Uchaguzi 2020 Urais wa CHADEMA moto: Kampeni zaanza kwa kishindo, Msigwa na Lissu hapatoshi !

Ww huyu n mume mwenye wake wawil na watt cta bdo fursa ipo kama utakidhi qualifications
Mkuu achana naye huyo , lengo lake kuvuruga uzi huu , wakiishiwa hoja hufanya hivi siku zote
 
Hapo CCM wote kwa Msigwa halafu atawaumbua subirini majibu soon
 
Urais kitu kidogo! kwanza wote wanajua wanapiga mbwembwe tu kututuintatain. - Hakuna mwenye ubavu hata wa kumtingisha JPM hapo.
KUTEKWA na KUPOTEZANA ni kwenye uenyekiti tu.
 
Sio lazima "ndani yetu" Kwani Membe ameshaingia ndani?
 
Urais kitu kidogo! kwanza wote wanajua wanapiga mbwembwe tu kututuintatain. - Hakuna mwenye ubavu hata wa kumtingisha JPM hapo.
KUTEKWA na KUPOTEZANA ni kwenye uenyekiti tu.
Magufuli ana nini cha kupigiwa mfano na kuogopesha watu ?
 
Amwachie LISU tusikilize jinsi ya kujibu maswali na hoja.Tumepigika sana.
 
Ww ucdandie gar kwa mbele mwache alieanzisha matuc amalize,vp mbna watafuta bwana kwa nguvu hvyo?muache mwenyew aje kujibu nguchiro we
Jazba mpaka unakosea kuandika.
Sawa da Aaliya ngoja nikuache na mumeo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…