Msengapavi
JF-Expert Member
- Oct 23, 2008
- 8,819
- 7,638
Na kila mwanadamu ana wajibu wa kukabiliana na matokeo ya matendo au maneno yake. Makonda amemkosea sana yule dada na wanawake kwa ujumla. Anapaswa kuwajibika au kuwajibishwa.Kila mwanadamu ana udhaifu wake
Kikubwa utendaji, ulimi Una mengi
Ulimi unatengenezwa na shule ya Mungu Pekee
Hizo ni porojo tu, mbona uliufyata.binadaam mwenzio usimuogope. ni udongo tu unaosubiri kuyeyuka
Jamani Hapo kakosea wap kijana wa watu.Makonda ni mwehu.
Kwenye hicho kikao, yeye kama kiongozi wa mkoa, habari ya mke wake kuwa mzuri au mbaya ilikuwa na ubusiano gani? Nadhani ana uwezo mdogo sana wa akili. Hajui aseme nini, wapi, wakati gani na kwa namna gani. Yeye muda wote ni uropokaji.
chatanda kaunga tela ya haters,nchii uongozi imejaa wahuni wengi.Muulize Chatanda
Amakweli Dunia ina mambo, "KINYAGO" walicho kichonga wenyewe leo kinawatishaπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake (UWT) Marry Chatanda ameeleza kusikitishwa na kitendo cha Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda alichokiita unyanyasaji na udhalilishaji wa watendaji wanawake kwenye maeneo yao ya kazi.
Chatanda ameyasema hayo leo Jumamosi, Mei 25, 2024 jijini Dodoma wakati wa semina ya wabunge wa viti maalumu, manaibu waziri, mawaziri, makatibu wa jumuiya ya wazazi ngazi ya mkoa na wilaya ambapo mgeni rasmi alikuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tanzania bara, Abdurahman Kinana
"Kuna 'clip' imezunguka kule Arusha, Longido haikuwa jambo jema wala sio zuri hata kidogo, kama wewe ni kiongozi mkuu wa Serikali na umemuona mtendaji wako amekosea ni vizuri ukakaa na kuzungumza nao, kwa suala la udhalilishaji wa wanawake siwezi kukubaliana nalo, tunaomba tuheshimiwe wanawake, tena sisi wanawake ni watendaji wazuri kuliko wanaume.
Chatanda amesema kuwa clip hiyo tayari ameshamtumia Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara Abdulrahmani Kinana.
Hatua hii ya UWT inafuatia matamshi ya Makonda katika kipande kifupi cha video kinachosambaa katika mitandao ya kijamii ambapo anasikika akisema, ...usiongee na mimi hivyo nina mke mzuri huongei na mchumba wako hapa...
Hata kama Mimi unanibania pua nakuchana live!Merry chatanda amepiga kelele kumhusu makonda ,lakini pia chini chini mahali anakopita huyu kiongozi watu wanapiga kelele ambazo hazisikiki, sauti zinazomsifia ni zile ambazo zimejaa hofu. Kuogopwa! Labda anawaongoza watu kwa kuwatisha!
Moyoni hata waliomteua hawajui chakufanya! Anaweza akafanya vizuri mambo matano akaharibu mambo 20! Akipewa maiki kuhutubia watu wanashika roho mkononi kwa sababu anaweza kuongea lolote wakati wowote!
Huyu mtu ana ulemavu wa ulimi tusimhukumu ,tumuombee mungu amponye ,popote ulipo ndugu Paulo christian makonda pokea uponyaji wa ulimi katika jina la YESU kristo ,Amina
Mpenda kiki ameshaharibu...Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake (UWT) Marry Chatanda ameeleza kusikitishwa na kitendo cha Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda alichokiita unyanyasaji na udhalilishaji wa watendaji wanawake kwenye maeneo yao ya kazi.
Chatanda ameyasema hayo leo Jumamosi, Mei 25, 2024 jijini Dodoma wakati wa semina ya wabunge wa viti maalumu, manaibu waziri, mawaziri, makatibu wa jumuiya ya wazazi ngazi ya mkoa na wilaya ambapo mgeni rasmi alikuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tanzania bara, Abdurahman Kinana
"Kuna 'clip' imezunguka kule Arusha, Longido haikuwa jambo jema wala sio zuri hata kidogo, kama wewe ni kiongozi mkuu wa Serikali na umemuona mtendaji wako amekosea ni vizuri ukakaa na kuzungumza nao, kwa suala la udhalilishaji wa wanawake siwezi kukubaliana nalo, tunaomba tuheshimiwe wanawake, tena sisi wanawake ni watendaji wazuri kuliko wanaume.
Chatanda amesema kuwa clip hiyo tayari ameshamtumia Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara Abdulrahmani Kinana.
Hatua hii ya UWT inafuatia matamshi ya Makonda katika kipande kifupi cha video kinachosambaa katika mitandao ya kijamii ambapo anasikika akisema, ...usiongee na mimi hivyo nina mke mzuri huongei na mchumba wako hapa...
Na ni UWT?Kwani Lucas Mwaashambwa katumwa aseme yapi leo huko UWT?
Kumbe aliuawa!ππππ
Basi bongo tutakuwa tuna curse ya bahati mbaya aiseeHawa watakuja kulia na kusaga meno Makonda akiwa Rais. Jiandaeni.
Oya oyaaa huyo mzee mwenye kitofali bila shaka maslahi yake mapana yameingiliwa sio kwa kitofali hiko hapo anawaza akamshushie kamanda cha ubongo
Ulimi ndiyo huamua mtu azungumze nini?Merry chatanda amepiga kelele kumhusu makonda ,lakini pia chini chini mahali anakopita huyu kiongozi watu wanapiga kelele ambazo hazisikiki, sauti zinazomsifia ni zile ambazo zimejaa hofu. Kuogopwa! Labda anawaongoza watu kwa kuwatisha!
Moyoni hata waliomteua hawajui chakufanya! Anaweza akafanya vizuri mambo matano akaharibu mambo 20! Akipewa maiki kuhutubia watu wanashika roho mkononi kwa sababu anaweza kuongea lolote wakati wowote!
Huyu mtu ana ulemavu wa ulimi tusimhukumu ,tumuombee mungu amponye ,popote ulipo ndugu Paulo christian makonda pokea uponyaji wa ulimi katika jina la YESU kristo ,Amina
Usijali sana. Kuona kosa inategemea na ubongo wako kama uko sawa sawa.Mi sijaona kosa kusema hivyo.Angesema mimi na mke mzuri zaidi yako Sawa ila hapo sijaona kosa.