Urusi vs Wagner: Wagner wasitisha 'Uasi' na safari ya kwenda Moscow yasitishwa, wadai hawataki kumwaga damu ya Warusi

Urusi vs Wagner: Wagner wasitisha 'Uasi' na safari ya kwenda Moscow yasitishwa, wadai hawataki kumwaga damu ya Warusi

Kuweni na akiba ya maneno msije kulikimbia jukwaa.
Tunajua kabisa, wataongea tu.Shida Wagner ataka hela. Ile wanajeshi wasajiliwe na Wizara ya ulinzi moja kwa moja,yeye inamkosesha Hela.
 
Kuna baadhi ya wana historia wanatuelezea kuwa UISILAMU ulianzishwa na Vatican ili ku control MIDDLE EAST na hoja zao zina mashiko sana tu kuna muingiliano wa tamaduni za Vatican na Mecca.
 
Kwani hao wagner wameua askari wangapi wa jeshi la urussi mpaka sasa wewe subiri tu hao wanapigwa na ndege tu tunawavuta wasije kukimbilia ukrain kujiunga huko maana sehemu pekee watakayo kimbilia kuokoa maisha yao ni ukrain hivyo wanatakiwa kuvyutwa ndani ya urusi kisha kazi inafanyika kumaliza
Mkuu nyinyi si ndio mlikua mnawasifia wagner
 
Hawa askari wa jeshi la Urusi huenda wamepangwa. Wanarusha risasi chache hewani, halafu wanasalimu amri. Wagner, wanazidi kusonga mbele.

Katika Ulimwengu huu, huwezi kusababisha maafa ya watu wengi namna hiyo, halafu uendelee kuishi. Ni lazima mwisho wako uwe mbaya. Na mwisho wa Putin umefika.

Kuna nchi chache zilikuwa zinamwunga mkono, lakini hapa ndiyo atajua kuwa kumbe hakuwa na rafiki wa kweli.

Mchina na India alikuwa karibu na Putin ili ajipatie mafuta kwa bei chee. Likashenko wa Belarus alikuwa karibu na Putin ili amsaidie aendelee kubakia kwenye Urais kwa sababu wananchi wake hawamtaki. Nchi za Afrika ndiyo hakuna kitu kabisa. Zilizokuwa zinamwunga mkono Putin, zilikuwa zinanyemelea manufaa ya kiuchumi. Putin anaweza kutafuta nchi ya kwenda kujificha, ukashangaa hakuna nchi ya kumpa hifadhi, au baada ya kumpa hifadhi wakamkabidhi kwa mahakama ya The Hague.
Mkuu unatema nondo tupu, mimi kazi yangu kukugongea LIKES tu.
 
Wagner is a military force of 25k to 50k max. The Russian military is 1 M+ with an air force. If Putin wants to stop Wagner, he
Ok muda utaongea , vita si idadi , vita ni mipango tu , mtu kufanya maamuz ya kuwakabir hao 1m ashaona kuwa kuna watu wake humo au inaeza akawa kakurupuka , ila naamin huyo muwagner analijua jeshi la urusi kuliko mimi na wewe
 
Endelea kuota. Wagner wanaendelea kuua askari wa serikali. Helikopta ya askari wa jeshi imedunguliwa na kuteketezwa. Marubani wote wawili wameuawa. Wewe bado unaamini ni maagizo!!

Nadhani hata siku Putin akiuawa, mtasema anaigiza kufa.
Acha uzushi mpaka sasa hakuna makabiliano ya silaha kati ya jeshi la Urusi na wargener ,hizo habari za kutunguliwa kwa Hilkopita mnazitoa nyie lakini mpaka sasa hakuna udhitisho wowote kutoka kwa Urusi ,wargener au vyombo vya habari vyovyote.
 
Acheni kuvuta bangi vijana mtaharibikiwa akili kabisa sasa ona unavyo andika.
uliza kwanza sio kila unayemkuta unaona mjinga wa ccm.
rudi fatilia wagner na sudani na kwa nini iran kujiweka urusi kwa serikali mwisho wa siku mpinzani wa jeshi la sudani kuungwa na wagner na wote support inatoka saudia arabia.
unakazwa nini hata ili.la bandari umeshindwa kukamua utumbo mpana
 
Jasusi mbobezi wa Kimataifa. Mtaalamu wa Vita na Diplomasia. Mwanasiasa Mkongwe na Mwanamikakati anaweza kutuelezea zaidi hii Mbinu wanayotumia Russia kitaalamu inaitwaje.

Hii Warussi wame bwinu mbwinu mpya ya kivita kuwachanganya Ukraine na Mabeberu. Wataenda kupokea kipigo kikali. Ina jina lake kitaalamu na Yericko Nyerere anaweza elezea hii kwa kina mkamwelewa.
Hahahaaaaaa [emoji23] [emoji23] [emoji23] hahaha
 
Israel ina askari wangapi? Zile nchi zote za Kiarabu zilizoungana ili kumpiga myahudi, lakini zikatandikwa zote, zilikuwa na askari wangapi? Zilikuwa na ndege ngapi? Vifaru na mizinga mingapi?

Ushindi katika vita ni zaidi ya idadi ya askari. Wale wapiganaji wa Wagner, ni really professional, siyo kama wale wa jeshi la Urusi.
Tunasema vita haipimwi kwa wingi wa askar, vita, morale ama chochote kile ila ni kitu gani umegain.

Wagner mpaka sasa muelekeo wao na azma yao ya kuipindua serikali ni mkubwa zaidi.
 
Yale yale ya Gadaff,sasa hivi Wagner watakua wanapewa kila support na Marekani na Nato!!

Prigo anamjua vizuri sana Mzee Putin,Prigo ndiyo alikua anaonja chakula cha Putin kabla Putin hajala. Russia alipokua anawapo siraha Wagner,siraha hizo ndiyo wanazitumia kumchapia, Mzee Putin akichomoka kwenye hili,atakua komando kweli kweli, CIA,walishafanya calculations kabla hata ya vita kuanza kwamba,Putin atazama tu,mzima mzima,kiko wapi sasa??

Priga anajua kambi zote za kijeshi za Russia,Priga ndiyo atakua anawapa ramani wazee wa B 52 na watakua wanajipigia tu!

Mwisho wa siku, Mzee Putin ataenda akotwa chini ya handaki kama alivyokamatwa Sadam Hussein ,au chini ya karavati la daraja kama alivyokamatwa Gadaff!
Kabla ya hayo kutokea jua kabisa NATO countries zitakuwa majivu
 
Back
Top Bottom