Kwa hiyo Ke ndiyo wanaruhusa kuanzisha uzi hapa jf??Yaan jf imekuwa sijui mahakama?
Mambo yanafanyika mtaani jitu linafungua uzi humu mbio, as if likitangaza humu tutakufa[emoji57][emoji57]
Mwanaume anayejifungulisha mauzi humu namuona kama Ke tu
Cry harder.... [emoji23]Sasa huu muda wa kufungua nyuzi tafuta hela...humu husaidiwi kitu zaidi ya blah blah
Hakuna mwanamke wa type yako kila mwanamke anavigezo vyake mwanaume anayemtaka labda chizi mwanamke yoyote kukupa unyumba bila pesa utapewa kwa masharti siku zotekila mtu na type zake kila mtu akila hao wa marketi wengine wataliwa na nani?
Dawa ya wanawake wadangaji ni pale anapokupiga mzinga unamuacha na kumblock pale pale wala usimpe mda wa kupumua na kukuletea mzigo wake wa matatizo. Kumbuka madeni aliyonayo kajipa mwenyewe kwa faida yake, akushirikishe wewe kama nani? Pia ukumbuke, licha ya wewe, kuna midume mingine 9 inamsugua, kama asingekupata wewe angeenda kuomba hizo hela wapi? Nakushauri, kama utapata demu dizaini hii mpige vichwa na magumi umshikishe adabu.Kwa hali ilivyo sasa kwenye ulimwengu wa mapenzi na mahusiano, wanaume wote tunajua ukweli ni kuwa sahivi mahusiano yamekuwa biashara, unamtongoza mdada leo, kesho anakuomba hela, usipompa mahusiano yanakufa, ukimpa hela mahusiano yanakua kama ofisi ya mikopo kila Wiki shida za hela haziishii, sasa na wanaume tulivo ukiwa na Wadada 3 wa hivyo muda si mrefu, utafilisika hadi utaishia kuomba kipande cha mkate.
Huu ushauri sio kwa Kila mtu, ila Mwanaume ukiona vipi, Mtu ukibanwa sana na hitaji la ngono, Unaenda kona baa u pay, and leave, Maana hakuna tofauti kati ya wadada wanaojiuza barabarani na hawa Wadada wa mtaani, Maana karibia wote wanajiuza Na karibia wote wanakupendea hela, wanaojiuza barabarani wako cheaper.
Mtaani unaacha kabisa kushobokea wadada, na kuwatongoza, the only time mwanaume unatakiwa utongoze ni pale unapojiridhisha kua huyu mdada anahitaji nimridhishe kingono. Coz amekutega.
Angalizo: UKIMWI upo tumia condom, kwa wale wafia dini wanaosema ukilala na makahaba unajiletea mikosi, hata hawa mademu wa mtaa Tunaosex nao, pia wana mikosi, ikishindikana vyote kaa kwa password.
Anatuasa tusikae kinyonge tununue mechi.Sasa sa umwambie straight huyo aliyekuomba hela sasa sisi tukusaidie nini[emoji57][emoji57]
Kazi kujaza server tu mfyuuu
[emoji23][emoji23][emoji23] bora hata umuulize wee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aisee bora utafute kadada ka mtaani kanakodanga ndo utafaidi K kuliko hao wanaojiuza unaenda kugonga hujamaliza dakika 5anakwambia utoke
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Mpaka karne hii bado unatongoza?
Nasubilia jibu lake lakini naona kimya kabisa hapa nipo kinyonge wangu[emoji23][emoji23][emoji23] bora hata umuulize wee.
Nisaidie wewe huwa unafanyaje!Mpaka karne hii bado unatongoza?
Unafeli wap?
Huwa sitongozi ila mzigo nakula. Miaka hii watu tulishaacha kutongoza ukishachukua namba na kumualika outing basi imeisha hiyo.
Lazima atupe majibu astake kutuchanganya hapa, lolNasubilia jibu lake lakini naona kimya kabisa hapa nipo kinyonge wangu
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Anatafuta umaarufu kwa njia ya kijinga,dawa yake ni kumpotezea tu ili aone kua ujinga wake haulipi,just ignore him.Mkuu Kitimoto naona umejitolea kutoa Dislikes..kila laa kheri kwenye mission yako hio
Sasa hiyo namba huwa unaibandika ndani,.si.unaanza kuwasiliana naye? Au kutongozs nikufanyaje na kuchukua namba unapata mzigo?Huwa sitongozi ila mzigo nakula. Miaka hii watu tulishaacha kutongoza ukishachukua namba na kumualika outing basi imeisha hiyo.
Mwingine eti akichukua namba ya simu basi, sasa sijui huwa anaiombea mtu anajaa mzima mzima! [emoji12][emoji12][emoji12]Lazima atupe majibu astake kutuchanganya hapa, lol
Mkuu kama hujui kutongoza huo ni mjadala mwingine. Kuhusu namba ni mawasiliano ya kuwakutanisha tu.Sasa hiyo namba huwa unaibandika ndani,.si.unaanza kuwasiliana naye? Au kutongozs nikufanyaje na kuchukua namba unapata mzigo?
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Nakubali mwenyekitiUkiwa kwenye mahusiano , tayari uko na 'muuzaji' , ni vile tu utoaji wa pesa uko tofauti
Kwenye mahusiano: leo utatoa 30k, kesho 15k, kesho 40k, akifikisha 100-150k sasa ndiyo anakupa 'uchi'
Nini kifanyike: njoo chaputa