US dola imejaa mpaka inamwagika, hongera sana Samia, hongera mwigulu

Hili taifa kupata maendeleo ni ndoto maana linawatu wengi wajinga kama wewe, dola ilitoka 2300-2850 leo imeshuka 2550 unashangilia tena, waliosababisha ikapanda ni akikana nani? kama siyo ujinga wako unakusumbua.
 
Acheni uchawa jamani hii nchi ni kubwa watu wanapambana mchana na usiku maisha yabadilike lakini mifumo inawakataa kwani ni watu wachache wanafaidi katika mfumo huu,watu wenye koneksheni
 
Eheee kumbe rais anashusha dolla? kama ana uwezo huo basi aishushe ifike 1usd = 5 Tsh mpaka Shilingi tano ikaitwa DALA...rejea "Dala dala" nauli ilikuwa Tsh 5.
 
Acheni uchawa jamani hii nchi ni kubwa watu wanapambana mchana na usiku maisha yabadilike lakini mifumo inawakataa kwani ni watu wachache wanafaidi katika mfumo huu,watu wenye koneksheni
Mifumo imejaa matapeli tupu
 
Mama anaongoza vizuri sana.

Hatutaki viongozi wajuaji ambao hawataki kushauriwa.
 
Nani alisababisha ikapanda? hawa watu ni wapumbavu sn huwa wanashangilia vitu vya kijinga, taifa la watu wapumbavu kama hili usitegemee maendeleo yoyote
 
Wavivu na wenye maisha magumu ndiyo mnaongoza kwa makasiriko kwenye huu Uzi.
 
Nani alisababisha ikapanda? hawa watu ni wapumbavu sn huwa wanashangilia vitu vya kijinga, taifa la watu wapumbavu kama hili usitegemee maendeleo yoyote
Nafikiri ChoiceVariable na makummers wenzie akina mwashamba wanaweza kutupa majibu ni akina nani waliipandisha au nini kilipekea $ ikapanda dhidi ya Tsh.
 
Mama is next level ,saizi imeshuka tena πŸ˜πŸ˜πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://www.instagram.com/p/DDepiy9sRSZ/?igsh=MXRjanMzdnYxa2l5bQ==
Ingawa mnashangilia ila kuimarika Kwa Shilingi kunafanya mauzo ya bidhaa zetu Nje kuwa na bei kubwa so exporters wataanza kulia sio mda.
 
Ni bora ufanye biashara ya "Forex"
 
Kuna jamii imeumia sana humu, mpaka wengine wanatukana matusi ya nguoni humu, kisa tu mama ameinua uchumi wa Tanzania

Basi badooo, mtaumia sana

NA
Hakuna raisi aliwahi kuishusha us dola Tanzania tangu tupate uhuru isipokua Samia pekee
Kabla hajaishusha, ilikokuwa imepanda huko nani aliipandisha?
 
Kabla hajaishusha, ilikokuwa imepanda huko nani kaipandisha?
Ni yeye, wakamsemaaaa weeeee, sasa na saa hii tunasubiri wamsifu ila wanasema eti imeshuka yenyewe
πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£

Yaani eti kupanda anapandisha, ila kushuka ni yenyewe inashuka, kama sio chuki ni nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…