Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ni shabiki wa Yanga kabla ya Ali kamwe kuzaliwaMashabiki wa Yanga hawako kama nyie makolo pimbi wewe. Yanga wanajitambua wanajua kuna kushinda na kushindwa na ku draw sometimes
Huwezi ona Yanga wanatafuta mchawi kama nyie. Mashabiki wa Yanga wametulia tu wanajua hilo ndio soka, wamekubali defeat na wanasonga mbele.
We bakia huko huko na mikolo myenzako kupiga ramli. Hakuna hujuma yoyote na wala hawatafuti mchawi Yanga so keep your mouth shut and leave Yanga alone
Lisemwalo lipo.........Yanga yanga yanga. Kwani huyo manara ndie anayecheza uwanjani?
TUTAWEKA REKODI MPYA YA DUNIA KWA KUMALIZA LIGI HUKU TUKIWA TUMEFUNGWA GOLI MOJA TU.
Kipira kimeshakatwa watu watakuwa wanajipigia tu sasa.
Manara yupo nyumamwiko kwa ajili ya swahiba wake Ghalib, lakini ndani kwa ndani wakifungw anachekea tumboni.Lisemwalo lipo.........
Kuna timu mbili tu Tanzania ndizo zimechukua ubingwa bila kupoteza mechi hata moja.Azam na Simba.Jaribuni kwanza kufikia hizo rekodi kabla ya kuota ndoto za Ali Nacha.TUTAWEKA REKODI MPYA YA DUNIA KWA KUMALIZA LIGI HUKU TUKIWA TUMEFUNGWA GOLI MOJA TU.
Manara keshawakana mara kibao mnatafuta Kila sababu kumgombanisha na yanga lakini tunajua shida yenu, mnamlisha maneno ya kipuuzi but amtofanikiwaManara Ni kama vile amefurahia kilichoipata Yanga Siku ya jana.
Nanusa harufu ya hujuma dhidi ya Yanga.
Wale wachezaji aliokuwa anawatumia kuichomesha Simba, kafanya mchongo wakahamia Yanga, na yeye kala pasenti yake, na anawaongoza kwa rimoti wachomeshe timu
Umeandika ushuzi wa hali ya juu. Basi hapo umejiona ni greater thinker na inaonekana wewe ndio msomi na mjanja wa Ukoo.Mbona umehamaki?
Too miner?Yanga ina level kubwa sana kimpira, Azam is too miner!
MMm! Yanga akifunga sawa lkn akifungwa hujuma.Sindano ya Ampisilin huwa inasukumwa taratibu, acha iwaingie.Manara Ni kama vile amefurahia kilichoipata Yanga Siku ya jana.
Nanusa harufu ya hujuma dhidi ya Yanga.
Brother mpira una matokeo matatu.. Si kila wakati timu ikipoteza ni hujumaManara Ni kama vile amefurahia kilichoipata Yanga Siku ya jana.
Nanusa harufu ya hujuma dhidi ya Yanga.