Ukitaka kuwatesa warembo wakali wa mjini, wakutafute kwa udi na uvumba, fanya hivi wewe mwanaume

Inasaidia sana, usifeli kwenye shoo
 
Maisha ya mwanadamu ni miaka 80, ikizidi hapo ni bahati; maisha ni kama 'game' leo upo kesho haupo; jitahidi kuishi kwa furaha uwezavyo.
Swali, ni kipi kinachokupa wewe furaha zaidi asilimia 150% (extra ordinary)?​
 
Lakini tayari ushakula de Libolozi? Inatosha hata ukisepa maana ushapata faida ya kuonja show ambayo hutaionja sehemu..
 
Yaani nimpende mtu ambae hawezi kuninunulia hata vocha? Ili iweje?
Mwanaume lazima uwe na kitu hata kama ni kidogo ndo utapendwa...tusidanganyane hapa eti huna kitu kabisa upendwe.
Nyie ndio wale waume zenu wakilazwa hospitali, mnawakimbia.
 
Mkuu zile za mr ma nguruwe sijui dr ma nguruwe yule wa dodoma ulimsikia alipotelea wapi???noma sanaaaaa hawa watoto wakali/pisi kali tumekuachia ww na HARMONIZE
Hawa ni wabata tu, ukiwaweka ndani ni mtihani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…