Urusi vs Wagner: Wagner wasitisha 'Uasi' na safari ya kwenda Moscow yasitishwa, wadai hawataki kumwaga damu ya Warusi

Kuna vyanzo vinadai kilichofanya Prigozhin achukie ni kitendo cha viongozi wa MOD wa Russia kuamua kuchukua udhibiti wa kuendesha shughuli za Wagner huko Ukraine, yaani Prigozhin ameona hiyo hatua itamdhoofisha yeye binafsi na kundi lake.

Huenda pia ni mbinu ya viongozi wa MOD kummaliza kabisa Prigozhin kwa wakati huu na kumuondoa kabisa kwenye mchezo na hata Putin inawezekana amebariki haya.

Japo haitakuwa rahisi kwa Wagner kumng'oa Putin Ila huu mzozo umeonyesha udhaifu uliopo huko Moscow na pengine hii Vita haikupendwa na wengi huko Moscow.

Au ni mwendelezo wa propaganda za Russia kwa malengo fulani.
 
Myahudi huyo hakuna asicho kijua
 
Evgeny Prigozhin has agreed to halt his advance toward Moscow after a mediation effort led by Belarusian President Alexander Lukashenko, Belarusian state media reported Saturday evening.
===
×××××
Sijajua ni Mchezo gani Russia wanacheza kwa kweli!!
Kwamba Lukashenko ndiye kamueleza Bos wa PMC arudi kambini!
 
Mfano ukikamata makao makuu ya jeshi la mkoa let say Arusha na ofisi muhimu kama ofisi ya meya, mkuu wa mkoa maana yake una control shughuli zote za eneo hilo.

Hapo anakuwa ameteua watu wake kushikilia ofisi hizo na kuwatimua waliokuwepo awali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…