DingiMbishi
JF-Expert Member
- Dec 30, 2021
- 449
- 647
Pesa za derby tu zilitosha kununua powerful standby generator,ni aibu mno kwa nchi kwa kweli,tena Dar,mikoani jeCAF fungieni hili liuwanja,ujinga umezidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pesa za derby tu zilitosha kununua powerful standby generator,ni aibu mno kwa nchi kwa kweli,tena Dar,mikoani jeCAF fungieni hili liuwanja,ujinga umezidi
Kwani kuna ubaya kuanzisha uzi? , siyo kila mtu anaangalia mpira.Upo fasta kuanzisha Uzi duuuh[emoji28][emoji28] utafikiri unalipwa[emoji1745]
Uwanja kukosa Standby Generator haliwezi kua tatizo au kosa la TanescoYaani, TANESCO Dar wanatakiwa kufukuzwa kazi haraka sana, hii aibu, lakinin iweje uwanja wa Taifa hauna hata Standby generator kweli? 😭😭😭😭
Umewahi sana!Wafungwe tuu
Aisee!Lakini haya ni mambo ya kawaida hata Dubai imewahi kutokea kwenye world cup
Ngojeni tuingie fainali na kunyanyua ndoo yetu kwanza😂CAF fungieni hili liuwanja,ujinga umezidi
Umeme umekatika hadi Arusha mkuu, hii nchi watu hawako siriazYaani, TANESCO Dar wanatakiwa kufukuzwa kazi haraka sana, hii aibu, lakinin iweje uwanja wa Taifa hauna hata Standby generator kweli? 😭😭😭😭
Kwan we yanga inakusaidia nini? Na wawashe kandili au koroboi! I dont careMchezo wa mkondo wa pili wa robo fainali ya kombe la Shirikisho Afrika kati ya wenyeji Young Africans SC dhidi ya Rivers United ya Nigeria imesimama kwa muda baada ya taa za uwanja wa Benjamin Mkapa kuzima ghafla.
Taa zimezima mchezo ukiwa 0-0 mnamo dakika ya 28.
🤣🤣🤣Theory inaonyesha taa zikizima mida hii team ya home kupot
UnawasiginaUwanja kukosa Standby Generator haliwezi kua tatizo au kosa la Tanesco