Ulishawahi kuwa kwenye mahusisno na msichana anayechagua vyakula? Mimi nilimlaza njaa siku mbili akaanza kula ugali dagaa

Ulishawahi kuwa kwenye mahusisno na msichana anayechagua vyakula? Mimi nilimlaza njaa siku mbili akaanza kula ugali dagaa

Maboga,magimbi,biriani ni misosi mitamu sana kwangu
Ndiyo ujue binaadam/watu tunatofautiana.

Kuna wengine makande hawali kabisa ila mimi Kande ukiweka na parachichi hapo pembeni ni hatari FIRE :FIRE::FIRE:
 
Hamna kilichonipata huo ushauti nilipewa na dingi kuhusu Hawa warembo.

"Huna mbele Wala nyuma kama mchezo wa sabuni" hii alinitamkia yule mwanamke shetani kabisa
🤣 mbona hujakutana na shetani bado..!!
 
Me huwa sina washkaji
Na washkaji niliokuwa nao zamani siwezi kutembea na mademu au na ex zao
Wewe ni snch na ndivyo washkaji wengi walivyo
 
Mimi sijawah kuubaliana na hii kitu, dada zangu hawana vitambi na tumelelewa maisha haya toka utotoni.
Na mimi huwa nawakomalia wanangu wasije kabisafuatisha hii tabia ya mama yao.

Ila wanawake hajui kipimo cha chakula ,sasa kwanini apike wali mwingi na ubakie halafu hauli? Kwanini asipike wa kutosha kwa usiku tu au kubakisha kidogo kwa watakukula? Mimi mwenyewe sipendi kula chakula kilicholala napenda kula fresh kilichopikwa kwa siku hiyo.

Nilichogundua baadhi ya wanawake hawataki kupika pika uvivu so anapiga chakula kingi akitegemea wengine waje kula kesho yake yeye asijishughulishe.
 
Ila wanawake hajui kipimo cha chakula ,sasa kwanini apike wali mwingi na ubakie halafu hauli? Kwanini asipike wa kutosha kwa usiku tu au kubakisha kidogo kwa watakukula? Mimi mwenyewe sipendi kula chakula kilicholala napenda kula fresh kilichopikwa kwa siku hiyo.

Nilichogundua baadhi ya wanawake hawataki kupika pika uvivu so anapiga chakula kingi akitegemea wengine waje kula kesho yake yeye asijishughulishe.
Acha tu. Nisiseme sana
 
Ila wanawake hajui kipimo cha chakula ,sasa kwanini apike wali mwingi na ubakie halafu hauli? Kwanini asipike wa kutosha kwa usiku tu au kubakisha kidogo kwa watakukula? Mimi mwenyewe sipendi kula chakula kilicholala napenda kula fresh kilichopikwa kwa siku hiyo.

Nilichogundua baadhi ya wanawake hawataki kupika pika uvivu so anapiga chakula kingi akitegemea wengine waje kula kesho yake yeye asijishughulishe.
Hao wengi wao hawajafikia level ya kujitafutia maisha,wakianza kujitegemea akili za budget zinakaa sawa
 
Huyu binti alikuwa ni mpenzi wa rafiki yangu,sijui walizinguana nini,saa nne usiku akanipigia simu kuwa amezinguana na rafiki yangu yaani mpenzi wake na hajui atalala wapi hana hata mia mbovu

Nikamwambia njoo ulale kwangu,usiku mrefu ndugu zanguni,nilikuwa naishi kighetogheto chumba kimoja ,itoshe kusema tukalala mzungu wa pili kufumba na kufumbua tuko tunaivunja amri ya sita kimasihara.,shetani mtu mbaya sana

Kesho yake ilikuwa weekend ,sie watu wa pwani tunajua kukirimu wageni,mjinga mimi nikanunua kilo ya nyama akasema hali nyama,ndani kulikuwa na kabeji akasema huwa hali kabeji,nikazunguka genge la jiranikuchukua dagaa akasema dagaa akila anasikia kichefuchefu,nikazunguka nyuma kuchuma matembele nayo hatumii,nyanya chungu na bamia pia hatumii,maarage akasema anasikia kiungulia,anataka samaki tu,
Ugali wa dona akasema hatumii pia.

nilimpuuza siku mbili mpaka alipoanza kula ugalii dagaa nikampa nauli arudi kwao

Nilishangaa jamaa aliwezake kuishi na huyu kiumbe kwa muda wote huo

Mimi bunafsi ni mtu ninayekula kila kitu kasoro sumu,nilikuwa njombe nikaletewa ugali na mboga inaitwa mkalifya ni chungu mithili ya shubiri ila ugali uliisha
Mimi nilimlaza njaa siku moja kagoma kula eti hataki kitimoto.Siku hizi ni mlaji mzuri mambo ya imani na vyakula wapi na wapi.
 
Mkuu ni 40,000 juzi tu jumamosi nlipita Kkoo, nikaishia kusema kwanza Hawa huwa siwapendi nikachukua wa Mwanza 13,000 tu .

Nikawaza huu ndio mfano harisi wa maisha magumu, yaani Mwaka juzi dagaa wa Mwanza kila 6000, Bukoba 8,000 Hawa wakigoma ndio ilikuwa elfu kumi na.
Dagaa wamekuwa ghali kuliko nyama, utashangaa maisha yanavyozidi kuwa magumu.
 
Niliwahi kuwa na kabinti ka namna hiyo, hata chakula kanachokula unakuta kanagusa na kuacha...nikamwambia haya sio maisha mama, kama hutaki chakula ni bora tusiagize kuliko hiki unachokifanya.
 
Baadae ukaanza kufukia misosi, unakula kama nyangumi, maugali na michuzi yote unafukia kontena zima.
Njaa itakufunza nenda jela au boarding school za SERIKALI au zamia hata dar es salaam bila pesa Wala ndugu..

Mzee utakunywa maji ya chumvi na utayaona normal.

Mfano Mimi naonaga mbagala wanauza makwasu kwasu nikimaanisha..wanachemsha ngozi za ng'ombe na kuuza supu , pumbu za mbuzi ,ng"ombe na mapupu, bandama,vichwa vya kitimoto, miguu ya nguruwe
Mkuu 😊 utakula Mbona njaa ni best teacher.
 
Back
Top Bottom