Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
Ha ha haNayaelewa maumivu unayoyapitia, nakuelewa sana.
hawa jamaa wanapenda ugomvi kuliko chochote kile chengine subiri tuoneWapiganaji wa Chechen na magari yao ya kijeshi wamefanikiwa kuingia katika mji wa Rostov uliopo chini ya udhibiti wa wapiganaji wa Wagner PMCView attachment 2667535
Story za vijiweni.Mkuu kumbe hujui chochote kuhusu technology ya wayahudi na influence yao duniani,kisiasa na kijeshi.Nenda Lugalo kawatafute special forces officer,s utajuzwa vizuri zaidi mkuu
Who said i " embrace Arabs or Europeans"....Mkuu swali langu ulilikwepa,,,you dont trust jew and you hate them.But you embrace arabs and europians and you love them kwa sababu jews are than you in every angle including arabs and europian,s...Sikulaumu umekua brain washed na imani za wahabi
Hakuna mkristo anayechukia wayahudi mkuu sababu ukrsto imetokana na uyahudi....Uislamu umekopi toka kwa ukristo na uyahudi sababu haukuwepo kabla ya dini hizo mbili.....🤣🤣🤣Mkuu admit tu wewe mfuasi wa wahabi wa penisula ya saudia...Mimi nawachukia wayahudi na ni mkristo.....
Mtu yoyote mwenye akili timamu hawazi wapenda wayahudi.
OkaySio wanajeshi wa kawaida.....
Ni part ya National Guard of Russia, wamekuwa trained kwa matukio kama haya.
Ndio maana wao ndio wamekuwa Assigned sio any Unit.
Mkuu wewe ndio upo brain washed umepandikizwa chuki za kitoto dhidi ya wayahudi...Who said i " embrace Arabs or Europeans"....
Mimi na wewe nani yuko brainwashed hapa.
Hahahahaha hii ni hatar sasaUkiona wameanza fanya hivi jua ndo mwishoView attachment 2667504
Hiyo combination ingekuwa ni ya moto sana.Hivi haiwezi kutokea uasi wa umma? Angekuwepo uraiani yule mpinzani mahiri bwana Nalvany hakika Putin angeondoka madarakani safari hii! Mana ingekuwa hapa uasi wa umma, khapo Prigozin, huku Nalvany, kule Ukrain.
Katika nchi za kijamaa huwa anakosekanika mwanzishaji wa harakati ila Nalvany huwa anampa changamoto sana Putini.
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Mkuu wewe ndio unaleta story za vijiweni,,,you hate jew,s kisa maalim wako wa madrasa kakuambia wayahudi ni kafirStory za vijiweni.