Ukichelewa kuolewa kuoa hii ni shida

Ndoa ni tendo.

Sasa wewe na huyo asiyesimamisha mtakuwa mnafanya biashara gani nyingine?
Nadhani itakuwa biashara ya ukuaji, watashindana kunenepa 😂😂. Wataambuana honey kitambi changu kimekuzidi😂
 
Anzia chini kwenda juu kumyoosha
 
Sasa inakuwaje unaolewa na mwanaume ambae asimamishi, hapo ni sawa umeolewa na shosti mwenzio tu
 
Akili zako bhana eti mti nyama hahahah!
 
Hapana hasimamishi sasa nisiseme
Ila Wachagga wengi wanasemwa wako weak sana kwenye 6 x 6 sijui kwa nini? Hata kama atakuwa anasimamisha lazima atagongewa tu na mahela yake! Tulikaa Moshi miaka ya '90s mwishoni kuelekea 2000 wamama wa Kichagga wakawa wanatupigisha hizo story huku wakisifia kabila letu linavyojua shughuli, kwani tuliwachelewesha? Tuliwang'oa centre bolt vibaya sana!
 
Kwa hiyo sasa hivi ana 52? Kwisha habari yake! Sasa hivi ni chakula ya waganga wa kienye!!
 
Slow down pets and kids at play...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…