Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PumbavuuuManara Ni kama vile amefurahia kilichoipata Yanga Siku ya jana.
Nanusa harufu ya hujuma dhidi ya Yanga.
Kweli wewe ni Jingalao akina Mangungu.Tumeshawajua wote na mnapokutana ...ha ha ha
Hao ni Simba na CCMKwa wiki nzima uwanja ulikuwa unawangiwa na wachawi mfululizo kiasi yanga kuchomoka ingekuwa ngumu sana! Tunalaani uchawi, LET GO IN PROFESIONALISM FUTBOL!
Yanga ina level kubwa sana kimpira, Azam is too miner!Hakuna lolote, kufungwa ni sehemu ya mchezo
Hata Mancity huwa inafungwaYanga ina level kubwa sana kimpira, Azam is too miner!
Bullshit, hamna kitu kama hiko. Imagine EPL ingekuwa inaamini ushirikina wakifeli wangekuwa hapa?Kwa wiki nzima uwanja ulikuwa unawangiwa na wachawi wa lamu na pemba mfululizo kiasi yanga kuchomoka ingekuwa ngumu sana! Tunalaani uchawi, LET GO IN PROFESIONALISM FUTBOL!
::Hamkuona wachezaji walikuwa wamevurugika kiakili!?