lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,571
- 35,475
Kwani mtu ukiisha kua mfungwa ukimaliza kifungo unapoteza uhalali wq kufanya kazi?Wagner Group ni kikosi kilichoundwa na wapiganaji binafsi kutoka mataifa mengi. Miongoni mwao ni wafungwa kutoka magereza ya Urusi wakiwemo Waafrika.
Umewakuza tu bila facts wala sababu za msingi.
Wagner mercenaries chief admits Russia facing Bakhmut resistance
Yevgeny Prigozhin has admitted Russian troops are engaged in a fierce fight to take the Ukrainian city of Bakhmut.www.aljazeera.com
Hata Mimi nimegundua hilo.Sema Una Kawivu bwana pole sana
DW ni noma, mgogoro wa Libya kuna mkono wa Russia kupitia hiyo wagner Group?
Unawajua blackwater? Unajua walichokifanya Fallujah Iraq ile 2003?
Kaa ukijua tu anachofanya Russia na USA anakifanya au ameshakifanya tena kwa uovu zaidi kuliko Russia
Mweleze kua kua na Raia wa nchi nyingine kunaiondolea Wagner uhalali wa kua na ya Urusi?Kwani kuna shida kwao kua na wapiganaji toka AFRIKA na TANZANIA
Ile ni Private Millitary Company ukiona unaweza kwenda hata wewe unaruhusiwa labda kwa pale TANZANIA wanazuiwa tu sheria za nchi yao ila nchi nyengine kawaida
Kuhusiana na msiba hasa wa jamaa yetu TARIMO umetuuma sana sababu ni MUAFRIKA mwemzetu MTANZIANI na mwisho kabisa BINAADAMU
Ila TARIMO alikufa kishujaa akiipambania DUNIA sio kuiharibu kama wanavyofanya WESTERN na shost zao
Sent using Jamii Forums mobile app
Wagner Group halitambuliki kisheria kama jeshi halali la Urusi. Linafanya kazi zake za kijeshi kinyume cha sheria za Urusi.Kwani mtu ukiisha kua mfungwa ukimaliza kifungo unapoteza uhalali wq kufanya kazi?
Kwani Wagner kua na askari kutoka mataifa mengine inapoteza uhalali kua ni jeshi linalotokea Urusi?
Wagner Group siyo jeshi halali la Urusi. Unazijua sheria za Urusi? Je, unafahamu kuwa kwa mujibu wa sheria za Urusi majeshi binafsi ya kukodi ni uvunjifu wa sheria?Mweleze kua kua na Raia wa nchi nyingine kunaiondolea Wagner uhalali wa kua na ya Urusi?
Je anafahamu kua jeshi la USA Lina raia wa nchi nyingine?
Tatizo umekaririshwa kuwa Russia sikuzote ni wachokozi na USA siku zote ni maraika mpatanishiNina wasiwasi na uwezo wako wa kufikiri, umeathirika na propaganda za western and Eastern bloc, tumia akili bwashee so unamanisha propaganda za Russia kwako ni ukweli si ndiyo?
Ukraine ni taifa huru kama ilivyo Tanzania, anayo haki ya kujiunga na jumuiya yoyote ile duniani bila kupangiwa au kuingiliwa mambo yake ok.
Uhalisia, Ukraine umechokozwa na kuvamiwa na Russia kwa sababu na malengo binafsi ya Putin ok, anachokifanya Putin kwa raia wa Ukraine ndicho walichokifanya Western powers katika mataifa mengine.
So kusema kwamba Russia hapigani na Ukraine, et Ukraine ni uwanja tu ni ujinga na kutoielewa historia vilivo ok, Russia anaonyeshwa ubabe wa Magharibi pamoja na kupiga mkwara yote bt Western powers wanamuonyesha kwamba hawamuogopi ok
Wagner ni kundi la kihalifu tu lenye mafungamano na Putin.Mkubwa wa mashetani analichukia sana hilo dude linaloitwa WAGNER.
WAGNER IS STRONG THAN NATO. jiwe gizani
Ndugu zao kupingana na ukweli wangu sio kwamba wao wapo sahihiAcha porojo!
Nakupa mtihani mdogo tu: funga safari nenda katika familia na ndugu za hao wahanga kisha waambie kwamba ndugu yao/zao walikufa kishujaa wakiipambania "dunia".
Nenda katika mataifa ya Afrika yenye wahanga kutoka Wagner Group, kawaeleze familia na ndugu zao hicho ulichosema.
Nenda kaziambie hivyo serikali na nchi zilizohitaji majibu kuhusu raia wake kufa baada ya kutumika vitani na Wagner Group (Urusi).
Ukisalimika, usisahau kuleta mrejesho hapa!
Kupanga nikuchagua wao wameamua kuipigania field mie nimeamua kuipigania jfWewe unaipigania Wagner Group (inayopigania "dunia") ukiwa wapi?
Majeshi ya kukodi ndani ya RUSSIA ndio hayaruhusiwi ila nje ya hapo ruhsaWagner Group siyo jeshi halali la Urusi. Unazijua sheria za Urusi? Je, unafahamu kuwa kwa mujibu wa sheria za Urusi majeshi binafsi ya kukodi ni uvunjifu wa sheria?
Unazijua sheria na taratibu za kujiunga na jeshi la Marekani?
Wagner kundi la kihalifu kasema nani nakwakigezo gani !!!??Wagner ni kundi la kihalifu tu lenye mafungamano na Putin.
Rip Nemes Tarimo..
Hayo ni matokeo baada ya baba lenu kubanwa makende na kuwatangazia wanae kuwa WAGNER ni bedui🤣🤣🤣Wagner ni kundi la kihalifu tu lenye mafungamano na Putin.
Rip Nemes Tarimo..
Wewe utaenda lini kuipambania dunia ?Ila TARIMO alikufa kishujaa akiipambania DUNIA sio kuiharibu kama wanavyofanya WESTERN na shost zao
Ili uipambanie dunia unatakiwa kwenda wapi?Wewe utaenda lini kuipambania dunia ?
Wewe unaipigania Wagner Group (inayopigania "dunia") ukiwa wapi?
Bado haujaanza safari tu? Umeanza kujihami mapema kuwa watakupinga kwa sababu huna facts za kuwathibitishia huo "ukweli" wako?
Kwa mujibu wa Bwana Utam ni Ukraine vitani.Ili uipambanie dunia unatakiwa kwenda wapi?