Haa haa haa msalimie wifi yetuMkuu kama hujui kutongoza huo ni mjadala mwingine.
Kuhusu namba ni mawasiliano ya kuwakutanisha tu.
Salamu zimefika mkuu.
Haà haa haa yamekuwa hayo vitendo tena[emoji3][emoji3]Salamu zimefika mkuu.
Ikikupendeza tuwasiliane Pm twende kwa vitendo uelewe vizuri mkuu haha
Hawana jibu ndugu[emoji23]Wakijibu nitag hapa. [emoji23][emoji23][emoji23]
Endelea kununua.Kwani Nan kasem hatk kumpa ela mwanamke kwasabb ye sio baba ake ...point hap ni kwamb Kam mwanaume kuwa kweny mahusiano na wew lazm akupe ela una utofaut gn na wanaojiuza? Utagundua hapo utofaut Ni bei tu wanaojiuza wana bei rahc zaid
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahahahahaha kwani naye si anapata utamu hadi anatoa chozi? [emoji12][emoji12][emoji12]
Ukitaka anzisha MAHUSIANO mapya hakikisha una mtaji wa KUTOSHAHakuna na wanadanga kwa njia za kifala hata hao watumishi ,binafsi nimeoa ila mara moja moja wife anapotoka ,hua natamani kusafisha gango la moshi na ka mdeki kangu...
Tandika ni mtaa gani wanapatikana kwa mchana?Kwa hali ilivyo sasa kwenye ulimwengu wa mapenzi na mahusiano, wanaume wote tunajua ukweli ni kuwa sahivi mahusiano yamekuwa biashara, unamtongoza mdada leo, kesho anakuomba hela, usipompa mahusiano yanakufa, ukimpa hela mahusiano yanakua kama ofisi ya mikopo kila Wiki shida za hela haziishii, sasa na wanaume tulivo ukiwa na Wadada 3 wa hivyo muda si mrefu, utafilisika hadi utaishia kuomba kipande cha mkate.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daaaah.Mwingine eti akichukua namba ya simu basi, sasa sijui huwa anaiombea mtu anajaa mzima mzima![emoji12][emoji12][emoji12]
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hawana jibu ndugu[emoji23]