Urusi vs Wagner: Wagner wasitisha 'Uasi' na safari ya kwenda Moscow yasitishwa, wadai hawataki kumwaga damu ya Warusi

Urusi vs Wagner: Wagner wasitisha 'Uasi' na safari ya kwenda Moscow yasitishwa, wadai hawataki kumwaga damu ya Warusi

FLEE! THE SHIP IS SINKING!

Russian oligarchs & politicians are leaving Moscow en masse on private jets, some have already landed outside of [emoji635].

[emoji298]️The business jet of oligarch Arkady Rotenberg, who is very close to Putin, left Moscow at 11:30 am and landed in Baku [emoji1039] at 15:04. The flight was scheduled last night.

[emoji298]️The plane of [emoji635] Deputy Prime Minister Denis Manturov left Moscow at 07:00 and landed in Dalaman, Turkey [emoji1250] at 12:06.

[emoji298]️ The business jet of the oligarch Vladimir Potanin is waiting for a flight from Moscow to Istanbul [emoji1250].

[emoji298]️Putin's plane with the "red button" TU-214PU is returning back to Moscow having gone to St Petersburg.
 
Uelekeo Moscow hadi saa 6 usiku watu washatimba.
Ni either Russia aharibu nchi yake au akubali kupinduliwa
Nachojiiuliza mimi ni kwanini imekuwa rahisi kwa Wagner kuiteka hiyo miji mikubwa katika muda mfupi?

Wakati kule Ukraine, Wagner walipojaribu kushambulia mji kubwa walikutana na pingamizi ambalo liliwafanya wabadili mtazamo kwa kuelekea eneo lingine.

Napo huko walitumia siku nyingi kuteka maeneo ambayo ni madogo kwenye habari yalikuwa yaliyokuwa yananukuliwa kwa neno la "vijiji"?

Sasa ndio kwamba Ukraine ilikuwa compact kujilinda kuliko Urusi?

Mbona imekuwa rahisi mno kwa Urusi kuliko ilivyokuwa kwa Ukraine?

Au Urusi hawezi kutumia force kubwa kuwadhibiti hao Wagner kwasababu ya kuhofia kuharibu miundombinu ya nchi yake pamoja na kuwadhuru raia?

Yani hii confusion inazidi kuniacha na maswali mengi zaidi.
 
Nachojiiuliza mimi ni kwanini imekuwa rahisi kwa Wagner kuiteka hiyo miji mikubwa katika muda mfupi?

Wakati kule Ukraine, Wagner walipojaribu kushambulia mji kubwa walikutana na pingamizi ambalo liliwafanya wabadili mtazamo kwa kuelekea eneo lingine.

Napo huko walitumia siku nyingi kuteka maeneo ambayo ni magogo kwenye habari yalikuwa yaliyokuwa yananukuliwa kwa neno la "vijiji"?

Sasa ndio kwamba Ukraine ilikuwa compact kujilinda kuliko Urusi?

Mbona imekuwa rahisi mno kwa Urusi kuliko ilivyokuwa kwa Ukraine?

Au Urusi hawezi kutumia force kubwa kuwadhibiti hao Wagner kwasababu ya kuhofia kuharibu miundombinu ya nchi yake pamoja na kuwadhuru raia?

Yani hii confusion inazidi kuniacha na maswali mengi zaidi.
Inaonekana huu mpango ulipangwa na kina Shoigu
 
Yale yale ya Gadaff,sasa hivi Wagner watakua wanapewa kila support na Marekani na Nato!!

Prigo anamjua vizuri sana Mzee Putin,Prigo ndiyo alikua anaonja chakula cha Putin kabla Putin hajala. Russia alipokua anawapo siraha Wagner,siraha hizo ndiyo wanazitumia kumchapia, Mzee Putin akichomoka kwenye hili,atakua komando kweli kweli, CIA,walishafanya calculations kabla hata ya vita kuanza kwamba,Putin atazama tu,mzima mzima,kiko wapi sasa??

Priga anajua kambi zote za kijeshi za Russia,Priga ndiyo atakua anawapa ramani wazee wa B 52 na watakua wanajipigia tu!

Mwisho wa siku, Mzee Putin ataenda akotwa chini ya handaki kama alivyokamatwa Sadam Hussein ,au chini ya karavati la daraja kama alivyokamatwa Gadaff!
Usimalize maneno mkuu
 
Huyo Prizoghin kashapewa hela na NATO hamna jingine. Pesa hainaga upinzani.. Uwekewe Trillion 100 kwenye account lazma akili ifyatuke. Naona hela za vifurushi vya silaha kawekewa yeye na vijana wake.

Kwa style hii Urusi hawezi toboa. Kupigana na muasi ni balaa zito.
Urusi haikulijua hilo tangu mwanzo?

Mimi binafsi naamini kilichotokea kimesababishwa tu na War intelligence

Mzungu kama anaweza kumfundisha panya kutegua mabomu, akaweza kumuongopea panya ahisi bomu ni kitu simple tu kisicho na hatari.

Wagner wao ni nani mpaka US ashindwe?
 
Huyu Prigo siyo mtu wa mchezo. Siyo kichaa, anajua anachokifanya.

Kwanza analijua kikamilifu jeshi la Urusi, anazijua silaha za Urusi, anajua akiba ya silaha za Urusi, anajua msimamo wa wananchi walio wengi. Na kwa vyovyote vile atakuwa ana mawasiliano na baadhi ya makamanda wa jeshi la Urusi na wapiganaji pia.

Putin anaweza kujiona bado ana askari wengi, kumbe siyo askari wake. Ikumbukwe toka mwanzo, askari wa jeshi la Urusi, licha ya kuwa na silaha nyingi, kikubwa walichokuwa wamekikosa ni morali.

Ufahamu kuwa ndani ya hilo jeshi la Urusi, wengi ambao wamekuwa wanapelekwa mstari wa mbele, ni askari wasio na mafunzo ya kutosha. Ni wale walioandikishwa na kulazimishwa kwenda vitani. Na hilo lilifanyika baada ya Urusi kupoteza askari wake wengi elites mjini Kiev, na siku za mwanzo za mapigano kusini mashariki mwa Ukraine, vifo vilivyohusisha makamanda wa ngazi ya juu wa Jeshi la Urusi.

Askari hao wote wanaona kabisa kuwa maisha yao yapo hatarini kwa kuendelea kupigana nchini Ukraine. Kwao ni rahisi zaidi kupigana dhidi ya Serikali yao kuliko kuendelea kupigana Ukraine ambako nchi za Magharibi wameapa kuendelea kuisaidia Ukraine, hata kama vita itachukua zaidi ya miaka 10.
Analysis iko vizuri ya kitaalamu kijeshi iliyojaa facts un dissputable
 
Nakosa Cha kuchangia.
Ila ni uwendawazimu nchi kutumia jeshi la kukodi na kulipeleka vitani.

Bila shaka hao Wagner wamefika Bei kwa NATO.

si,unajua biashara tena zilivyo?!
Inasemekana ni jeshi lake amelianzisha mwenyewe. So kama amekodi Inamaana anachukua pesa mfuko wa mbele na kuziweka mfuko wa nyuma.. But hilo lakupandiwa dau na western pia Inawezakana maana Wagner wapo after money ... Hawana wanachogombania zaidi ya kupigana kama biashara yao.
 
Back
Top Bottom