Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Jmn mnaojua mtuambieHujui kitu wewe!
UsUSA au Scandinavian..😀
Wakuda hao utadhani unaenda Mbinguni😀
Kweli kabisa. Wanaoweza kula sahani moja na US/UK ni FSB. Sio haya mashirika yetu ya kiafrika.Wewe ndio unajidanganya na kujilisha mashudu...
Wanaoweza hio michezo ni idara kama FSB, mwaka 2006 walimmaliza Alexander Litvinenko kwa radiation poisoning, jamaa walitumwa na Putin moja kwa moja na head wa FSB..
Alexander alikuwa ni forer FSB akiishi UK huku anamkosoa Putin, Alexander alishirikiana na idara za usalama wa UK na Spain akitoa siri za Russian mafia waliopo Ulaya na uhusiano wake na serikali ya Russia.
Kumbuka Alexander na yeye alikuwa ni agent hatari na ndio walikuwa wanatumika na FSB kufanya mauaji ya watu bali mbali...
Ndipo hapo Mr Putin akatuma watu wakammaliza kwa sumu ya mionzi...
Nchi zenye uchumi na kujiweza na kutotembeza bakuli ndio wanaweza hayo.. kingine FSB ni moja ya idara bora kabisa na hatari sana duniani..
Lakini hata hivyo idara za usalama UK walifuatilia hadi kutambua ni nani na nani walimpa jamaa sumu, hio ni Russia..
Je US unafikiri mtathubutu? kwa sababu kwa vyovyote mtafahamika, halafu ndipo mtajua muwa ni tunda ama mti.
Wakimuamlia hata sekunde hachukuiSativa is reading
Upo sahihi snNawaonea huruma sana wanaopingana na madhalimu CCM alafu wanakimbilia nchi za Afrika Mashariki au China au Urusi.
Kwa kifupi hutakuwa salama nchi yeyote ya Afrika au kwenye hizo nchi marafiki wa CCM. Nchi za Kiarabu ndo kabisa maana majasusi wa nchi mbalimbali ndo wanafanya field zao hata Kagame tu anazitoaga jasho sana.
Ukitaka kuwa salama nenda Marekani au nchi yeyote ya Umoja wa Ulaya ila sio Uturuki.
Nimemaliza
Wanasemaga Money speaks Every language 😳!mnadanganyana sana, aliyekwambia huko huwa hawafanyiziwi ni nani? sema inategemea adui yako ni nani, hao hao wazungu wanaweza kukukamata na kukurudisha huko ukapewa kichapo, uliza maadui wa rwanda waliokimbilia huko ulaya kilichowapata …
Njia ni nyingi sana..hata kutumia magenge ya kiuhalifu kutimiza lengo..hasa lengo la ku Neutralize..Unamjua PK ? alimkill target ndani ya U.S na mwengine S.A
Duh!...Nawaonea huruma sana wanaopingana na madhalimu CCM alafu wanakimbilia nchi za Afrika Mashariki au China au Urusi.
Kwa kifupi hutakuwa salama nchi yeyote ya Afrika au kwenye hizo nchi marafiki wa CCM. Nchi za Kiarabu ndo kabisa maana majasusi wa nchi mbalimbali ndo wanafanya field zao hata Kagame tu anazitoaga jasho sana.
Ukitaka kuwa salama nenda Marekani au nchi yeyote ya Umoja wa Ulaya ila sio Uturuki.
Nimemaliza
Hao hawajui kitu na akili hawana, hatuna uwezo wowote wa kucheza na idara za usalama na nchi za Ulaya au Amerika.Kwakweli hawa wanatulisha matango pori humu
Bora umesema ukweli
Kama ni mhalifu si anafikishwa mahakamani,?! Au siku hizi wahalifu wanatekwa?Kama wewe ni mhalifu hakuna sehemu utakimbilia usipatikane. Mange mwenyewe kazima fegi kwa utawala huu wa Mama Samia. Hata kama huna kazi jiepushe na kazi ya kuishambulia serikali iliyopo madarakani kwa harakati uchwara. Watu wachache hamuwezi vumiliwa mvuruge amani ya watu zaidi ya milioni 60 huku nyie mkila kuku ughaibuni.
Marekani wakuda kweli. Wanazingua kinomaWakuda hao utadhani unaenda Mbinguni😀
ccm na anc ya afrika kusini wana urafiki mkubwa sana tangu zamani, wasikimbilie south kwa madibaUS hapana. Ila SA palivyo pa kihuni hata wazembe wetu hapa TISS wanaweza fanya mission na usitoboe
akasome: unconventional methods of inflicting harm upon another person.Njia za kuua targets unazo zifahamu ni zipi na zipi ?
Alikuwa muuaji.JPM alisingiziwa mabaya mengi sana
Huko mkakati pekee unaofanyika ni kuwatumia marafiki na ndugu kumshawishi anayetafutwa arudi nyumbani au mahali anapoweza kuchukuliwa kirahisi kama ilivyofanyika kwa Kassim Hanga, Paul Rusesabagina na wengineo.mnadanganyana sana, aliyekwambia huko huwa hawafanyiziwi ni nani? sema inategemea adui yako ni nani, hao hao wazungu wanaweza kukukamata na kukurudisha huko ukapewa kichapo, uliza maadui wa rwanda waliokimbilia huko ulaya kilichowapata …
Ila kiukweli Nyerere ndiyo alitupoteza, kila nchi iliyofuata Urusi au China ndiyo masikini taabani duniani. Angalia Ethiopia, Angola, Mozambique, Zimbabwe na sasa South Africa duuu. Angalia Ulaya Mashariki.Nawaonea huruma sana wanaopingana na madhalimu CCM alafu wanakimbilia nchi za Afrika Mashariki au China au Urusi.
Kwa kifupi hutakuwa salama nchi yeyote ya Afrika au kwenye hizo nchi marafiki wa CCM. Nchi za Kiarabu ndo kabisa maana majasusi wa nchi mbalimbali ndo wanafanya field zao hata Kagame tu anazitoaga jasho sana.
Ukitaka kuwa salama nenda Marekani au nchi yeyote ya Umoja wa Ulaya ila sio Uturuki.
Nimemaliza
Halafu sio kazi sana kama watu wanavochukulia kum eliminate target hata awe wapi , tena akiwa anaishi kwa kificho ndio rahisi akisha kuwa identified.Unamjua PK ? alimkill target ndani ya U.S na mwengine S.A
Atagusaje huko wakati ni kibaraka wao?Kagame na ujanja wake wote hagusi ulaya na marekani. Anaishia UAE tu hapo