Unampigia simu kwa namba ngeni halafu hapokei baadaye anakwambia hapokeagi namba ngeni

Unampigia simu kwa namba ngeni halafu hapokei baadaye anakwambia hapokeagi namba ngeni

Mimi binafsi nina sababu moja kuu ya kutokupokea namba ngeni especially ninapokuwa na mke wangu..... kulinda mahusiano, kwani kuna mtu anaweza kupiga kwa kukosea na ikawa ni wa kike hiyo ni nongwa..... mpaka mke aelewe pashachafuka sana [emoji3][emoji12]
Mke hatakiwi kukupelekesha bwana.
 
KUNA WENGI NAFASI ZAO ZA KAZI HAZIRUHUSU KUPOKEA POKEA NAMBA NGENI, KAMA NAMBA ZA HUDUMA KWA WATEJA.
PIGA SIMU ISIPOPOKELEWA TUMA MESEJI AU WASAP.HIVYO TU KISHA SUBIRI MUITIKIO/RESPONSE.

MIMI KWANGU HATA KAMA NI RAIS , ANAPIGA KWANGU NA SINA YAKE NAMBA SIPOKEI.

KUTOPOKEA SIMU NGENI NI NJIA NYINGINE YA KUKUFANYA UFOCUS KWENYE KAZI YAKO.
Hahahaha wabongo bana
 
Kama unawasiliana na mtu kwa mara ya kwanza jaribu kumtumia meseji kujitambulisha, hizi simu zimeshakuwa na usumbufu mwingi kuna vitu vingi watu wanakuwa wanavikwepa ikiwemo mizinga ya ghafla bin vuuuu.....
Uogaa wa kutojiamini tu
 
Sio namba ngeni tu, hata kama namba yako ninayo ni maamuzi yangu kupokea au kutokupokea.

Na hata nikimpigia mtu asipopokea nitaacha ujumbe na ni maamuzi yake anitafute au asinitafute, na wala sioni sababu ya kulalamika.

Simu yangu, maamuzi yangu na vivyo hivyo kwa upande wako.
Utaambiwa una madeni au michepuko
 
Watu wasiojua umuhimu wa muda na kuondoa distractions hawawezi kukuelewa.

Kuna watu wengine wanapata simu nyingi wakiamua kujibu kila simu itabidi wajipe kazi ya kuwa "Telephone Operator" juu ya kazi zao nyingine.
Au Sio[emoji2].Uzuri wa bongo sote tuko bizee lakini hatujui tuko bize na Nini maana tunajua thamani ya muda lakini muda haujui thamani yetu[emoji28][emoji28].Bongo bana.

Kuna watu si wafuasi wa kutuma meseji Kwa sababu ya aina ya kifurushi anacho jiunga.Unakuta ana jiunga kifurushi Cha dk TU Kwa kukwepa gharama na hata akijiunga kifurushi Cha dk + sms sms hazitumi kabisa.Sasa utasema atume sms.Atumeje?
 
Uoga + Uongo.

Kuna mtu au Hali anaikwepa.
Kuweka cm hewan na kutopokea pindi upigiwapo Ili Hali uko na simu ni nidhamu ya uoga.
Kabisa...

Kama mtu hupendi usumbufu uko bize na mambo yako ya msingi ya Nini simu ikae hewani Ingali ukipigiwa hupokei??

Mara nyingi ni watu wa hivyo ni wale wanao jiona wamemaliza Kila kitu au ni waharifu, na Wana madeni.Ndo maana wanataka utume sms kwanza wajue.
 
Mbongo hakawii kutaka kukupiga mzinga wa ghafla bin vuu mtu asiyekujua, halafu, usipopokea simu anakulaumu wewe.

Kama vile wewe ndiye umemsababishia matatizo yake.
Mpaka kupigwa mzinga maana ake akili Yako haiko Sawa,Maana maamuzi ni ya kwako ya kusema "No" au "Impossible". Ndo maana tunasema ni kutokujiamini tu na uoga kama siyo uharifu na madeni.

Upigwe mzinga na akili Yako Iko vizurii kabisa unajua ni mzinga.Unakuwa umetaka.
 
Unaweza ukamblock mchepuko halafu akatumia namba nyingine kukutafuta utaishia kupata aibu ni
Kama utapiga na namba isipokelew ni jambo dogo tu kujitambulisha kwa sms wewe ni nani
Kwa kuwa wewe wa maana sana ndio unataka hadi utumiwe SMS kwanza au nini. Na hata hiyo SMS mnakuwa hamjibu nyinyi kwa nyodo zilivyowajaa.
 
Ni kawaida, hata mimi huwa sipokei namba ngeni, labda iwe ina kodi ya nje ya nchi; unachotakiwa kufanya, tuma sms kwanza, baada ya dakika kadhaa ndio upige. Watu wengi hawapendi kuongezewa 'stress'; kwa sababu wanakuwa walisharizika na hali walizonazo.
Ndo uharifu wenyewe huo madeni uoga na kutojiamini.

Siyo Kila mtu ana kaliba ya kutuma ma sms au kujiunga kifurushi Cha sms na dk. Wengine wanajiunga dk TU.

Msikilize,kama ukimskiliza kama haeleweki.Una mkatia una mpiga block.
 
Kabisa...

Kama mtu hupendi usumbufu uko bize na mambo yako ya msingi ya Nini simu ikae hewani Ingali ukipigiwa hupokei??

Mara nyingi ni watu wa hivyo ni wale wanao jiona wamemaliza Kila kitu au ni waharifu, na Wana madeni.Ndo maana wanataka utume sms kwanza wajue.
Jaman kila mtu ana uhuru na matumizi ya simu yake,wewe kama kuna watu huko huwa unawapigia hawapokei achana nao na pia wewe ambae unapokea simu ya kila mtu pia endelea hivyo hakuna mtu atakupangia usipokee simu wakati huo ni utaratibu wako. Haya maisha tunatofautiana sio kila unachokiamini wewe lazima na wengine waamini hivyo.
 
Hapana.

Kupokea kila simu unayopigiwa ndiyo nidhamu ya uoga.

Unakosa uhuru wa kusema sitaki usumbufu.

Unaogopa kulaumiwa hupokei simu.

Unaogopa matukio.

Unaogopa kutokujua anayekutafuta anakutafutia nini.

Unajiwekea nidhamu kupokea kila simu, kwa uoga.
Uoga ni kuona simu inaita na kuogopa kupokea.

Pokea sikiliza kama haeleweki mkatie simu yake mpige block kwani atakufanyeje? Maana haeleweki.

Mbali na hapo ni uharifu na madeni.
 
Wengi hatujui matumiz ya sms,jitambulishe kwanza Kwa sms baada ya kupiga cmu Ili mtu aweze kujua ww n nan,
Unakuta mtu anapiga cmu hachoki tu ,ikikata anapiga Tena ,ikikata anapiga Tena, mwishowe inakuwa usumbufu.
Mjinga wewe. Kama hajui kuandika afanyeje, au kama simu kaazima mara moja afanyeje. Acha kujiona wa maana wakati we ni udongo usiokuwa na thamani yeyote.
 
Hapa Sasa wabongo tunafeli sana,wazungu sio wajinga kuleta hiz smart phone,unakuta mtu kanunua smart hataki Tena kutumia sms [emoji23] anadai et nichek wasup[emoji23] ,duh ,wenzetu Bado wanatumia zile smu za public za mtaani ,lakin cc wabongo tumezitoa eti zimepitwa na wakat[emoji23],shida watuwengi Wana jiona ni WA maana sana kuliko ndio maana tunapitwa na michingo mingi,
Wanajiona wamemaliza Kila kitu na WAnajiona wamefika tayari waliko kuwa wanakwenda.
 
Back
Top Bottom