Nguvuyabwana
Senior Member
- Jun 6, 2019
- 195
- 483
Si ulisema ni wazoefu wa vita hao na wanamjua putin nje ndani na ukatuonyesha na video za helkopta zikitunguliwa, sasa watakaangwaje boss ππππJe Wagner wataondoka Rostov?
Putin lazima awakaange haswa, watajuta kumfahamu Putin
HahahaaaaLeo hawatalala na wake zao mikuyenge imelala flat fambaf kabisa[emoji23][emoji23][emoji23]
DaaahBREAKING NEWS
Rais wa Beralus Lukashenko amefanikiwa kumshawishi mkuu wa Wagner kuweka chini silaha na kumaliza tofauti zake na jeshi la Urusi. Wapiganaji wa Wagner wamesitisha kuelekea Moscow.
Vuta pumzi kwanza MkuuuuWagner nao wapuuzi tu, yaani wamekaribia kabisa wanakubali weka mikono chini, wacha washughulikiwe sasa
Hawa itakuwa hawakumsoma Mussolini na Marche on Rome 1922 .Wagner nao wapuuzi tu, yaani wamekaribia kabisa wanakubali weka mikono chini, wacha washughulikiwe sasa
Ukitaka kusikilizwa na serikali unaivamia hiyo serikali. Tukubali tu kuwa hatujui ni nini kinaendelea.Narudia tena ni mjinga tu anayeweza kufikiri kwamba hawa jamaa wanauwezo au nia ya kumtoa putin.walikuwa na mambo yao walitaka wasikilizwe na serikali.
You nailed itEndelea kukaza fuvu tu hilo , tangia nilipo ona Putin aka rais wa supapawa ya mabua alioishi kama panya buku ,anajificha kwenye bunkers ,hell anawaogopa hata generals wa Russian forces na ministers wake ,rais gani anaongea na mtu kwa kutotaka hata kumsogelea subordinate wake ? ,mtu anatumia meza ndefu kama uwanja wa mpira kuongea na subordinates wake ,hataki hata kusogeleana nao .
Putin is a fucking coward rat , ndio maana hata ameua watu wengi wasio na hatia walipinga mambo yake ya kipuuz kama udikteta ,rushwa na ufisadi .Wengi kawafilisi ,kawaua kikatili kwa nerve agents na sumu ,wengine wanaozea magerezani kwa kesi za kusingiziwa .
Putin is a moron, a coward ,a looser and war criminal
Days are numbered , basha wako Putin anachinjwa
Mimi siku zote nitaendelea kumtetea mzee Shoigu. Ni mtu mtulivu asiye na mambo mengi na hana madhambi mzee wa watu.Binafsi naona ni njamaa, maana kabla ya hapo wamekuwa na mgogoro mkubwa sana.
Wagner walimalalamikia kuwa jana Shoigu aliwapiga mabomu, hivyo Wagner wakasema wanaenda mfata Shoigu na mwenzake.
Maajabu walipofika mpakani wakaachwa wakapita hadi makao makuu ya jeshi, wakapateka.
Putin akatangaza kuwa Wagner wamechagua njia isiyo sahihi hivyo wauawe
, Baada ya hapo Wagner imebidi liwalo na liwe ndo maana wakaanza enda Moscow
Cha ajabu hawajashambuliwa hadi wanakaribia Moscow
Na viongozi wengi wameondoka
Hatar San mkuuSasa nimeamini vita sio yale machuma yaliyopewa jina la mabomu.
Vita ni intelligence
Mlisema hivyo pia kwa Sadaam. Mkamwita majina mengi ya kumdanganya. Nae akadanganyika. Mwisho wa mchezo akaokotwa anajichimbia handaki kwa mikono.Putin namkubali Sana hashindwi kirahisiView attachment 2667267
Alama za NAZ siko wapi hapo mkuu?Mimi siku zote nitaendelea kumtetea mzee Shoigu. Ni mtu mtulivu asiye na mambo mengi na hana madhambi mzee wa watu.
Prigozhin inawezekana hakushambuliwa kabisa kabisa, alitafuta justification. Na kwa sababu Urusi ni nchi ya uongo na propaganda kila mmoja anajua kuzitumia vizuri na kutengeneza.
Prigozhin aliona aibu kumtaja Putin moja kwa moja, pia aliona upinzani unaweza kuwa mkali. Akaona aanze na kumtaja mzee Shoigu asiye na makuu, then makamanda wa jeshi watapunguza makali kidogo alafu taratibu asome upepo amtaje Putin. Vilevile Prigozhin alijua fika akimfuata Shoigu atamlazimisha Putin kutoa tamko la kumzuia na kutaja maneno fulani ambayo atayatumia dhidi yake, ikawa hivyo naye akakwepa aibu ya direct. Nikikuita wewe mjinga alafu ghafla ukanivamia na kunipiga kipigo kikali huku unatamka "mjinga nani?" kuna uwezekano ulikuwa unanitafutia kisa.
Cha ajabu anayeongoza msafara wa Wagner kwenda Moscow ni huyu jamaa mwenye alama za Nazi mabegani. Russia tuliwaambia Nazis wanao wenyewe nchini wako wakashupaza shingo, wakawa wanataja sababu uchwara za denazification na demilitarisation ndani ya siku tatu. Kumbe sasa imekuwa Nazification of Russia ndani ya siku ngapi hiziView attachment 2667661
Unalipwa kubisha ukwelNani kakuambia wanajeshi wengi wa urusi wapo Ukraine?weka data
Hii nchi imejaa wajinga wengi sana mmoja wapo ni wewe wewe unadhani wagner wanaweza kuvunja harakati za BRICS thubutuuMimi siku zote nitaendelea kumtetea mzee Shoigu. Ni mtu mtulivu asiye na mambo mengi na hana madhambi mzee wa watu.
Prigozhin inawezekana hakushambuliwa kabisa kabisa, alitafuta justification. Na kwa sababu Urusi ni nchi ya uongo na propaganda kila mmoja anajua kuzitumia vizuri na kutengeneza.
Prigozhin aliona aibu kumtaja Putin moja kwa moja, pia aliona upinzani unaweza kuwa mkali. Akaona aanze na kumtaja mzee Shoigu asiye na makuu, then makamanda wa jeshi watapunguza makali kidogo alafu taratibu asome upepo amtaje Putin. Vilevile Prigozhin alijua fika akimfuata Shoigu atamlazimisha Putin kutoa tamko la kumzuia na kutaja maneno fulani ambayo atayatumia dhidi yake, ikawa hivyo naye akakwepa aibu ya direct. Nikikuita wewe mjinga alafu ghafla ukanivamia na kunipiga kipigo kikali huku unatamka "mjinga nani?" kuna uwezekano ulikuwa unanitafutia kisa.
Cha ajabu anayeongoza msafara wa Wagner kwenda Moscow ni huyu jamaa mwenye alama za Nazi mabegani. Russia tuliwaambia Nazis wanao wenyewe nchini wako wakashupaza shingo, wakawa wanataja sababu uchwara za denazification na demilitarisation ndani ya siku tatu. Kumbe sasa imekuwa Nazification of Russia ndani ya siku ngapi hiziView attachment 2667661
Kuteka jimbon, hv unalijua jimbo ?Unakumbuka wale waasi wa mchongo walivyopewa dozi faster, sasa unadhani wanashindwa nini kuwafyeka Wagner ambao data zao zote ziko wazi. Kuna kitu kinatengenezwa hapo. Ndio maana hata US hawakurupukii hizi sanaa za kijana wa Putin Prigo. Hahaha
Haya mahaba ya kiwango hichi mnayatoa wapi? Aisee.Binafs Hadi mikono inanitetemeka[emoji26]
Kuna red line wagner walipewa wakivuka ndiyo watajua awajui ....maana hao wagner pia ni warusi na watoto wa warusi ......hakuna chochote wataweza kufanikisha kwa kupambana na jeshi la urusi zaidi ya kusalitiana kwa kujiunga na jeshiHili swala lilikuwa planned ndo maana hakuna resistance yoyote ile
Wagner wametumia akili kubwa sana. Walidanganya kuwa wanaenda mapumzikoni. Misafara yao ikaingia russia bila wasiwasi.Na ukumbuke Wagner ina wapiganaji wengi makomandoo,zaidi ya yote wana uzoefu mkubwa wa vita.
Na Putin chokochoko zote alikuwa anawategemea hawa Wagner. Ukumbuke hawa Wagner ni zao lake,hivyo alikuwa anawategemea sana kwenye hivi vita.
Zaidi sana Warusi wengi hawakubariani kabisa na uamuzi wa Putin kuingia vitani miaka hii. Na Warusi wengi wamechoka sana na uongozi wa kidkteter wa Putin. Hapo Wagner tutegemee mapokezi makubwa ya Wagner kutoka kwa wananchi kokote kwa hatua watakayofikia. Pia tutegemee wanajeshi wengi kutoka upande wa serikali kujiunga na kundi la Wagner. Putin amejificha.