Cannabis
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 11,557
- 33,535
Wao viongozi wao wengi wana akili wa kwetu wana ubongo😆Mbona Dubai na saudi arabia hawana shira ya maji na ni jangwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wao viongozi wao wengi wana akili wa kwetu wana ubongo😆Mbona Dubai na saudi arabia hawana shira ya maji na ni jangwa?
Ili tuwe kama DubaiAkili zako hazina akili .
Maeneo yanatofautiana ASILI yake,
Au Unataka kusema nini,?! Tukate tu Miti tuwe Jangwa kama Dubai ya joto 50+?!
Wa kwetu wako na nini?Wao viongozi wao wengi wana akili wa kwetu wana ubongo😆
Yaani kama huu ndio mtizamo wako basi tuna shida, ukame ni kweli umekuepo enzi na enzi, but tunaweza kuitumia hio kama justification ya kukata miti hovyo kwakua ukame uliwahi kuwepo??Nani alihusika na huo ukame mpaka na ngombe za wamasai zikawa zinakufa na watu kugawiwa chakula?
Waafrika wengi wana ubongo, upo tu kama kiungo ndani ya fuvu la kichwa, ni mkusanyiko wa nyama ambao hauwezi kuchakata fikra na kutoa majibu sahihi kwa matatizo yanayowazunguka 🧠💀Wa kwetu wako na nini?
Wanachakachuwa maji ya Bahari.Mbona Dubai na saudi arabia hawana shira ya maji na ni jangwa?
MaCCM yameshindwa kutuletea Dubai ya maendeleo . Wanatuletea JANGWA la DUBAI. Tule vumbi na joto.Ili tuwe kama Dubai
Dah karibu supuWaafrika wengi wana ubongo, upo tu kama kiungo ndani ya fuvu la kichwa, ni mkusanyiko wa nyama ambao hauwezi kuchakata fikra na kutoa majibu sahihi kwa matatizo yanayowazunguka 🧠💀
Hahahah shenzy kabisa! Hii Kali sana, wanataka tule vumbi tufeMaCCM yameshindwa kutuletea Dubai ya maendeleo . Wanatuletea JANGWA la DUBAI. Tule vumbi na joto.
LAANAKUM MaCCM.
NChi za jangwani kama Saudia, Sudan, Algeria n.k wao wanapata wapi maji na umeme wa uhakika?Wakati tunatangaza kuharibu miti zaidi million mbili tulimuomba Mungu?? Au wenzetu hamjui umuhimu wa miti?
Haya mlipanda miti mingapi?? Leo hii mnataka kufunga eti Mungu alete mvua....you guys! Mko
Umefikiria mbali sana kama niko kwenye nafasi kila mti ukikata unatozwa laki moja na upande mwingineMbowe asipoachiwa basi mjiandae majibu haya mawili ya mafungo yenu:
Moja, mvua haitanyesha kabisa na ukame mkubwa utaiandama nchi na wengi wataathirika sana
Pili, mvua zitanyesha kubwa sana hadi kuharibu mazao, mali na kuchukua hata uhai....
The choice is yours
Akili ni nywele kila mtu analysis zake. Miti ikatwe Rufiji mvua hazinyeshi Sehemu zingine, unalaumu kukata miti millioni 2Wakati tunatangaza kuharibu miti zaidi million mbili tulimuomba Mungu?? Au wenzetu hamjui umuhimu wa miti?
Haya mlipanda miti mingapi?? Leo hii mnataka kufunga eti Mungu alete mvua....you guys! Mko Sawa kweli??
Tusimdhibaki Mungu ana kazi za msingi sana kuliko hii, yaani tukate miti kwa mbwembwe vile kisa mnajenga bwawa? Liko wapi? Mtalijaza mikojo Wallah.
Anyway, CCM.hoyeeee, mitano tena
View attachment 2015760
MKUU HUKU KATAVI NA RUKWA HAKUNA MVUA NAKWENYEWE WAMEKATA MITI MILIONI NGAPI?Wakati tunatangaza kuharibu miti zaidi million mbili tulimuomba Mungu?? Au wenzetu hamjui umuhimu wa miti?
Haya mlipanda miti mingapi?? Leo hii mnataka kufunga eti Mungu alete mvua....you guys! Mko Sawa kweli??
Tusimdhibaki Mungu ana kazi za msingi sana kuliko hii, yaani tukate miti kwa mbwembwe vile kisa mnajenga bwawa? Liko wapi? Mtalijaza mikojo Wallah.
Anyway, CCM.hoyeeee, mitano tena
View attachment 2015760
Kuna mdau kasema tukate miti tuwe kama Dubai....naona una uelekeo huoNChi kama za jangwani, Saudia, Sudan, Algeria n.k wao wanapata wapi maji na umeme wa uhakika?
Ni michache sio?Akili ni nywele kila mtu analysis zake. Miti ikatwe Rufiji mvua hazinyeshi Sehemu zingine, unalaumu kukata miti millioni 2
Ukiangalia kwa mtazamo huo mfinyu utakua huitendei haki taaluma yakoMKUU HUKU KATAVI NA RUKWA HAKUNA MVUA NAKWENYEWE WAMEKATA MITI MILIONI NGAPI?
Ni ujinga kudhani mradi wa bwawa ndio umeharibu mazingira. Nipe jibu hizo nchi hakuna shida ya maji wala umeme,wao wanapata wapi?Kuna mdau kasema tukate miti tuwe kama Dubai....naona una uelekeo huo
Sipo kwa ajili ya kubishana, kateni miti tuwe kama hizo nchi basi. Poor thinkingNi ujinga kudhani mradi wa bwawa ndio umeharibu mazingira. Nipe jibu hizo nchi hakuna shida ya maji wala umeme,wao wanapata wapi?
Magu alianzisha mpango wa kutoa miche ya miti bure 5m kila mwaka ili kutunza uoto wa asiliWakati tunatangaza kuharibu miti zaidi million mbili tulimuomba Mungu?? Au wenzetu hamjui umuhimu wa miti?
Haya mlipanda miti mingapi?? Leo hii mnataka kufunga eti Mungu alete mvua....you guys! Mko Sawa kweli??
Tusimdhibaki Mungu ana kazi za msingi sana kuliko hii, yaani tukate miti kwa mbwembwe vile kisa mnajenga bwawa? Liko wapi? Mtalijaza mikojo Wallah.
Anyway, CCM.hoyeeee, mitano tena
View attachment 2015760