mahindi hayaoti mjini
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 2,120
- 2,709
- Thread starter
-
- #121
Mkishindwa hoja mnahamisha magoliHawa UWT hata dola zenyewe hawajawahi kutumia wao huwa wanatumwa kuja kupost
Ksh to tzs kwa leo ni 17.75 kutoka 21.5 last weekWameishushaje mkuu?
Tzs Imepanda pia dhidi ya currency nyingine?
Ksh na Ugsh zina thamani gani kwa Tzs kwa sasa?
Na inapopanda tusimlaumu piaHilo halina tofauti na kumpongeza raisi kwa mvua kunyesha!😂
Ukweli ni kwamba hamna aliye na nguvu dhidi ya dollar katika hili bara la giza na haswa hapa Afrika mashariki.
Ni kweli kabisa na sio mda mrefu yaani mwakani 2025- 2026 itarudi hiyo chenji ya zamaniYaani mitanzania ambayo haijasoma ndo kama hili litoa mada jinga kabisa .
ELIMU
Mnamo september ili kuvutia wawekezaji usa iliamua kushusha intrest rate hadi 4% na ilitabiliwa kabisa kuwa mwezi huu dola itashuka imefanya hivo dunia nzima kwa pesa zote isipokuwa chache sana kama zambia(wanamatatizo yao)
.
Uganda na kenya nao mama anaupiga mwingi? Mama anafanya kazi nzuri ila acheni kumchezea akili .
Nikuongezee angalia kuanzia tarehe 20 dolla itaanzapanda na tutarudi 2600.sababu ni kuwq kumekuwa na exaggeration ya information east africa .kama unabisha ikifika 2200 nunua dola 100 tu kisha nipime kwa hilo.nakuapia december tunafunga ikiwa 2500 hadi 2600.
Sikunyingine usikurupuke wachumi tumo humu.
Wanadhani watu wote ni wajinga kama waoNafikiri ChoiceVariable na makummers wenzie akina mwashamba wanaweza kutupa majibu ni akina nani waliipandisha au nini kilipekea $ ikapanda dhidi ya Tsh.
Nani alisababisha ikapanda?Nj i 2350/= bwashee, Mama anatisha
Nani alisababisha ikapanda?Kwa hili namuunga mkono maana tulikuwa tunapata shida ya kuagiza bidhaa kutokana na uhaba wa dola.
Ila wale mawakala wa forodha waliopakia mzigo mwezi wa kumi na kumi na moja ni hasara tupu
Nyie UWT tunawauliza nani alisababisha ikapanda?Mkishindwa hoja mnahamisha magoli
Mama ametisha, hakuna kiongozi aliwahi kushusha dola tangu Tanzania iundwe
Nani alisababisha ikapanda?
Mama, na ndie aliyeishusha, apewe maua yakeNani alisababisha ikapanda?
Aliyesababisha ikashukaNyie UWT tunawauliza nani alisababisha ikapanda?
We ni shetani kabisa dada angu, yaani yeye asababishe halafu tumsifie? shame on you, unajua amesababisha hasara kwa watu wa ngapi?Mama, na ndie aliyeishusha, apewe maua yake
Duh nimecheka Leo jmn🤣🤣🤣Hakuna rais wala waziri wa fedha hata mmoja aliyewahi kuishusha us dola namna hii,
Hongereni sana, kutoka 2850/= mpaka 2400/=?
Hakuna kama Mama, kama mitaa tu ni hivi, je uchaguzi mkuu si tutaogelea kwenye asali na maziwa?
Mama na akae mpaka achoke
NB:
Mkijua kulaumu, mjue na kupongeza
Nyie UWT hanaga akili kabisa ni tope tupuAliyesababisha ikashuka
Sawa bwasheeNyie UWT hanaga akili kabisa ni tope tupu
PamojaSawa bwashee
Mpo vizuri kuhamisha magoli, hoja zimekushinda hiziWe ni shetani kabisa dada angu, yaani yeye asababishe halafu tumsifie? shame on you, unajua amesababisha hasara kwa watu wa ngapi?
Unalaana wewe utaendelea kuongozwa na watu wa kuja mpka lini? kwenye ukoo/Wilaya/Mkoa wenu hakuna mwenye akili timamu anaweza kugombea mpaka muongozwe na mzanzibar?Mpo vizuri kuhamisha magoli, hoja zimekushinda hizi
Yaani Samia kilichobaki ni agombee urais wa afrika tu, huku ameshamaliza kila kitu
Jidanganye usimzarau mtu usiyemjua chukua hiyo itakusaidia maishaniEndelea kujipendekeza huku ukiendelea kushindia mihogo ya kukaanga.