Urusi vs Wagner: Wagner wasitisha 'Uasi' na safari ya kwenda Moscow yasitishwa, wadai hawataki kumwaga damu ya Warusi

Urusi vs Wagner: Wagner wasitisha 'Uasi' na safari ya kwenda Moscow yasitishwa, wadai hawataki kumwaga damu ya Warusi

ukifatilia vizuri kuna msemo "uwezi kuunda majeshi mawili tofauti ndani ya nchi moja"

Putin ana tofauti na bashiri japo nchi tofauti.

wagner wana nguvu kubwa ambayo wamepata pesa nyingi kupitia sudani na nchi walizopitia na wanaweza kuchukua nchi ya urusi.

putin sasa anajutia kale ka msemo
 
BREAKING NEWS
Wapiganaji wa Wagner wamefanikiwa kuingia viunga vya jimbo la Moscow. Imebaki masaa 2 wafike ndani ya jiji la Moscow.
IMG_20230624_180030_778.jpg
 
Mkuu swali langu ulilikwepa,,,you dont trust jew and you hate them.But you embrace arabs and europians and you love them kwa sababu jews are than you in every angle including arabs and europian,s...Sikulaumu umekua brain washed na imani za wahabi
Who said i " embrace Arabs or Europeans"....
Mimi na wewe nani yuko brainwashed hapa.
 
Mimi nawachukia wayahudi na ni mkristo.....
Mtu yoyote mwenye akili timamu hawazi wapenda wayahudi.
Hakuna mkristo anayechukia wayahudi mkuu sababu ukrsto imetokana na uyahudi....Uislamu umekopi toka kwa ukristo na uyahudi sababu haukuwepo kabla ya dini hizo mbili.....🤣🤣🤣Mkuu admit tu wewe mfuasi wa wahabi wa penisula ya saudia...
 
Hivi haiwezi kutokea uasi wa umma? Angekuwepo uraiani yule mpinzani mahiri bwana Nalvany hakika Putin angeondoka madarakani safari hii! Mana ingekuwa hapa uasi wa umma, khapo Prigozin, huku Nalvany, kule Ukrain.

Katika nchi za kijamaa huwa anakosekanika mwanzishaji wa harakati ila Nalvany huwa anampa changamoto sana Putini.



Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Hiyo combination ingekuwa ni ya moto sana.
 
Back
Top Bottom