Umeme umekatika Uwanja wa Benjamin Mkapa wakati Mechi ya Yanga na Rivers ikiendelea
Yaani, TANESCO Dar wanatakiwa kufukuzwa kazi haraka sana, hii aibu, lakinin iweje uwanja wa Taifa hauna hata Standby generator kweli? 😭😭😭😭
Uwanja kukosa Standby Generator haliwezi kua tatizo au kosa la Tanesco
 
Lakini haya ni mambo ya kawaida hata Dubai imewahi kutokea kwenye world cup
 
Vitu vingi hapa Tz ni uvundo tu. Huo mpira ni kwasababu uko live. Kuna takataka ambazo haziko live hizo ndo mbaya zaidi. Hatujamaliza kashifa ya waziri na gari la Serikali kubeba vimada, Sasa linaingia na umeme taifa. Yako mengi sana ndugu zangu. Tuko pabaya
 
Yaani, TANESCO Dar wanatakiwa kufukuzwa kazi haraka sana, hii aibu, lakinin iweje uwanja wa Taifa hauna hata Standby generator kweli? 😭😭😭😭
Umeme umekatika hadi Arusha mkuu, hii nchi watu hawako siriaz
 
Mchezo wa mkondo wa pili wa robo fainali ya kombe la Shirikisho Afrika kati ya wenyeji Young Africans SC dhidi ya Rivers United ya Nigeria imesimama kwa muda baada ya taa za uwanja wa Benjamin Mkapa kuzima ghafla.

Taa zimezima mchezo ukiwa 0-0 mnamo dakika ya 28.
Kwan we yanga inakusaidia nini? Na wawashe kandili au koroboi! I dont care
 
CCM Nchi imeshawashinda kimebaki kuwa kimbilio la wezi wa fedha na mali za umma.
 
Hizo milion 10 zinazotolewa, zilitakiwa zipelekwe kwenye maintenance kama hizi , ona sasa aibu tunavotia, watu wemgi wanafatilia hii michuano Africa.

Tunaonekana hatupo seriously kabis Tanzania kichwa cha mwend.........
 
Back
Top Bottom