Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa tatizo la ukame ni kukata miti milioni mbili au Mbowe kushikiliwa isivyo halali?Mbowe asipoachiwa basi mjiandae majibu haya mawili ya mafungo yenu:
Moja, mvua haitanyesha kabisa na ukame mkubwa utaiandama nchi na wengi wataathirika sana
Pili, mvua zitanyesha kubwa sana hadi kuharibu mazao, mali na kuchukua hata uhai....
The choice is yours
Rais Ni mzima hata Leo nimeongea nae, anachapa kaziWalisema kila halmashauri ipande miti 1.5m. Hakuna aliyejali, hakuna mtu anawachukulia serious hawa jamaa. Wanajua wanaropoka bila kumaanisha.
I love thisViongoz wa din wanaombea MVUA mdomon Huku moyon wanaombea MBOWE AWASHINDE MADHALIMU...
Labda wajaze mkojoNovember 11-2021 maji yalisha jazwa eti?
CorrelationSasa tatizo la ukame ni kukata miti milioni mbili au Mbowe kushikiliwa isivyo halali?
Tanzania kuna miti milioni ngapi kiasi cha hiyo miWakati tunatangaza kuharibu miti zaidi million mbili tulimuomba Mungu?? Au wenzetu hamjui umuhimu wa miti?
Haya mlipanda miti mingapi?? Leo hii mnataka kufunga eti Mungu alete mvua....you guys! Mko Sawa kweli??
Tusimdhibaki Mungu ana kazi za msingi sana kuliko hii, yaani tukate miti kwa mbwembwe vile kisa mnajenga bwawa? Liko wapi? Mtalijaza mikojo Wallah.
Anyway, CCM.hoyeeee, mitano tena
View attachment 2015760
Kwanza twambie hapa tanzania kuna jumla ya miti milioni ngapi?
Hebu rudia kusoma tena, sijawahi kuwatetea, yaani kama huoni kuwa kukata miti kuna athari kwa namna Fulani....point yangu ni kupinga maombi wanayotaka kufanya kwa mgongo wa ukameMsitetee watu wanaposhindwa kutimiza majukumu yao, maana hata kupanda miti mpaka waambiwe?
Aiseeee basi elimu haijawahi kumsaidia mtuMbona umeandika kwa kutumiaa hisia zaidi kuliko akili.
Na wewe pia huwezi kumpangia Mungu kwa watu wake!.
Huo mradi hauna uhusiano na kutonyesha kwa mvua
Laana ya Mbowe inawatafunaMbowe asipoachiwa basi mjiandae majibu haya mawili ya mafungo yenu:
Moja, mvua haitanyesha kabisa na ukame mkubwa utaiandama nchi na wengi wataathirika sana
Pili, mvua zitanyesha kubwa sana hadi kuharibu mazao, mali na kuchukua hata uhai....
The choice is yours
Mabonde ya Maji nchi hii practically hayaelewiki kazi yao ni nini. Kiuhalisia ndio walitakiwa watunze/ wahifadhi vyanzo vya maji lakini wao wamekuwa wanaangalia upande wa biashara- kuuza vibali vya matumizi ya maji pamoja na vibali vya ruhusu ya kuruhusu maji yaliyotumika kurudi kwenye mfumo " discharge permits". Ukweli wa mambo ni kuwa kazi ya uhifadhi inafanyika kidogo sana kwa kuweka tu mabango, na elimu kidogo, na inakuwa haina tangible results. Matokeo yake ndiyo haya tunayoona leo. Kwa hiyo ni afadhali kufanya haya haraka.Wakati tunatangaza kuharibu miti zaidi million mbili tulimuomba Mungu?? Au wenzetu hamjui umuhimu wa miti?
Haya mlipanda miti mingapi?? Leo hii mnataka kufunga eti Mungu alete mvua....you guys! Mko Sawa kweli??
Tusimdhibaki Mungu ana kazi za msingi sana kuliko hii, yaani tukate miti kwa mbwembwe vile kisa mnajenga bwawa? Liko wapi? Mtalijaza mikojo Wallah.
Anyway, CCM.hoyeeee, mitano tena
View attachment 2015760
Kwani wakati huyo wazili akiwa wazili awamu ya tano nani alimzuia kupanda miti, na je hakujua umuhimu wa miti?Hebu rudia kusoma tena, sijawahi kuwatetea, yaani kama huoni kuwa kukata miti kuna athari kwa namna Fulani....point yangu ni kupinga maombi wanayotaka kufanya kwa mgongo wa ukame
Hoja mufilisi kabisa hii, yaani mnapambana kutafuta chaka la kujifichia maovu yenu mpaka mnakera…. Effects zimeanza kusomeka baada ya kifo cha mzee baba sio!Wakati tunatangaza kuharibu miti zaidi million mbili tulimuomba Mungu?? Au wenzetu hamjui umuhimu wa miti?
Haya mlipanda miti mingapi?? Leo hii mnataka kufunga eti Mungu alete mvua....you guys! Mko Sawa kweli??
Tusimdhibaki Mungu ana kazi za msingi sana kuliko hii, yaani tukate miti kwa mbwembwe vile kisa mnajenga bwawa? Liko wapi? Mtalijaza mikojo Wallah.
Anyway, CCM.hoyeeee, mitano tena
View attachment 2015760
Umesema kweli tupu, last week nilikua wilaya Fulani asubuhi tunapata supu jirani Na ofisi ya DC, basi Mama mmoja kapigiwa simu, akawa anaongea kwa ukali kiasi kwamba ikavuta hisia za wengine, kuna msukuma kaingiza mifugo kwenye chanzo cha maji, wamemkamata....Ukweli wa mambo ni kuwa kazi ya uhifadhi inafanyika kidogo sana kwa kuweka tu mabango, na elimu kidogo, na inakuwa haina tangible results
Huachi kodi ya meza unaenda kwa mganga wa jadi akuimarishie ndoa yakoWakati tunatangaza kuharibu miti zaidi million mbili tulimuomba Mungu?? Au wenzetu hamjui umuhimu wa miti?
Haya mlipanda miti mingapi?? Leo hii mnataka kufunga eti Mungu alete mvua....you guys! Mko Sawa kweli??
Tusimdhibaki Mungu ana kazi za msingi sana kuliko hii, yaani tukate miti kwa mbwembwe vile kisa mnajenga bwawa? Liko wapi? Mtalijaza mikojo Wallah.
Anyway, CCM.hoyeeee, mitano tena
View attachment 2015760
Sidhani kama nimekuelewaHoja mufilisi kabisa hii, yaani mnapambana kutafuta chaka la kujifichia maovu yenu mpaka mnakera…. Effects zimeanza kusomeka baada ya kifo cha mzee baba sio!
Hahahah hakuna namnaHuachi kodi ya meza unaenda kwa mganga wa jadi akuimarishie ndoa yako
Akili zako hazina akili .Mbona Dubai na saudi arabia hawana shira ya maji na ni jangwa?