea akishinda huesabiwa kura moja hivyo jumlisha mikoa yote atakayeongoza ndiye mshindi
California = 54Majimbo yote yanauwiano sawa/unaokaribiana wa hawa wajumbe
Misleading, lazima upate kura nyingi za wananchi ili ushinde hizo electoral college votes kwa jimbo moja moja ila tofauti ni kwamba majimbo hayalingani wingi wa watu so unaweza shinda majimbo mengi ila ukapoteza popular vote.Kwa hiyo mgombea anaweza kupata kura chache za wananchi akaja kupata kura nyingi za electoral college votes na kushinda urais
Hii labda Kenya, kwa Tanzania ni first past the Post... yaani huo mfano wa ubunge ndio huo huo kwenye Urais. Nakumbuka warioba ndio alitaka Urais lazima upate 50% ila CCM walipinga.Kwa mfano, katika uchaguzi wa Tz, mshindi wa kiti cha urais ni lazima apate zaidi ya 50% ya kura zote halali,
Anachosema ni kwamba hao wajumbe hawachagui rais bali popular votes za majimbo ndio huamua rais. Yaani ili uchukue votes 19 za Philadelphia ni lazima ushinde popular vote ya Philadelphia and so on. Na ukishashinda zaidi ya 270 unatambulika kama rais huwa hawasubiri eti hao "wajumbe" ndio waje kupiga kura tofauti na za wananchi, in fact miaka yote wajumbe huwa wanapiga vile vile kama matokeo yaliyotangazwa.Lakini Electoral College imeshatoa Marais watano walioshindwa Popular vote wa karibuni wakiwa George Bush na Trump.
Sasa inavokuaga ni California inakuwa ni ngome ya Democrats alafu Texas na majimbo mengine ambayo yana cancel out wingi wa Kura za CaliforniaCalifornia = 54
Texas = 40
Florida = 30
New York = 28
Pennsylvania = 19
Alaska = 3
Delaware = 3
Vermont = 3
North Dakota = 3
South Dakota = 3
Je, hapo unaona kuna uwiano na ukaribiano wowote wa wajumbe?
Wew ndo umefanya nielewe vizuri sasa, asante!Nafikiri USA waliweka huu mfumo ili kubalance maamuzi ili kwamba Raisi hasitokane na majimbo yenye wapiga kura wengi pekee bali awe ni wa wamarekani wote! Mfano kwetu hapa mgombea akipata kura nyingi kanda ya ziwa na Dar basi hana haja na kura za Zanzibar au kusini, ili linafanya maeneo machache ndiyo yaamue nani awe raisi wa inchi.
Kwa mantiki hii USA wakaja na mfumo wa kwamba katika jimbo x lenye wapiga kura million 5 ukipata kura nyingi zaidi ya mwenzio utapata kura zote 3 za electrol na mgombea mwenzako katika jimbo Y lenye wapiga kura laki 5 akikuzidi kura za wananchi atapata kura zote 3 za electrol! Kwa mantiki hii ukijumlisha kura za wananchi aliyeshinda kwenye jimbo x ataonekana ana kura nyingi lakini kwenye kuingia ikuru bado analingana na aliyeshinda kwenye jimbo Y. Ili ndo lilitokea kwa Trump na Clinton
Umesahau ulichoandika mwenyewe, au?👇Sasa inavokuaga ni California inakuwa ni ngome ya Democrats alafu Texas na majimbo mengine ambayo yana cancel out wingi wa Kura za California
California inawatu millioni 39-40 na uchumi wake karibu trillion 3,
Texas na Florida niza wakaazi karibu 50Mil 30, kwa 20 na uchumi ni wao ni mdogo kuliko Californi, kwa Democracy tofatuti na Marekani, Vyama vingekuwa vinafocus majimbo yenye watu wengi na kuyaacha majimbo madogo, badala yake mfumo wa wamarekani unawafanya wagombea na vyama viangalie majimbo yote kwa usawa
Majimbo yote yanauwiano sawa/unaokaribiana wa hawa wajumbe
Unawajua Ronald Reagan na Richard Nixon?Misleading, lazima upate kura nyingi za wananchi ili ushinde hizo electoral college votes kwa jimbo moja moja ila tofauti ni kwamba majimbo hayalingani wingi wa watu so unaweza shinda majimbo mengi ila ukapoteza popular vote.
Kwahiyo hii imewekwa ili rais achaguliwe na majimbo mengi sio majimbo mawili yatoe rais, ingekua hivo republican wasingewahi shinda Urais milele
Uchaguzi ni Kanuni na Kanuni ndiyo hizo labda uamue kubisha Kwa hisia zakoHiyo ni uongoooo, buana. Mleta-mada amefafanua vizuri sana. Rejea kwenye maelezo yake.
Majimbo 50 hayo ya kiutawalaKwa hesabu zako, 1 ukizidisha na 50 unapata 538? Kama unazungumzia majimbo ya uchaguzi, yenyewe yako 435. Kama ndivyo, bado kimahesabu umepuyanga mno.
Rejea kwenye maelezo ya mleta-mada, namna 538 inavyopatikana.
Kwa hesabu zako, 1 ukizidisha na 50 unapata 538? Kama unazungumzia majimbo ya uchaguzi, yenyewe yako 435. Kama ndivyo, bado kimahesabu umepuyanga mno.
Rejea kwenye maelezo ya mleta-mada, namna 538 inavyopatikana.
Anachosema ni kwamba hao wajumbe hawachagui rais bali popular votes za majimbo ndio huamua rais. Yaani ili uchukue votes 19 za Philadelphia ni lazima ushinde popular vote ya Philadelphia and so on. Na ukishashinda zaidi ya 270 unatambulika kama rais huwa hawasubiri eti hao "wajumbe" ndio waje kupiga kura tofauti na za wananchi, in fact miaka yote wajumbe huwa wanapiga vile vile kama matokeo yaliyotangazwa.
Nadhani mleta mada kuna nanna haufahamu uchaguzi wa USA kiuhalisia, ni kama umekaririshwa fulani au ameandika kinadharia mnoo hata kama alichokiandika kuna chembechembe za ukweli.
Kwa kifupi sana, mfumo wa uchaguzi wa USA kumpata raisi wake huamuliwa na wamerekani wenyewe kwa wingi wao na wala sio kweli kuwa mshindi huamuliwa na wajumbe wa Electoral college! Ukishinda Popular votes katika majimbo mengi na muhimu zaidi basi wewe tayari ni mshindi. Kura za wajumbe wa Electoral college ni hitimisho la mchakato wa kura za Popular vote za kila jimbo. Kwanini nasema hivyo, waza haya.
1. Uchaguzi wa USA rasmi (ambapo Popular votes hupigwa) utafanyika siku ya jumanne (5/November) na katika hali ya kawaida kufikia jioni ya siku ya jumatano (6/November) tayari mshindi wa kiti cha urais wa USA atakuwa tayari amejulikana kwa kila mtu dunia nzima, wakati upigaji wa kura za wajumbe wa Electoral college zitakuja kufanyika wiki kadhaa huko baadaye. Kama wajumbe wa Electoral college (independently) huamia mshindi wa urais wa USA, kwanini mshindi ajulikane kabla ya kura zao kupigwa?
2. Hakuna mgombea yoyote wala chama chochote katika USA kinachoweza kupoteza hata dakika moja kuwafuata hao wajumbe wa Electoral college kikiomba kura zao. Yaani hakunaga kampeni za kuwashawishi hao wajumbe wa electoral college. Sio kwamba inakatazwa bali kimsingi hakuna mantiki ya kufanya hivyo.
Sasa Kama hao wajumbe ndio huamua nani awe rais, kwanini wagombea na vyama vyao wasitumie kila resource kuwashawishi hao wajumbe kuliko kutumia hizo resource kusaka popular votes ambazo 'haziamui' nani awe rais?
HITIMISHO LANGU.
Mchakato wa uchaguzi wa USA kumpata mshindi hauna tofauti yoyote ya kimsingi na chaguzi zingine za nchi nyingi za kidemokrasia ya moja kwa moja, tofauti chache zinazoelezwa zipo katika sayansi ya kutafsiri walio wengi ni kina nani au wamepatikanaje. Kwa mfano, katika uchaguzi wa Tz, mshindi wa kiti cha urais ni lazima apate zaidi ya 50% ya kura zote halali, na mshindi wa kiti cha ubunge au udiwani ni yule mwenye kura nyingi zaidi ya wagombea wengine (hata kama mshindi amepata chini ya 9% ya kura zote).