Ukizaa na mume wa mtu, jukumu la kulea mtoto ni lako mwenyewe!

"Kwenye suala la ngono hakuna mwanaume anayejitambua".

Sikujibu tena kwa kuwa hujitambui, bado hujakomaa akili.

Kwa heri.
Ukiona mtu anajizima data wkt wa ngono ujue Hilo Ni tatzo tayar
 
Pumba
 
Tafsiri yake ukiwachepuko pambana mume wa mtu akumegee chako mapema
 
Wewe ndio hujitambui,
Kama ungekuwa umekomaa Akili usingeshindwa kulijua Jambo Hilo kuwa Sisi wanaume Mbele ya ngono hatuna ujanja, hatujitambui.

Kila la kheri, ukienda kujifunza Jando maana unaonekana hukupita huko
Mimi kwenye ngono najitambua, siwezi fanya ngono zembe hata kama nina ukame wa miaka 50, akili zinatofautiana
 
Mimi kwenye ngono najitambua, siwezi fanya ngono zembe hata kama nina ukame wa miaka 50, akili zinatofautiana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Naona unasema kishujaa mwenyewee ila kiukweli wanaume ukikutaa mwanamke pisiii genyeee lazimaa ziongoze akili yako labda kama unakutana na wabovuuu...
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Naona unasema kishujaa mwenyewee ila kiukweli wanaume ukikutaa mwanamke pisiii genyeee lazimaa ziongoze akili yako labda kama unakutana na wabovuuu...

ATI anajifanya hafanyi ngono zembe alafu muda huohuo anakiri anatoka nje ya Ndoa. Ili ujue kuna Watu wanaakili kisoda.

Huyo Suleiman mwenyewe aliyeandika aziniye na Mwanamke Hana Akili kabisa, ameshazini na Wanawake zaidi ya miatatu. Sasa unafikiri Suleiman hajitambui mara ngapi.

😀😀
 

Na Hili ndio tatizo linaloendelea katika kizazi cha SASA. Upendo Sawa na sifuri
 

Ni wajibu wa wazazi kuwafundisha binti zetu
 
- ukipelekwa Mahakamani, inakuwa ni lawful order, ukiikiuka unapigwa contempt of court/kudharau mahakama, unaenda jela
😁😁 eti jela, unafikiri ni rahisi hivyo jaribu kushika mimba ya mwamba mwenye familia yake alafu uje uandike tena hapa ulivyofanikiwa kumfunga.
 
😁😁 eti jela, unafikiri ni rahisi hivyo jaribu kushika mimba ya mwamba mwenye familia yake alafu uje uandike tena hapa ulivyofanikiwa kumfunga.
  • Mimi ni mwanaume acha uduanzi
  • unajua maana ya contempt of court lakini unaweza kukuta hata huelewi
 
Watu mnasahau agizo la kwanza la Mungu alilowapa wanadamu. Enendeni ulimwenguni mkazae muijaze nchi. Mm naona Tanzania hata haijajaa ni mapori tu mara hadi tunayaita mara mapori ya akiba mara mapori tengefu.

Natoa rai enyi wakina dada bebeni mimba hizo mzae muijaze Tanzania. Mungu akileta mtoto ataleta na sahani yake
#Muhudumuuuuletaaa

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Sioni Vifungu vya Sheria.

Sheria inamtambua mtoto wa ndani ya Familia tuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…