Ushauri: Wanaume tuache kutongoza, tuanze kununua wadada wanaojiuza barabarani

Dawa ya wanawake wadangaji ni pale anapokupiga mzinga unamuacha na kumblock pale pale wala usimpe mda wa kupumua na kukuletea mzigo wake wa matatizo. Kumbuka madeni aliyonayo kajipa mwenyewe kwa faida yake, akushirikishe wewe kama nani? Pia ukumbuke, licha ya wewe, kuna midume mingine 9 inamsugua, kama asingekupata wewe angeenda kuomba hizo hela wapi? Nakushauri, kama utapata demu dizaini hii mpige vichwa na magumi umshikishe adabu.
 
Huwa sitongozi ila mzigo nakula. Miaka hii watu tulishaacha kutongoza ukishachukua namba na kumualika outing basi imeisha hiyo.
Sasa hiyo namba huwa unaibandika ndani,.si.unaanza kuwasiliana naye? Au kutongozs nikufanyaje na kuchukua namba unapata mzigo?
 
Ukiwa kwenye mahusiano , tayari uko na 'muuzaji' , ni vile tu utoaji wa pesa uko tofauti

Kwenye mahusiano: leo utatoa 30k, kesho 15k, kesho 40k, akifikisha 100-150k sasa ndiyo anakupa 'uchi'

Nini kifanyike: njoo chaputa
Nakubali mwenyekiti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…