Urusi vs Wagner: Wagner wasitisha 'Uasi' na safari ya kwenda Moscow yasitishwa, wadai hawataki kumwaga damu ya Warusi

Walifanya Ugaidi wapi?
Hukumbuki walivyoua watu baada ya kujilipua kwenye Subway Train jijini Moscow na walivyoteka watoto katika shule moja huko Russia na tukio lililopelekea magaidi wote kuuliwa pamoja na watoto wote....!!!

Hao watu ni magaidi kabisa labda unawafahamu tu ila kwa sababu mnachangia imani basi unajifanya hufahamu.
 

Kwahiyo wewe unafurahia ushetani wa West??
 
Mkuu ukrsto umezaliwa ndani ya uyahudi kama dini mwenza na uislamu umekopi toka kwa wayahuudi na ukristo sababu hizo dini zilitangulia kabla ya uislamu au hujui mkuu...Wanaowachukia jews ni waarabu na waislamu au nadanganya.
Sio kilakitu ufate dhana kuna vitu vingine kama uvijui ni bora kukaa kimya tu sio unaongea maneno yako ya kibange bange hapa. Hivi una uthibitisho unaweza nipa Kama uislamu ni kopy ya ukristo na uyahudi?. Kwanza hakuna dini inayoitwa ukristo duniani ni dhana tu kama una uthibitisho wa maandishi nipe kua kua ukristo ni dini. Pili Uislamu haumuabudu kiumbe nikimaanisha yesu mama yake kua eti ndio wakusamehe dhambi unawezaje kusema Uislamu ni copy , quran imetelemshwa ni uteremsho kutoka kwa mwenyezi Mungu biblia imeandikwa na watu waliokua wanaulizia habari za nabii yesu kipindi kashaondoka sio kitabu alichokuja nacho ni habari zilizokusanywa kwa kuuliza uliza watu ndio maana kuna injili ya Marko kuna ya luka kuna Mathayo nk. soma dini usizue mambo ya uongo watu kama ninyi na elimu yenu ya dhana hiyo ndio mpaka leo munakubali binadamu wa kwanza alikua nyani.
 
Kwahiyo mkuu kuna dini inayoitwa uislamu tu duniani na vitabu vya quran havijaandikwa na watu mkuu?????Ambao ulikuja baadae baada ya wayahudi na wakrsto kuanzisha dini na imani zao???
 
Afu mkuu suala la kitabu cha Quran kutelemshwa ni adithi za kufikirika zisizo na ushahidi ili kukwepa wanahoji suala la Quran kukopi vitabu vya simulizi za wayahudi wanaviita Torati....Quran ni masimulizi ya kale ya jamii za waarabu ambayo yamekopi simulizi za kale za jamii za wayahudi
 
Wagner wamesema lengo lako ilikuwa ni kuwajua mashabiki maandazi pamoja na maadui wa kweli na wale marafiki wanaa wa Motherland/Fatherland Moscovischt/Russia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Putin kacheza mchezo na umeenda kama walivyo panga yeye na Rafiki yake.
 
Pia mkuu kama ukrsto ni dhana tu basi hata uislamu ni dhana tu na kila dhana ina mapokeo yake..Wakrsto mungu wao ni Yesu pamoja na Baba yake mungu wa kiyahudi aitwae Yehovah..Afu waislamu mungu wao ni mungu wa kiarabu aitwaye Allah na nabii wake Muhamad.....Dini yoyote duniani ni dhana tu ya kufikirika pasipo ushahidi wowote
 
Mkuu hakuna mungu alieteremsha quran na hakuna ushahidi ya masimulizi ya muhamadi na kama alitunga utabishaje wakati hakuna ushahidi zaidi ya masimulizi kwa njia ya maandishi.Ukweli ni kwamba waarabu wa kale wakiongozwa na mtawala wao aliyekua na influence Muhamadi walikopi vitabu vya masimulizi ya kale vya wayahudi @ Nengani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…