Asee nilijua utapinga π
Thanks
Vipi wewe mtoto wako wa kike apate mume kama wewe ama Mungu amuepushe?π
Mda wa kampeni bado uchaguzi ukikaribia tume itaruhusu watu kujinadiHahahha mtoto wangu wa kiume akipata wife mwenye tabia zangu atafaidi sana.
Atakuwa na mke anayekuja na packages kama zoteβ¦ Mpishi mzuri, mlezi bora, entertainer (mwimbaji na dancerπ) ndani hapaboi hapakeri, mwenye kujua kupeti peti mume (massage kama zote). Ila atateseka maana huwa nina gubu wakati mwingine.
Hahaha nilijua tuπMda wa kampeni bado uchaguzi ukikaribia tume itaruhusu watu kujinadi
Ambao hawajapata mtu sahihi mi nipo sehemu salama πMsipoacha tamaa mtatafunwa kama nyama choma
ππHapana aiseee mimi sijui mapenzi afu jeuri kubembeleza siwezi mwanangu wa kike na alivyo mrembo apate tu mwanaume mwingine awe ata mfilipino uko
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kweli afu[emoji23][emoji23]
Wasipokuwa na hizo tamaa ndio hawatafunwi mkuuMsipoacha tamaa mtatafunwa kama nyama choma
π naanzia wapi kupinga Jo, nipo obsessed na tuvitu vitu twako fulani hivi π·
Kama mimi, mmhh kuna roho inajibu YESSSS...
Lakini sasa kwa mbaaali naisikia nyingine inajibu NAHHHH, if you know what I mean
hapo kwenye HAPANA kuna ujambazi fulani fulani hivi π hutaki mwanao wa kike akutane nao, just tryin to be honest here π...
Asili yetu wanyakyuHapana aiseee mimi sijui mapenzi afu jeuri kubembeleza siwezi mwanangu wa kike na alivyo mrembo apate tu mwanaume mwingine awe ata mfilipino uko
Yes kabisa akatae ndoa na kuoa au vyoteKila mtu anajujua tabia zake, kama wewe ni mwanamke je uko tayari mtoto wako wa kiume aowe mwanamke mwenye tabia zako?
Na wewe mwanaume uko tayari mtoto wako wa kike aolewe na mwanaume mwenye tabia kama zako?
Mwanamke mwenye uwezo wa kujilipia bills zake hua anatafunwa Kwa hiari yake pia hawezi pelekeshwa kizembe lkn unakuta mdada anakaa mjini hana ramani anachojua ni kusumbua masela huyo kila mwenye Hela atapiga ili akidhi mahitajiWasipokuwa na hizo tamaa ndio hawatafunwi mkuu
Au cyo wazee wa CCAmbao hawajapata mtu sahihi mi nipo sehemu salama π
ππAu cyo wazee wa CC
Oohh, kwahiyo wanaoolewa ni hao wanaoweza kujilipia bills tu, lakini hao wanaosumbua masela hawaolewi siyoMwanamke mwenye uwezo wa kujilipia bills zake hua anatafunwa Kwa hiari yake pia hawezi pelekeshwa kizembe lkn unakuta mdada anakaa mjini hana ramani anachojua ni kusumbua masela huyo kila mwenye Hela atapiga ili akidhi mahitaji
Mambo ya kuoa sijazungumzia, nachosemea ni uhusiano uliopo baina ya tamaa na kugeuzwa ndafuOohh, kwahiyo wanaoolewa ni hao wanaoweza kujilipia bills tu, lakini hao wanaosumbua masela hawaolewi siyo