Ravalomanana
JF-Expert Member
- Sep 8, 2018
- 1,557
- 1,540
Kwaiyo unataka kuniambia dar inawazaramo wengi kiasi hicho ?Hii takwimu ya asilimia 90 umeipata wapi? Au Kwa sababu Wadar es salaam hawaongei vilugha kama mikoani kwenu? Bado wenyeji Wana account asilimia zaidi ya 60%. Ila huwezi tambua mapema Kwa kuwa wanaongeza Lugha ya KISWAHILI.
Maskini wa Dar ni sawa tajiri wa mkoani
Ukuaji w dar ndio unaonifanya niamini dar wageni ni wengi kuliko wazawa na hiyo ni moja ya sifa ya miji mikubwa ,population ya dar miaka 30 iliyopita ilikua chini ya milion 1.5 unadhani hii population iliyoongezeka mpaka kufikia mil 5 na points ni yawazaramo?Hii takwimu ya asilimia 90 umeipata wapi? Au Kwa sababu Wadar es salaam hawaongei vilugha kama mikoani kwenu? Bado wenyeji Wana account asilimia zaidi ya 60%. Ila huwezi tambua mapema Kwa kuwa wanaongeza Lugha ya KISWAHILI.
Maskini wa Dar ni sawa tajiri wa mkoani
Hizi ni stori za kwenye mbege tu.Unafahamu mashati,tarakea,holili? Ni miji kabisa ina Kila kitu Ila kiutawala ni Kijijin [emoji2][emoji2][emoji2] inaonekana huijui Kilimanjaro ndugu raval omanana wasalimie hapo Antananarivo
Mashati Kuna huduma gani haipo? Holili,tarakea Hadi bank zipo n'a ni KijijiniHizi ni stori za kwenye mbege tu.
Yaani Mashati, tarakea na holili ni miji?
Aisee
Mashati na Tarakea ni vijijini.Mashati Kuna huduma gani haipo? Holili,tarakea Hadi bank zipo n'a ni Kijijini
Hahaa kweli kama pale holili pamepoa kama pilipili hohoHizi ni stori za kwenye mbege tu.
Yaani Mashati, tarakea na holili ni miji?
Aisee
Holili na tarakea kuna benk sababu ni mipakani ,mbona hata tanga mpaka wa horohoro kuna benkiMashati Kuna huduma gani haipo? Holili,tarakea Hadi bank zipo n'a ni Kijijini
Punguza kamba yani moshi dc iwe na shule nyingi za msingi kuliko halmashauri zote Tanzania ?,yaani iipite hata wilaya ya ilala yenye watu zaidi ya milion 1.5?Naam Sasa tufanyeje? Mungu alishaumba hivyo Kilimanjaro
Hushangai Kilimanjaro Licha ya udogo huo inaongoza kwa kuwa na shule nyingi za sekondar kuliko mkoa wowote Tanzania ? Pia Moshi DC ni wilaya ya kwanza kuwa na shule nyingi za msingi Tanzania amazing
Hata tarakea haiingii hata robo ya Sirari.Hahaa kweli kama pale holili pamepoa kama pilipili hoho
Acha ushamba ndugu,Hizo ni takwimu halisi sio hiyo tu,mkoa WA Kilimanjaro ni mkoa WA kwanza kwa shule nyingi za sekondar kuliko mkoa wowotePunguza kamba yani moshi dc iwe na shule nyingi za msingi kuliko halmashauri zote Tanzania ?,yaani iipite hata wilaya ya ilala yenye watu zaidi ya milion 1.5?
Haters mtazidi kuaibikaHata tarakea haiingii hata robo ya Sirari.
Hata upande wa Pili Kenya wamepatelekeza, hakuna mji.
Ndio maana, pamoja na kuwa na border Mbili za Holili na tarakea lakini ni vijiji na vimechoka kinoma [emoji23]
Tarakea MotamburuHaters mtazidi kuaibika
ToaHaters mtazidi kuaibika
Nini maana ya mjini? Kwetu uchagan mjini ni maeneo yenye lami,nyumba yenye maji na umeme, huduma zote za kijamii vijijini,kikwetu hiyo ndio maana ya mji kama www unadhani mjin ni eneo Dogo lenye ghorofa mbili tatu alafu ukienda kidgo unakuta majumba ya nyasi kama kwenu geita pole sana,Sisi wachaga maghorofa hayo tunayajenga vijijinTarakea Motamburu
Tarakea Kitendeni
Reha
Nanjara
Mjini ni wapi???[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mjini ni kule ambako wachagga wengi wanakimbilia. Period.Nini maana ya mjini? Kwetu uchagan mjini ni maeneo yenye lami,nyumba yenye maji na umeme, huduma zote za kijamii vijijini,kikwetu hiyo ndio maana ya mji kama www unadhani mjin ni eneo Dogo lenye ghorofa mbili tatu alafu ukienda kidgo unakuta majumba ya nyasi kama kwenu geita pole sana,Sisi wachaga maghorofa hayo tunayajenga vijijin
Kwahyo wachina walivyotapakaa Africa ina maanisha china hakuna kitu? Una Elimu gan?Mjini ni kule ambako wachagga wengi wanakimbilia. Period.
Hakuna mchagga anatoka Hai, kukimbilia Rombo.
Au kutoka Siha kukimbilia Hai.
Kilimanjaro fursa.
Ni viamba vya wazee wastaafu tu.
Na kweli Kusini kwa Sasa hivi mambo moto sana . Graphite na Gesi zitawainua sana! Ila angalizo: pelekeni watoto shule. Elimu ndio itawaokoa. Vinginevyo itakuwa kama Dubai, wageni wengi kuliko wenyeji kwasababu wenyeji hawajasoma!Nyie pambambaneni tu na majungu tu wakati kusini tukifanya vitu kweli sio showoff
Bob sio kusini ya mtwara ni kusini magharibiNa kweli Kusini kwa Sasa hivi mambo moto sana . Graphite na Gesi zitawainua sana! Ila angalizo: pelekeni watoto shule. Elimu ndio itawaokoa. Vinginevyo itakuwa kama Dubai, wageni wengi kuliko wenyeji kwasababu wenyeji hawajasoma!
Yaani Iringa, Njombe, Mbeya, Ruvuma hicho kipande ukikimega na tz bara unaweza pata nchi mbili yaani nchi tajiri sana na maskini sana.Na kweli Kusini kwa Sasa hivi mambo moto sana . Graphite na Gesi zitawainua sana! Ila angalizo: pelekeni watoto shule. Elimu ndio itawaokoa. Vinginevyo itakuwa kama Dubai, wageni wengi kuliko wenyeji kwasababu wenyeji hawajasoma!