Yaan sijui nani anawaambia kisa tunachati chati humu basi wajingaNi kweli kabisa na sio mda mrefu yaani mwakani 2025- 2026 itarudi hiyo chenji ya zamani
Eti sh imepanda thamani what a joke
Kwa mauzo gani ya nje kwa ajira gani
Akujue nani ww mpiga debe hapo tegeta unakitambi unavaaga suti oversize una mamustachiJidanganye usimzarau mtu usiyemjua chukua hiyo itakusaidia maishani
Kweli kabisa hujakoseaAkujue nani ww mpiga debe hapo tegeta unakitambi unavaaga suti oversize una mamustac
Akujue nani ww mpiga debe hapo tegeta unakitambi unavaaga suti oversize una mamustachi
Kupanda ni sababu ya uzembe tumeshazoea ila kushuka asipewe mtu sifa za uongo maana yupo ofisini kwa miaka miwili na haikuwahi kushuka.Na inapopanda tusimlaumu pia
Kuna wengine wanadhani jf ni Tz tuYaan sijui nani anawaambia kisa tunachati chati humu basi wajinga
ikifika hivyo mapema njoo uni quote nikupe lakiNgoma imeshafika 2375/=
Yaani mpaka asubuhi ni 2200
Achana na huyu samia aisee ni habari nyingine kabisa
kwamba hii usd inashuka tz tuYaani naona wapinga maendeleo walivyoumia, sema nini? Mama anawajibu kwa vitendo tu
Kweli samia ni kiboko
Na kuanzia january tunanua petrol 1600/= kwa lita
Yaani mpaka mseme
Kuna walikaa madarakani miaka 20 na ushee na hawakuwahi kuishusha hata mara moja,Kupanda ni sababu ya uzembe tumeshazoea ila kushuka asipewe mtu sifa za uongo maana yupo ofisini kwa miaka miwili na haikuwahi kushuka.
Samia ni mtanzania, Tanganyika haipo, ikiwepo tutaangalia la kufanyaUnalaana wewe utaendelea kuongozwa na watu wa kuja mpka lini? kwenye ukoo/Wilaya/Mkoa wenu hakuna mwenye akili timamu anaweza kugombea mpaka muongozwe na mzanzibar?
Hata pound na euro zimeshukaYaani mitanzania ambayo haijasoma ndo kama hili litoa mada jinga kabisa .
ELIMU
Mnamo september ili kuvutia wawekezaji usa iliamua kushusha intrest rate hadi 4% na ilitabiliwa kabisa kuwa mwezi huu dola itashuka imefanya hivo dunia nzima kwa pesa zote isipokuwa chache sana kama zambia(wanamatatizo yao)
.
Uganda na kenya nao mama anaupiga mwingi? Mama anafanya kazi nzuri ila acheni kumchezea akili .
Nikuongezee angalia kuanzia tarehe 20 dolla itaanzapanda na tutarudi 2600.sababu ni kuwq kumekuwa na exaggeration ya information east africa .kama unabisha ikifika 2200 nunua dola 100 tu kisha nipime kwa hilo.nakuapia december tunafunga ikiwa 2500 hadi 2600.
Sikunyingine usikurupuke wachumi tumo humu.
Leo hujabubujikwa na machozi ya furaha?Taifa ni salama mikononi mwa RAIS Samia na linaendelea kufanya vizuri sana kiuchumi.
Its grobalHata pound na euro zimeshuka
Ondoa mwigulu hapoHakuna rais wala waziri wa fedha hata mmoja aliyewahi kuishusha us dola namna hii,
Hongereni sana, kutoka 2850/= mpaka 2400/=?
Hakuna kama Mama, kama mitaa tu ni hivi, je uchaguzi mkuu si tutaogelea kwenye asali na maziwa?
Mama na akae mpaka achoke
NB:
Mkijua kulaumu, mjue na kupongeza
Kawaida tu, mbona we Kuna watoto wanakuota mama? Jina la Samia litawaua wallahiHalafu unakuta nyumbani kuna mtu anamwita mume wangu na watoto wanamwita baba
Nitashangaa kama mtu mmoja anaye ruka katiikati mwashamba asipotia timu hapa kupuliza saxafoneHakuna rais wala waziri wa fedha hata mmoja aliyewahi kuishusha us dola namna hii,
Hongereni sana, kutoka 2850/= mpaka 2400/=?
Hakuna kama Mama, kama mitaa tu ni hivi, je uchaguzi mkuu si tutaogelea kwenye asali na maziwa?
Mama na akae mpaka achoke
NB:
Mkijua kulaumu, mjue na kupongeza
Pongezi sana kwa samia na cabinet lakeWajinga ndio huwa wanasifia kwa namna utakayo.
Na bubujika tu hapaTaifa ni salama mikononi mwa RAIS Samia na linaendelea kufanya vizuri sana kiuchumi.