USHAURI: Nani asimame kati ya Baba mlezi na Baba mzazi kwenye send off na harusi!!


Kuwa karibu haimaanishi ninyi ni Ndugu.

Wewe ndio Akili zako fupi, Pengine hapo hata hujui unachokiandika,
Ndugu upande wa Mama wanakuwa Ndugu Kwa ku-share Mama lakini sio Ndugu Kwa asiliπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Baba ndio hutoa mbegu(chanzo cha asili),
Undugu WA asili unatoka Kwa Baba, Vijana WA siku hizi mnashindwa Akili mpaka na Wanyama.

Nakuongezea tuu maarifa,
Mwanamke anaweza kuwekewa kijusi ambacho ni mbegu na yai la Mwanamke mwingine akawekewa kwenye Mji WA Uzazi kisha akajifungua, hapo utasema pia ni ndugu ulivyo na Akili fupi.πŸ˜€πŸ˜€

Sijui hata kama unajua maana ya Baba na Mama
 
Mzee Kumbe uwezo wa Kufikiri ni Hafifu ivi, Ndugu Peke ambaye una uhakika ni ndugu zako ni Wale ulio Share nao Mama yani Mliotoka tumbo moja, Baba huwa inabaki kuwa siri ya mama tu kuwa huyu ni wababa huyu na yule ni wa baba huyu
 

Jamii zilizostaarabika nizipi Mkuu? Maana usijekuwa umechanganyikiwa.

Unajua maana hata ya neno Baba?
Baba mzazi Vs Baba Mlezi.
Hizo jamii unazosema zilizostaarabika zimeweka hizo sheria Kwa MASLAHI ya Watoto na kuepusha zile aibu za rejareja,

Mfano, mwanaume unaweza kuwa umeoa na ukazaa Watoto watatu lakini Wawili wakawa Watoto wako lakini mmoja asiwe Wako. Sasa kuondoa hizo vurugu ndio wakaweka hizo sheria kuwa mtoto anaweza kuwa wako kisheria lakini kiasiili sio wako.
Na moja Kwa moja hawawezi kuwa Ndugu kiasili hao Watoto Kwa sababu mzizi wao sio mmoja isipokuwa wanaweza wakawa wame-share tumbo la mama mmoja au Yao la mama mmoja.
 
Mzee Kumbe uwezo wa Kufikiri ni Hafifu ivi, Ndugu Peke ambaye una uhakika ni ndugu zako ni Wale ulio Share nao Mama yani Mliotoka tumbo moja, Baba huwa inabaki kuwa siri ya mama tu kuwa huyu ni wababa huyu na yule ni wa baba huyu

Ninyi ndio bado mnaupeo mdogo wa kuyaelewa haya mambo.
Kuzaliwa pamoja hakuwafanyi ninyi kuwa Ndugu kiasili.
Hata huyo mnaye-share Mama anaweza kuwa alibadilishiwa hospitalini au Kwa wakunga.
 
Hata mimi nimeshangaa.
Ingekua ni mimi sherehe na kila kitu ningefanya kwa baba mlezi maana ndo kanilea tangu nikiwa mtoto ila baba mzazi ningempa taarifa tu kwa heshima ya kuitwa baba mzazi.
Ndicho wanapaswa kufanya
 

Hunaga akili
 
 
Kama hakuna uhasama kati ya hizo pande mbili, afanye kumshirikisha baba mzazi .
Mahali ipokelewe kwa baba mlezi, send off ifanyike ksa baba mlezi ila baba mzazi asiachwe kando.

Kuhusu gari sioni umuhimu wa kumpa public labda kama anataka tu kumchoma moyo baba mzazi kitu ambacho hakina manufaa yoyote.
 
Japo inaumiza ila Robert Heriel Mtibeli una point hapa.
 
Baba mzazi ni natural bond. Hiyo haifutiki mpk kufa kwako. Haijalishi amekusupport Kipesa au lah. Baba Mlezi upo naye Sababu ya uwepo wa Mama Yako. Once relationship na mama Yako ikifaa nawe automatic imekufaa. But Baba mzazi atabaki mzazi tu hauna mwingine Tena Duniani. Tupo na kizazi kilicholelewa bila Baba mzazi ndo maana tunapata watu wa hovyo sana Duniani hapa.
 
Yeye faida yake kama baba mlezi ilikuwa kupewa mbususu tu na mama yake na kaipata
 
Baba wazazi si ndio hao wanakimbia responsibilities zao, Sasa kwa Kuwa Muda ni Mwalimu mzuri sana, Ndo kama Ivo siku hazigandi unakuta dogo anakuwa kwa shida na mzee yupo tu anaponda raha na Vimada leo Dogo amekomaa ame settle eti aanze ujinga wa huyu ni baba mzazi sijui mzazi Aisee kwa kweli hapana kabisa, Kila mtu Avune alichopanda hii tabia ya Kulea Sperm donours ndo inafanya jamii inazalisha wanaume wasiotaka kuwa responsible na watoto wao Kabisa kisa starehe afu Fainali ikifika Uzeeni wanaanza kulia lia, Nasema ivi kila mtu atakula alipo Peleka mboga
 
Naam Mtibeli
 
Nakazia. Sperm donors wafutiliwe mbali. By the way Mimi nina wajukuu na watoto wangu niliwaambia kabisa wawe waangalifu kuchagua girlfriend maana akimpa mimba ni lazima aoe. Sitaki wazazi walezi mimi. Ni marufuku kuchezea mabinti na kuacha bila sababu ya msingi. Na kama akiacha aachwe bila mtoto. Nilisimamia hili na vijana wangu wawili wameoa na ninawaombea hata nje wasizae maana Mimi Baba yao sina mtoto nje ya ndoa. Period.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…