Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Naunga mkono hojaHapana. Nyoka anawaogopa sana binadamu na mara nyingi hujitahidi kumkwepa binadamu ili wasikutane. Zingatia kwamba chatu ni mpole na hana sumu yoyote. Chatu hashambulii ila huwinda tu chakula chake. Sipati picha inakuwaje mwanachuo msomi licha ya tahadhari kutolewa bado yy anakuwa duwanzi kiasi hadi chatu amfikie karibu, kisa eti anapunga upepo.
Hakuna atakayemezwa hapo kama Tahadhari iliyotolewa itazingatiwa kikamilifu. Halafu Tukumbuke huyo nyoka yupo porini ambako ni makao yake HALALI. Ndo mana tunashauriwa kuweka mazingira yetu safi kwa kuondoa vichaka au mapori; kwani usipofanya hivyo unastawisha makao ya viumbe wengine tofauti na binadamu. Labda itokee ameingia ndani ya nyumba au Mabweni ya wanafunzi.Hadi limezwe jitu ndiyo mamlaka zitamuondoa huyo nyoka aliye mponza ADAM na Hawa kula tunda
Ni kweli watu wa Dasilamu wanashangaza kama sio wanasikitisha kwa vituko vyao.Watu wa Dar Es Salaam buana!
Yaani chatu ni tishio kweli mpaka barua kuuubwa na kwenye vyombo vya habari?
Ebu njooni huku kwetu KISIWANI NYAMASANJE CHITARE MAJITA HAPA muone tunavyo watumia mamba kama vigoda vya kukalia.
TANZANIA WILDLIFE AUTHORITYHiyo TAWA kirefu chake ni Tanzania Wanyoka-nyoka au?
Inawezekana maana hata mtoto mdogo ni mtu pia.Mzee Nyani hata chatu wa Afrika wanameza watu ingawa hutokea mara chache.
Dah!Hahahahaa wale ngedere kama watu, wanaingia hadi vyumbani kuchukua vyakula mkiacha madirisha wazi.
Kuna siku moja tunakunywa chai kwenye vimbweta mikoba tumeweka pembeni ndegere mmoja akachukua walet ya mwenzetu akaondoka nayo. Yule dada alilia huku anamuomba " naomba nirudishie walet chukua hata maandazi haya"
Sio rahisi kupata documented cases lakini hiyo haimaanishi kwamba cases hizo hazipo. Huku vijijini yapo mambo mengi au matukio mengi sana ambayo Taarifa zake hazikutolewa; sio kwa makusudi ila ni kutokana na Teknolojia hafifu au Taarifa zake zimebaki kama simulizi tu miongoni mwa Jamii.Inawezekana maana hata mtoto mdogo ni mtu pia.
Lakini, kuna documented cases za hao African rock pythons kumeza watu?
Maana mpaka sasa documented cases za giant snakes kumeza watu zipo Indonesia huko.
Sijawahi kuona case yoyote ile ya anaconda, Burmese na African rock python kumeza watu.
It seems matukio yote ya watu kumezwa na giant snakes yanatokea south east Asia.
Sawa.Sio rahisi kupata documented cases lakini hiyo haimaanishi kwamba cases hizo hazipo. Huku vijijini yapo mambo mengi au matukio mengi sana ambayo Taarifa zake hazikutolewa; sio kwa makusudi ila ni kutokana na Teknolojia hafifu au Taarifa zake zimebaki kama simulizi tu miongoni mwa Jamii.
Kwahiyo huyo ni chatu wa Dar? Basi sawa.
Unazifahamu kazi za TAWIRI?Mnaosema huyo chatu hana madhara mjitafakari. Mnyama wa mwituni akishaingia kwenye makazi ya binadamu anakuwa hatari mno kwasababu na yeye anajihami. Miaka ya karibuni huko Karatu watu wameliwa sana na fisi wanaosemakana walitoka hifadhini Ngorongoro na kuingia Karatu. Watoto wadogo wanakuwa hatarini zaidi. TAWIRI ni idara ya kipumbavu sana kuwahi kuwepo nchini. Karatu watu zaidi ya 20 walipoteza maisha ila bado hakukuwa na hatua zozote zilizochukuliwa hadi mbunge wa viti maalum CHADEMA Mh Cecilia Paresso alivyopeleka hoja bungeni. Pia UDSM nawaona ni wapumbavu. Wameshindwaje kuchukua hatua kwa kushirikiana na TAWIRI bila hata kutoa tangazo kwa wananchi?
Kwa watoto kuliwa na fisi wilayani Karatu, nailaumu idara ya wanyamapori
Ninaandika hili kwa uchungu mwingi sana. Kumekuwa na matukio mengi hapa nchini ya watu kujeruhiwa au kuliwa kabisa na fisi. Na mara nyingi wahanga huwa ni watoto hasa wale wenye umri mdogo. Hili jambo linalotia uchungu mwingi mno. Mkoani Shinyanga ndo kumekuwa na matukio mengi ya fisi kuleta...www.jamiiforums.com
Africa na kumbukumbu kama hizo ni ngumu. Tukio linatokea na kupita bila kumbukumbu yoyote.Inawezekana maana hata mtoto mdogo ni mtu pia.
Lakini, kuna documented cases za hao African rock pythons kumeza watu?
Maana mpaka sasa documented cases za giant snakes kumeza watu zipo Indonesia huko.
Sijawahi kuona case yoyote ile ya anaconda, Burmese na African rock python kumeza watu.
It seems matukio yote ya watu kumezwa na giant snakes yanatokea south east Asia.
Biblia haijataja ni nyoka yupi alihusika. Tunaweza kumlaumu Chatu kumbe mhusika ni kifutu. Inabidi biblia iweke wazi nyoka aliyehusika.Hadi limezwe jitu ndiyo mamlaka zitamuondoa huyo nyoka aliye mponza ADAM na Hawa kula tunda
Kwa zama hizi si vigumu kivile.Africa na kumbukumbu kama hizo ni ngumu. Tukio linatokea na kupita bila kumbukumbu yoyote.
Hakurudisha alienda nayo mitini bahati nzuri akaiangusha anavyoruka. Ngedere wa UDSM wakorofi na wachokozi mno hawaoni shida kuja kuchukua chakula mezani unapokula.Dah!
Alirudisha?