Ushauri wa bure! Ukiwa mwanaharakati dhidi ya CCM usikimbilie nchi za Afrika Mashariki au Urusi au China. Nenda Marekani, UK au Nchi ya Umoja wa Ulaya

Ushauri wa bure! Ukiwa mwanaharakati dhidi ya CCM usikimbilie nchi za Afrika Mashariki au Urusi au China. Nenda Marekani, UK au Nchi ya Umoja wa Ulaya

Wewe ndio unajidanganya na kujilisha mashudu...
Wanaoweza hio michezo ni idara kama FSB, mwaka 2006 walimmaliza Alexander Litvinenko kwa radiation poisoning, jamaa walitumwa na Putin moja kwa moja na head wa FSB..

Alexander alikuwa ni forer FSB akiishi UK huku anamkosoa Putin, Alexander alishirikiana na idara za usalama wa UK na Spain akitoa siri za Russian mafia waliopo Ulaya na uhusiano wake na serikali ya Russia.

Kumbuka Alexander na yeye alikuwa ni agent hatari na ndio walikuwa wanatumika na FSB kufanya mauaji ya watu bali mbali...

Ndipo hapo Mr Putin akatuma watu wakammaliza kwa sumu ya mionzi...

Nchi zenye uchumi na kujiweza na kutotembeza bakuli ndio wanaweza hayo.. kingine FSB ni moja ya idara bora kabisa na hatari sana duniani..

Lakini hata hivyo idara za usalama UK walifuatilia hadi kutambua ni nani na nani walimpa jamaa sumu, hio ni Russia..

Je US unafikiri mtathubutu? kwa sababu kwa vyovyote mtafahamika, halafu ndipo mtajua muwa ni tunda ama mti.
Kweli kabisa. Wanaoweza kula sahani moja na US/UK ni FSB. Sio haya mashirika yetu ya kiafrika.
 
Nawaonea huruma sana wanaopingana na madhalimu CCM alafu wanakimbilia nchi za Afrika Mashariki au China au Urusi.

Kwa kifupi hutakuwa salama nchi yeyote ya Afrika au kwenye hizo nchi marafiki wa CCM. Nchi za Kiarabu ndo kabisa maana majasusi wa nchi mbalimbali ndo wanafanya field zao hata Kagame tu anazitoaga jasho sana.

Ukitaka kuwa salama nenda Marekani au nchi yeyote ya Umoja wa Ulaya ila sio Uturuki.

Nimemaliza
Upo sahihi sn
 
mnadanganyana sana, aliyekwambia huko huwa hawafanyiziwi ni nani? sema inategemea adui yako ni nani, hao hao wazungu wanaweza kukukamata na kukurudisha huko ukapewa kichapo, uliza maadui wa rwanda waliokimbilia huko ulaya kilichowapata …
Wanasemaga Money speaks Every language 😳!
 
Nawaonea huruma sana wanaopingana na madhalimu CCM alafu wanakimbilia nchi za Afrika Mashariki au China au Urusi.

Kwa kifupi hutakuwa salama nchi yeyote ya Afrika au kwenye hizo nchi marafiki wa CCM. Nchi za Kiarabu ndo kabisa maana majasusi wa nchi mbalimbali ndo wanafanya field zao hata Kagame tu anazitoaga jasho sana.

Ukitaka kuwa salama nenda Marekani au nchi yeyote ya Umoja wa Ulaya ila sio Uturuki.

Nimemaliza
Duh!...
 
Kama wewe ni mhalifu hakuna sehemu utakimbilia usipatikane. Mange mwenyewe kazima fegi kwa utawala huu wa Mama Samia. Hata kama huna kazi jiepushe na kazi ya kuishambulia serikali iliyopo madarakani kwa harakati uchwara. Watu wachache hamuwezi vumiliwa mvuruge amani ya watu zaidi ya milioni 60 huku nyie mkila kuku ughaibuni.
Kama ni mhalifu si anafikishwa mahakamani,?! Au siku hizi wahalifu wanatekwa?
 
mnadanganyana sana, aliyekwambia huko huwa hawafanyiziwi ni nani? sema inategemea adui yako ni nani, hao hao wazungu wanaweza kukukamata na kukurudisha huko ukapewa kichapo, uliza maadui wa rwanda waliokimbilia huko ulaya kilichowapata …
Huko mkakati pekee unaofanyika ni kuwatumia marafiki na ndugu kumshawishi anayetafutwa arudi nyumbani au mahali anapoweza kuchukuliwa kirahisi kama ilivyofanyika kwa Kassim Hanga, Paul Rusesabagina na wengineo.

Urusi ndio imeonyesha jeuri ya kuua wapinzani walioko Ulaya (kwa polonium na risasi) lakini kwa tabu sana.
 
Nawaonea huruma sana wanaopingana na madhalimu CCM alafu wanakimbilia nchi za Afrika Mashariki au China au Urusi.

Kwa kifupi hutakuwa salama nchi yeyote ya Afrika au kwenye hizo nchi marafiki wa CCM. Nchi za Kiarabu ndo kabisa maana majasusi wa nchi mbalimbali ndo wanafanya field zao hata Kagame tu anazitoaga jasho sana.

Ukitaka kuwa salama nenda Marekani au nchi yeyote ya Umoja wa Ulaya ila sio Uturuki.

Nimemaliza
Ila kiukweli Nyerere ndiyo alitupoteza, kila nchi iliyofuata Urusi au China ndiyo masikini taabani duniani. Angalia Ethiopia, Angola, Mozambique, Zimbabwe na sasa South Africa duuu. Angalia Ulaya Mashariki.

Akija Lisu tafadhali turudishe kwenye mstari, acha hawa waongo waende China na Urusi huko ndiyo kwao.
Tumeumizwa sana.
 
Unamjua PK ? alimkill target ndani ya U.S na mwengine S.A
Halafu sio kazi sana kama watu wanavochukulia kum eliminate target hata awe wapi , tena akiwa anaishi kwa kificho ndio rahisi akisha kuwa identified.
 
Hata YUEIHII sio, kiufupi nchi inayonufaika zaidi na serikali yako sio mzuri kwenda kuishi. Wanufuika hawana rangi wanakuchangea tu fasta.

Yaani unipe selous kwa miaka 99 kwa mkopo wa 20BN TZS alafu mtu anayekupinga aje kuishi mchini mwangu (huu ni mfano tu wasiojulikana pumzikeni,sikuhizi mnavuka boda, hongereni)
 
Back
Top Bottom