Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
-
- #121
Inasaidia sana, usifeli kwenye shooYote tisa nasema tena yote tisa
Kumi sasa hii ni kwa wanaume wote hapa nalenga wale wenye 6+" Hakikisha ukipewa mbususu japo kwa bahati mbaya fanya kama hujawahi fanya na kama hutawahi fanya tena kisha kausha usipige wala kupokea simu tena japo kwa miezi miwili.
Uone mrejesho wake,, narudia tena kusema kama Umejaaliwa 6+" pamoja na mapafu ya mbwa shukuru sana kila iitwapo leo hakuna zawadi kama hiyo hapa duniani kamwe..
Sio magari wala majumba
Yaani nimpende mtu ambae hawezi kuninunulia hata vocha? Ili iweje?Hujawahi kumpenda mtu jinsi alivyo, na ukahisi kama atakuacha unaweza kujinyonga?
Asikilizie tu π πAkikuambia kuna dili anasikilizia umsikilize na umpatie naf
Exactly, features alizo-narate zimekaa ki-LGBTπMwanaume Rijali unayepembana haiwezekan kila muda uwe unanukia perfume.
Mnafanya Wanaume Wa Dar waonekane Mchele mchele
Mkuu zile za mr ma nguruwe sijui dr ma nguruwe yule wa dodoma ulimsikia alipotelea wapi???noma sanaaaaa hawa watoto wakali/pisi kali tumekuachia ww na HARMONIZETena nyie wafugaji ndio mko vizuri, nguruwe 10 tu wanabadilisha maisha yako.
DaaaahMfananishe na huyu
View attachment 3230536
Nimesoma vipengele viwili vya kwanza, Nika Cheka Sana, this is total bullshit! Ngozi inukie pesa, kwa kukesha kwa mwamposa na kapola! C Mon dude, surely ur life ambition can not, should not be to attract women, and being womanizer!
Even our own Diamond of WCB,with all the riches he has managed to accumulate, does not go out fucking any creature with skirt!
For young people create wealthy(don't ask me how, am a bodaboda rider), pesa ni muhimu Sana, women, and sweet staff will come, but let it not be the driving force for you to create money! Life is more than that!
Kuna vijana kibao kitaa, hawana ajira, tengeneza ajira kwa ajili yao
kumbe huko daaslamu kuna hadi jinzi za kijani na memba humu mpo kimya tu!
Vaa suruali ya jinsi ya kijani na shati jeupe linaloonyesha vest uliovaa ndani. Kama utakosa jinsi ya kijani, unaweza kuvaa zilizopo.
Dunia hii ina vyombo hatari πDaaaah
Lakini tayari ushakula de Libolozi? Inatosha hata ukisepa maana ushapata faida ya kuonja show ambayo hutaionja sehemu..Yaani mimi lazima nikuombe utake usitake. Kama hujiongezi kwa vipesa vya hapa na pale au zawadi ndogo ndogo my friend ujue kuna mwingine tu ambae anafanya hivyo kwangu.
Nature ya mwaaume ni kuhudumia..ipo hivyo kwa upande wangu na itaendelea kuwa hivyo milele na milele amina. Hutaki...unasepa tu kiroho safi wala sikuulizi
Una maoni gani kwa huyu..π π π π π hapa hata uwe na nywele safi hadi ubongo uonekane . Kama hutoi hela hakuna atakayekuhitaji.
Huyu anajua majukumu yake π π Kisa cha kuwa na limtu lisafi halafu halihudumii la nini Jamani π π π .Una maoni gani kwa huyu..
View attachment 3230547
Bora uteseke kwa wanaofaa kutesekewaKutesekea mwanamke niliacha zamani sana.
Maana haya ni mateso.
Lengo la mahusiano ni leboloz na K. Kila mmoja kapata anachostahiliLakini tayari ushakula de Libolozi? Inatosha hata ukisepa maana ushapata faida ya kuonja show ambayo hutaionja sehemu..
Nyie ndio wale waume zenu wakilazwa hospitali, mnawakimbia.Yaani nimpende mtu ambae hawezi kuninunulia hata vocha? Ili iweje?
Mwanaume lazima uwe na kitu hata kama ni kidogo ndo utapendwa...tusidanganyane hapa eti huna kitu kabisa upendwe.
Muwapende na muwahudumieAsikilizie tu π π
Simkimbii atahudumiwa kama kawa maana ameshanihudumia mimi vya kutosha.Nyie ndio wale waume zenu wakilazwa hospitali, mnawakimbia.
Hawa ni wabata tu, ukiwaweka ndani ni mtihaniMkuu zile za mr ma nguruwe sijui dr ma nguruwe yule wa dodoma ulimsikia alipotelea wapi???noma sanaaaaa hawa watoto wakali/pisi kali tumekuachia ww na HARMONIZE