Mke hatakiwi kukupelekesha bwana.Mimi binafsi nina sababu moja kuu ya kutokupokea namba ngeni especially ninapokuwa na mke wangu..... kulinda mahusiano, kwani kuna mtu anaweza kupiga kwa kukosea na ikawa ni wa kike hiyo ni nongwa..... mpaka mke aelewe pashachafuka sana [emoji3][emoji12]
Hahahaha wabongo banaKUNA WENGI NAFASI ZAO ZA KAZI HAZIRUHUSU KUPOKEA POKEA NAMBA NGENI, KAMA NAMBA ZA HUDUMA KWA WATEJA.
PIGA SIMU ISIPOPOKELEWA TUMA MESEJI AU WASAP.HIVYO TU KISHA SUBIRI MUITIKIO/RESPONSE.
MIMI KWANGU HATA KAMA NI RAIS , ANAPIGA KWANGU NA SINA YAKE NAMBA SIPOKEI.
KUTOPOKEA SIMU NGENI NI NJIA NYINGINE YA KUKUFANYA UFOCUS KWENYE KAZI YAKO.
Au Sio... HahahahaaSina ila nikitaka kumtafuta mtu ambaye nahisi hana namba yangu basi natuma message.
Au sioHuwa sipokei namba ngeni sipendi usumbufu kama ni muhimu sana acha ujumbe nitaukuta.
Sio wote wenye kaliba ya kutuma sms,[emoji2] wabongo bwana.Ukiona simu hazipokelewi tuma sms.
Uogaa wa kutojiamini tuKama unawasiliana na mtu kwa mara ya kwanza jaribu kumtumia meseji kujitambulisha, hizi simu zimeshakuwa na usumbufu mwingi kuna vitu vingi watu wanakuwa wanavikwepa ikiwemo mizinga ya ghafla bin vuuuu.....
Utaambiwa una madeni au michepukoSio namba ngeni tu, hata kama namba yako ninayo ni maamuzi yangu kupokea au kutokupokea.
Na hata nikimpigia mtu asipopokea nitaacha ujumbe na ni maamuzi yake anitafute au asinitafute, na wala sioni sababu ya kulalamika.
Simu yangu, maamuzi yangu na vivyo hivyo kwa upande wako.
Au Sio[emoji2].Uzuri wa bongo sote tuko bizee lakini hatujui tuko bize na Nini maana tunajua thamani ya muda lakini muda haujui thamani yetu[emoji28][emoji28].Bongo bana.Watu wasiojua umuhimu wa muda na kuondoa distractions hawawezi kukuelewa.
Kuna watu wengine wanapata simu nyingi wakiamua kujibu kila simu itabidi wajipe kazi ya kuwa "Telephone Operator" juu ya kazi zao nyingine.
Hivi alieweka option ya sms unadhan alikua mjinga? Kama kutuma sms nayo ni mtihani basi abakie hivyo hivyoSio wote wenye kaliba ya kutuma sms,[emoji2] wabongo bwana.
Kabisa...Uoga + Uongo.
Kuna mtu au Hali anaikwepa.
Kuweka cm hewan na kutopokea pindi upigiwapo Ili Hali uko na simu ni nidhamu ya uoga.
Ujinga mtupuNi kwamba mtu amejitosheleza, hataki external vurugu ya aina yoyote
Ndo manake...na hii tabia nmeianza baada ya kuona namba ngeni nyingi ni usumbufu tu.Au sio
Mpaka kupigwa mzinga maana ake akili Yako haiko Sawa,Maana maamuzi ni ya kwako ya kusema "No" au "Impossible". Ndo maana tunasema ni kutokujiamini tu na uoga kama siyo uharifu na madeni.Mbongo hakawii kutaka kukupiga mzinga wa ghafla bin vuu mtu asiyekujua, halafu, usipopokea simu anakulaumu wewe.
Kama vile wewe ndiye umemsababishia matatizo yake.
Kwa kuwa wewe wa maana sana ndio unataka hadi utumiwe SMS kwanza au nini. Na hata hiyo SMS mnakuwa hamjibu nyinyi kwa nyodo zilivyowajaa.Unaweza ukamblock mchepuko halafu akatumia namba nyingine kukutafuta utaishia kupata aibu ni
Kama utapiga na namba isipokelew ni jambo dogo tu kujitambulisha kwa sms wewe ni nani
Ndo uharifu wenyewe huo madeni uoga na kutojiamini.Ni kawaida, hata mimi huwa sipokei namba ngeni, labda iwe ina kodi ya nje ya nchi; unachotakiwa kufanya, tuma sms kwanza, baada ya dakika kadhaa ndio upige. Watu wengi hawapendi kuongezewa 'stress'; kwa sababu wanakuwa walisharizika na hali walizonazo.
Jaman kila mtu ana uhuru na matumizi ya simu yake,wewe kama kuna watu huko huwa unawapigia hawapokei achana nao na pia wewe ambae unapokea simu ya kila mtu pia endelea hivyo hakuna mtu atakupangia usipokee simu wakati huo ni utaratibu wako. Haya maisha tunatofautiana sio kila unachokiamini wewe lazima na wengine waamini hivyo.Kabisa...
Kama mtu hupendi usumbufu uko bize na mambo yako ya msingi ya Nini simu ikae hewani Ingali ukipigiwa hupokei??
Mara nyingi ni watu wa hivyo ni wale wanao jiona wamemaliza Kila kitu au ni waharifu, na Wana madeni.Ndo maana wanataka utume sms kwanza wajue.
Uoga ni kuona simu inaita na kuogopa kupokea.Hapana.
Kupokea kila simu unayopigiwa ndiyo nidhamu ya uoga.
Unakosa uhuru wa kusema sitaki usumbufu.
Unaogopa kulaumiwa hupokei simu.
Unaogopa matukio.
Unaogopa kutokujua anayekutafuta anakutafutia nini.
Unajiwekea nidhamu kupokea kila simu, kwa uoga.
Mjinga wewe. Kama hajui kuandika afanyeje, au kama simu kaazima mara moja afanyeje. Acha kujiona wa maana wakati we ni udongo usiokuwa na thamani yeyote.Wengi hatujui matumiz ya sms,jitambulishe kwanza Kwa sms baada ya kupiga cmu Ili mtu aweze kujua ww n nan,
Unakuta mtu anapiga cmu hachoki tu ,ikikata anapiga Tena ,ikikata anapiga Tena, mwishowe inakuwa usumbufu.
Yaani nikutumie SMS halafu nikupigie tena. Nyambafu kabisa.Hakuna anayependa kurushwa roho.Anza kwa kumtumia sms na umwambie weye ni fulani. Ukimtaarifu utampigia baada ya dakika mbili.
Wanajiona wamemaliza Kila kitu na WAnajiona wamefika tayari waliko kuwa wanakwenda.Hapa Sasa wabongo tunafeli sana,wazungu sio wajinga kuleta hiz smart phone,unakuta mtu kanunua smart hataki Tena kutumia sms [emoji23] anadai et nichek wasup[emoji23] ,duh ,wenzetu Bado wanatumia zile smu za public za mtaani ,lakin cc wabongo tumezitoa eti zimepitwa na wakat[emoji23],shida watuwengi Wana jiona ni WA maana sana kuliko ndio maana tunapitwa na michingo mingi,